Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Ipo siku utakuja kuomba radhi kwa maneno yako baada ya kutambua kuwa mh Rais Samia alikuwa Ni zawadi kwetu watanzania kutokana na aina ya uongozi wake wa kutukuka na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa na kutoa Uhuru kwa watu kujadili chochote kwa Uhuru na amaniUtumbo