Rais Samia ni nani hata mvua zimtii?

Aliupata baada ya kumwuua Magu hvyo hata yeye alisema ni kudra za Mungu
 
Pungua wahed hujui dini za watu baki huko huko
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Huyo jaman inaonyesh kbx n mtu ambaye anawez iongoza vyema nchi hii
 
Umesema kweli tupu
 
Hii nchi ina wapumbavu wengi sana..

Huu si msimu wa mvua kipi cha ajabu hapo..
 
Mipango ya mungu
 
Kama Mungu hupanga yote, Samia kuwa rais ni mipango ya mwenyezi mungu
 
Nampenda rais SSH,
ILA haifai kumlinganisha Mungu na binadamu.
Mungu anachukia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…