Rais Samia ni msikivu sana kwa Watanzania ndio maana anaendelea kupendwa na kukubalika kwake na Wananchi

Ipo siku utakuja kuomba radhi kwa maneno yako baada ya kutambua kuwa mh Rais Samia alikuwa Ni zawadi kwetu watanzania kutokana na aina ya uongozi wake wa kutukuka na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa na kutoa Uhuru kwa watu kujadili chochote kwa Uhuru na amani
 

Haitatokea kamwe.
 
Pia nawewe heshim mawazo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…