Rais Samia ni msikivu sana kwa Watanzania ndio maana anaendelea kupendwa na kukubalika kwake na Wananchi

Rais Samia ni msikivu sana kwa Watanzania ndio maana anaendelea kupendwa na kukubalika kwake na Wananchi

Ipo siku utakuja kuomba radhi kwa maneno yako baada ya kutambua kuwa mh Rais Samia alikuwa Ni zawadi kwetu watanzania kutokana na aina ya uongozi wake wa kutukuka na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa na kutoa Uhuru kwa watu kujadili chochote kwa Uhuru na amani
 
Ipo siku utakuja kuomba radhi kwa maneno yako baada ya kutambua kuwa mh Rais Samia alikuwa Ni zawadi kwetu watanzania kutokana na aina ya uongozi wake wa kutukuka na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa na kutoa Uhuru kwa watu kujadili chochote kwa Uhuru na amani.

Ipo siku utakuja kuomba radhi kwa maneno yako baada ya kutambua kuwa mh Rais Samia alikuwa Ni zawadi kwetu watanzania kutokana na aina ya uongozi wake wa kutukuka na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa na kutoa Uhuru kwa watu kujadili chochote kwa Uhuru na amani
Haitatokea kamwe.
 

Attachments

  • 20220922_122721.jpg
    20220922_122721.jpg
    18.9 KB · Views: 3
Hivi wewe unawezaje ukasema mwandishi nguli Kama Pascal ananjaa? Mimi Nazani unapaswa kuheshimu michango yake na kujifunza mengi kutoka kwake, wanasema kijana ukiwa mbele za wazee unapaswa kupenda kusikiliza kuliko kuzungumza maana ni katika kusikiliza utapata hekima na busara zao, usimtukane kila mtu anayetofautiana na wewe mawazo, jifunze kuheshimu mawazo ya watu wengine ndio utakuwa bora
Pia nawewe heshim mawazo yake
 
Back
Top Bottom