Rais Samia, ni Watanzania gani hao waliokubali hizo tozo?

Rais Samia, ni Watanzania gani hao waliokubali hizo tozo?

Uzuri wake hata wale polisi waliosimamia wizi wa kura nao tozo zinawapiga kama kawaida.
 
Ni Hawa hapa👇👇

Screenshot_20210807-075127.png


Screenshot_20210807-075210.png
 
Ni mtu fulani ambaye anahudumiwa kila kitu kwa kodi za wananchi ndio ametoa hayo mawazo mgando,ambaye kila uchwao anapiga route dar-ddm na ddm-dar kwa Njiwa atajua vipi ugumu wa maisha ya wananchi
 
SSH anawashukuru wananchi wa Tz kwa kuikubali tozo ni kina nani hao?

Huyu mama yenu anasema anawashukuru wananchi kwa kuipokea kwa mikono miwili hiyo tozo mpya na akasema watz hawajakataa tozo

Huyu mama anazungumzia wananchi wa wapi???na ni kina nani wamekubali tozo?Au ni mussa zungu na mwigulu?

Huyu mama kuna kitu hakipo sawa.....anacheza na saikolojia zetu hapo hapo anasema wananchi wameipokea tozo kwa mikono miwili hapo hapo anasema ni kwa faida zao juzi akasema kuna kelele kelele kuhusu tozo

Tushike lipi na tuende kwa lipi?
 
SSH anawashukuru wananchi wa Tz kwa kuikubali tozo ni kina nani hao?

Huyu mama yenu anasema anawashukuru wananchi kwa kuipokea kwa mikono miwili hiyo tozo mpya na akasema watz hawajakataa tozo

Huyu mama anazungumzia wananchi wa wapi???na ni kina nani wamekubali tozo?Au ni mussa zungu na mwigulu?

Huyu mama kuna kitu hakipo sawa.....anacheza na saikolojia zetu hapo hapo anasema wananchi wameipokea tozo kwa mikono miwili hapo hapo anasema ni kwa faida zao juzi akasema kuna kelele kelele kuhusu tozo

Tushike lipi na tuende kwa lipi?
Wabunge ni wawakilishi wa wananchi. Sasa kama mmewachagua kina Gwajima unategemea nini?
 
Mbona SSH Hana kosa kasema ukweli wabunge wenu wazalendo WA ccm wanaowatetea wanyonge..
Ndio waliokubali badala yenu tena wengine mliwapitishwa bila kupingwa e.g BABUTALE
Hivyo basi msifikiri kwamba mngeulizwa mmojammoja
 
Back
Top Bottom