Rais Samia ni nani hata mvua zimtii?

Hujui maandiko wewe, endelea na magazeti ya Shigongo!
 
Watanzania Hamkawii kusahau MUNGU HADHIHAKII Mlisema MAGUFULI AMEFANYA MAMBO MAKUBWA AMBAYO HATA YESU HAKUWAHI KUYAFANYA Lakini Ukubwa wa MUNGU ukawaonyesha YUKO WAPI LEO MAGUFULI? Kesha OZA
 
Watanzania Hamkawii kusahau MUNGU HADHIHAKII Mlisema MAGUFULI AMEFANYA MAMBO MAKUBWA AMBAYO HATA YESU HAKUWAHI KUYAFANYA Lakini Ukubwa wa MUNGU ukawaonyesha YUKO WAPI LEO MAGUFULI? Kesha OZA
Mbingu kumsikia Mtu ni kumkosea Mungu? Au kumsifu?
 
Kwa hiyo mbingu zisipomsikia atakayeumia ni yeye au wewe?
 
Rubbish
 
Huyu mama ni mpango wa Mungu, Tukubali tukae
 
Amesema Mungu baba, Yesu Kristu na Roho Mtakatifu. Wapi amesema Mungu Yesu Kristo? Hata kama anaamini hivyo wewe inakuhusu nini? Kila mtu ana haki ya kuamini atakalo bila kuingiliwa na mtu mwingine. Hakuna anaezuiwa kuamini kuwa Yesu ni Mungu, porini anaishi Mungu, Rama ni Mungu, binadamu mwingine ni Mungu n.k. Kama unaona amekosea kamuombe Mungu wako amfungue macho badala ya kumshambulia humu.

Amandla...
 
Katika nchi yoyote ile kuna wananchi na mapunguani.
Katika nchi masikini, hasa za kiafrika, wananchi ni wachache sana na wanafikiria nchi yao kwa ujumla na vizazi vijavyo ambapo mapunguani ni mengi sana yakishangilia makundi yao ( vyama, dini, makabila) hata katika mambo ya kipuuzi kabisa.
Kwa bahati mbaya sana, baadhi ya viongozi hupenda kuchagua au kuteua mapunguani kwa kuwa wanapenda kusifiwa.
Hata hivyo, urais wa Samia upo pale pale na uhusiano wake na Mungu hautegemei sifa na tafsiri za kijinga.
 
nilitaka nikuite mpumbavu ila nikasita
Asilimia 90 ya hii nchi bado jua ni kali sana
 
#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
#WEWE NI CHAWA LAZIMA UUNGE MKONE NA MIGUU YOTE.
Mda si mrefu mtaupoka uungu wa maiti mnayoabudu , muhamishie kwa Hangaya, tunawajua nyie CHAWA.
Kwenu mungu ni yeyote yule anaewapa TEUZI.
 
Neema na iwe nanyi nyote. Waebrania 13:25
 
Usivurunde tunachoamini pamoja ,au hilo pia mtihani ?
 
1 Corinthians 2:14-15
[14]But the natural man receiveth not the things of the Spirit of God: for they are foolishness unto him: neither can he know them, because they are spiritually discerned.
Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.
[15]But he that is spiritual judgeth all things, yet he himself is judged of no man.
Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…