Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Sawa sawa. Kwa kuwa watanzani tuko wajinga na waoga.Tuna matatizo mengi katika jamii yetu, kwa mujibu wa mama, serikali haina uwezo wa kufanya chochote zaidi ya kuleta tozo, maeneo kama;
1. Watoto kukaa chini darasani
2. Uhaba wa madawa hospitalini....