Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Nimeshangaa na kufadhaishwa sana naa kauli ya raisi kuwa eti watanzania hawajakataa tozo na wapo tayari kuchangia hizo tozo ila tu zipunguzwe.
Hii kauli imenifanya nijiulize sana kuwa either amechoka kuongoza au hajui afanye nini.
Watanzania gani hao wanaokubali tozo hizi? Mmekaa wenyewe mmekubaliana wenyewe alafu leo unasema watanzania wapo tayari kuchangia.
Huu ni uongo mkubwa sana na sijui ni kwa faida gani.
Watu wengi walikuwa wakimshutumu mwigulu kuhusu tozo ila picha tunaanza kuiona ni wapi tozo zilianzia.
Huyu mama ukweli usemwe, uwezo ni mdogo sana ni mdogo sana.
Hata tuukimbie vipi huu ukweli utatufata popote tulipo.
#mbowe sio gaidi#
Hii kauli imenifanya nijiulize sana kuwa either amechoka kuongoza au hajui afanye nini.
Watanzania gani hao wanaokubali tozo hizi? Mmekaa wenyewe mmekubaliana wenyewe alafu leo unasema watanzania wapo tayari kuchangia.
Huu ni uongo mkubwa sana na sijui ni kwa faida gani.
Watu wengi walikuwa wakimshutumu mwigulu kuhusu tozo ila picha tunaanza kuiona ni wapi tozo zilianzia.
Huyu mama ukweli usemwe, uwezo ni mdogo sana ni mdogo sana.
Hata tuukimbie vipi huu ukweli utatufata popote tulipo.
#mbowe sio gaidi#