Rais Samia, ni Watanzania gani hao waliokubali hizo tozo?

Rais Samia, ni Watanzania gani hao waliokubali hizo tozo?

Raisi kajieleza vizuri kabisa. Kwamba tozo ni kubwa na hivyo ziweze kupunguzwa. Lkn pia kasema tozo zilianzishwa ili tuweze kupelekewa huduma za kijamii maeneo ambayo bajeti yetu ya kawaida ilishindwa kufika. Ko badala ya kulalamika ni vyema tukaanza kuiombea serikali yetu itimize adhima ya kutuletea huduma vijijini.
Tozo zikianzia kwa Wabunge ni chanzo kizuri sans.
 
Raisi kajieleza vizuri kabisa. Kwamba tozo ni kubwa na hivyo ziweze kupunguzwa. Lkn pia kasema tozo zilianzishwa ili tuweze kupelekewa huduma za kijamii maeneo ambayo bajeti yetu ya kawaida ilishindwa kufika. Ko badala ya kulalamika ni vyema tukaanza kuiombea serikali yetu itimize adhima ya kutuletea huduma vijijini.
Baada ya kuharisha ujinga kama huu ungetuambia kwanza serikali imefanya nini kubana matumizi yake kabla hawajawakamua wananchi ambao wengi ni mafukara wa kutupwa? Kwa nini wabunge wanachukuwa malipo makubwa kulinganisha na kazi zao? Kwa nini mikoani na wilayani kuna utitiri wa viongozi wanalipwa na kutembelea magari ya bei kubwa wakati nchi yetu ni maskini?

Kwa nini viongozi wengi wanasafari first na business class kwenye ndege wakati sisi ni maskini wa kutupwa? Wewe huoni hatua ya kwanza ni serikali kupunguza kabisa matumizi yake mengi ambayo hayana ulazima? Tafakari kabla ya kuandika ujinga kama huu!
 
Raisi kajieleza vizuri kabisa. Kwamba tozo ni kubwa na hivyo ziweze kupunguzwa. Lkn pia kasema tozo zilianzishwa ili tuweze kupelekewa huduma za kijamii maeneo ambayo bajeti yetu ya kawaida ilishindwa kufika. Ko badala ya kulalamika ni vyema tukaanza kuiombea serikali yetu itimize adhima ya kutuletea huduma vijijini.
Kuna hoja zingine zinatia kinyaa kabisa; yaani Rais mwenye kila aina ya wasaidizi wake anaongea vitu useless kabisa.

Tozo ni kubwa ila zipunguzwe; maana yake ni kua ameipitisha kua sheria bila wasaidizi wake kutoa ushauri baada ya kufanya tafiti kama ni kubwa au laa. Hii ujinga nao wengine wanaishangilia.

Kua tozo inakwenda kujazia sehemu ambayo bajeti yetu ilishindwa kufika. Kwamba bajeti ya tozo ndo inakwenda kufika sasa huku wananchi wakiwa wanaumia? mnasikitisha sana ndugu.
 
Nataka kuanzisha kipindi cha televisheni mahsusi kuonyesha matumizi ya "tozo" ambazo mama amesema wanachi na wapiga kura kwa ujumla tunazikubali....
Kipindi kitaonyesha posho za vikao vya madiwani, madaraja ya miti yaliyojengwa kwa milioni 30, ziara za mafunzo ya watendaji kwenda kujivunza nishati mbadala nk..
 
Kua jamaa yangu alikuwa na bucha aka ability kibanda chase na kuwa kibanda cha mpesa juzi kaacha mpesa kaanza tena biashara ya bucha
 
Nitume hela kwa Shangai kijijini halafu nikatwe hela ya barabara inanihusu nini? Social problems ni multiplier effects hayana mwisho, unavyopanua huduma watu wanatamani zaidi
 
Hakuwa amejiandaa kabisa na hiyo press hadi kupelekea kuwa na press mbovu kuwahi kutokea na haya ndiyo madhara ya kuandikiwa kila kitu angekuwa mwendazake kikeke jasho lingemtoka
 
Na
Unajiuliza mwenyewe ukiwa na HAMAKI.....

Na unajijibu mwenyewe ukiwa na HAMAKI.....

Watanzania tuko wengi ,post yako hainisemei mimi....MIMI NINATAKA IWEPO HIYO TOZO...muhimu iwe ndogo tu.....

Je una uhakika mtanzania mimi niko peke yangu ?!!

Rais ana vyanzo vya taarifa zaidi yako mdandamoni hapo.....hakurupuki na ndio maana usikivu wake umesababisha aiteue KAMATI ILI IJE NA MAPENDEKEZO.....

NAUNGA MKONO TOZO ILIYO NDOGO KWA MAENDELEO YA NCHI YETU WENYEWE
Nakukumbusha tu upo tz na ccm sio wote ni watu, ni _____
 
Moderator is changing the Keyboard and Mouse.........
 
Inashangaza Sana huyu mbibi mwongo hadi anajidanganya mwenyewe.
 
Nimeamini Africa haijawa tayari kuongozwa na mwanamke mama huyu ni kilaza hawezi ktu na hapendi kukaa Dodoma...ni bora Muungano uangaliwe upya na SSM mlaniwee wote
 
Back
Top Bottom