Rais Samia ni Nuru ya Taifa iangazayo na kuleta Matumaini kwa mamilioni ya watanzania

Rais Samia ni Nuru ya Taifa iangazayo na kuleta Matumaini kwa mamilioni ya watanzania

Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Nchi zetu zinazoendelea hususani barani Afrika kiongozi mkuu wa Nchi yaani Rais Wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu Anaweza leta nuru ama giza katika Taifa na mioyoni mwa Watu,anaweza leta Matumaini au kuwavunja watu moyo ,anaweza wafanya watu kuona leo ni afadhali ya jana au kuona kesho yenye Matumaini.


Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi we Mndali mnafiki Huna Kazi ya kufanya zaidi vichekesho Hivi unvyoleta??

NIKUPONGEZE KUWACHEKESHA WALIONUNA 🤣🤣🤣
 
Ushauri kwa Mama Samia hawa hawa wanaokusifu leo watakusema vibaya sana siku ukitoka mamlakani!!!
Nchi hii imejaaliwa watu wanafiki mnoo.
Wazuri kujipendekeza wanaojali maslahi ya matumbo tu mmoja ni huyu.
 
Tanganyika kumajaa binadamu lakini kuna watu wanataka huyu muhamiaji apigiwe kura na awe rais wa Tanganyika. Ujinga ulikithiri huu, Matumain akawape Wazanzibari, Tanganyika tutachaguana wenyewe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa Nchi zetu zinazoendelea hususani barani Afrika kiongozi mkuu wa Nchi yaani Rais Wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu Awa madaraka na wanaotoa ulimi nje kutamani kiti cha Urais kwa njia yoyote ileView attachment 3131063

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukiwa chawa tafadhali uwe na kiasi.
 
Ila wewe jamaa una mtindlo wa ubongo huwezi kuandika uharo km huu unasoma comment lakn mwambie na mama yako asome aone hiyo feedback ya kila anachokutuma kumuumbia sifa mitandaoni.
 
Upendo unaonekana kwenye utekaji na mateso ya bi Mwenezi wa Chadema?
Hivi wewe una akili hata kidogo?
Hawa ndio mashetani yenyewe. Wanafurahia na kushangilia mateso na vifo vya binadamu wenzao, alimradi kama hao watu ni wapinzani au wanamkosoa Rais.
 
Ushauri kwa Mama Samia hawa hawa wanaokusifu leo watakusema vibaya sana siku ukitoka mamlakani!!!
Nchi hii imejaaliwa watu wanafiki mnoo.
Wazuri kujipendekeza wanaojali maslahi ya matumbo tu mmoja ni huyu.
Wewe inaonyesha ni mtu mnafiki sana na mwenye roho mbaya kama shetani ambaye unatamani Rais wetu mpendwa asisemwe wala kusemewa kwa mazuri makubwa aliyoyafanya .ambayo kila mwenye akili Timamu anayaona. Baki na ujinga wako
 
Mwambie hizi habari za kutekana zinamuaibisha
Kwani yeye ndiye anateka? Vijimatukio hivi vichache visiwafanye mkasahau kazi kubwa inayofanywa na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama katika kuimarisha ulinzi na usalama Nchini
 
Sawa,endelea kutetea Chama kinachoumiza raia wake na Kumuhusisha Mungu ukijua fika Mungu atakulipa hapa hapa duniani.
CCM ndio chama pekee chenye uchungu na Maisha ya watanzania.ndio maana kinamthamimi na kumjali kila mtanzania
 
Ila wewe jamaa una mtindlo wa ubongo huwezi kuandika uharo km huu unasoma comment lakn mwambie na mama yako asome aone hiyo feedback ya kila anachokutuma kumuumbia sifa mitandaoni.
Inafahamika wazi kuwa wengine mpo hivyo wakati wote kuwa pinga pinga wa kila kitu Utafikiri watu msiotumia ubongo.
 
Tanganyika kumajaa binadamu lakini kuna watu wanataka huyu muhamiaji apigiwe kura na awe rais wa Tanganyika. Ujinga ulikithiri huu, Matumain akawape Wazanzibari, Tanganyika tutachaguana wenyewe.
Ungejitahidi uondoe huo ujinga uliokujaa kichwani mwako na kupofushwa akili kwa mawazo ya ubaguzi.
 
Back
Top Bottom