Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Acha vyombo vya ulinzi na usalama vifanye kazi yake na kutoa ripoti ya uchunguzi.Awamu hii ya Tano kipnd Cha pili imetia fora ktk utekaji,
Hadi mama zetu wanatekwa na kuumizwa,
KUTAPAMBAZUKA tu na,
HATOGOMBEA!!