Rais Samia ni nani hata mvua zimtii?

Rais Samia ni nani hata mvua zimtii?

Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

#TUNAKUUNGA MKONO RAIS SAMIA
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Sasa iweje sifa umpe mwanasiasa badala ya kuwapa hao viongozi wa dini walioomba?

Anyway, hiyo mvua kama ilikuwa inakuja hata bila maombi ingenyesha tu, coz sio kila panaponyesha mvua lazima maombi yawe yamefanyika, na pia, sio kila panapofanyika maombi lazima mvua inyeshe.

Kama mnaona ni rahisi hivyo, basi nashauri Rais azunguke mikoa yote Tanzania kuongoza maombi ya mvua tuondokane na hiki kiangazi, aanze na huko Arusha alipo sasa.
😆😆 hovyo sana, yani watu wanaona mawingu yametanda alafu wanaomba mvua chap chap.
😆😆
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|





#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
Wewe ni Bora ufe mapema ili kuwaepusha watoto wako na laana ya kishenzi uliyonayo,ukiendelea kuishi Duniani wewe ni zigo la mavi kwa familia yako.
Pathetic kabisa, mvua ya Mungu haiwezi kumtii hayawani yoyote wa CCM , mvua huwa zinanyesha kila mwaka hazijaanza leo,juha kweli wewe
 
Wewe ni Bora ufe mapema ili kuwaepusha watoto wako na laana ya kishenzi uliyonayo,ukiendelea kuishi Duniani wewe ni zigo la mavi kwa familia yako.
Pathetic kabisa, mvua ya Mungu haiwezi kumtii hayawani yoyote wa CCM , mvua huwa zinanyesha kila mwaka hazijaanza leo,juha kweli wewe
Daaah, Mkuu huamini kuwa dunia inaweza kuinama mbele ya Mtumishi wa Mungu?

Mvua ni kitu kidogo sana na kinamasikio kikiitwa kinakuja
 
Daaah, Mkuu huamini kuwa dunia inaweza kuinama mbele ya Mtumishi wa Mungu?

Mvua ni kitu kidogo sana na kinamasikio kikiitwa kinakuja
Mkuu, Rais Samia siyo mtumishi wa Mungu,bali ni mwanasiasa katili wa Chama pumbavu CCM,ingekuwa ni mada ya mtumishi wa Mungu wala nisingepinga
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Huo ni ukubwa wa Mungu kwamba Lowassa ameusaka urais kwa miaka zaidi ya kumi na kaukosa. Huyu Mama kaupata kiurahisi tu, huo ni mpango wa Mungu kwa maana halisi.
 
Kwa maana yako Mungu wa mbinguni alimpa urais kwa gharama ya kifo cha Magu?

Kabla ya kumsingizia Mungu jambo au shetani, tafakarini kwanza.
Magufuli angetaka angekuwa hai mpaka leo hii. Alitakiwa aende Ulaya kwa matibabu akaona hawezi kwani kawatukana sana wazungu.

Aliamua lolote na liwe na likawa kweli.
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Hapo kwenye red -
Hakunaga binadamu yoyote aliyesafi! Aliye safi/mwema ni mmoja tu - Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!
Hata kama ungelishika amri zote tangu utotoni, still utakuwa na mapungufu tu. Kujigamba kuwe wewe ni mkristo safi ni makosa makubwa. Nenda kamuulize kilichompata yule Farisayo aliyekuwa akijigamba kuwa yeye ni safi - kwamba anafuata torati yote, anafunga mara mbili kila week, anatoa zaka, anasaidia mayatima... n.k. Pia kamuulize yule tajiri/mtawala kijana yaliyompata.

Kuhusu Mungu wa Mbinguni kumchagua Mama yetu SSH hapo pia umechemka.
Katiba ya JMT ndiyo iliyomweka pale. Pole!
 
Back
Top Bottom