Rais Samia: Nilipoingia ofisini tu Mufti alinijia na furushi la migogoro ya mali za BAKWATA, ila tatizo wamelitengeneza wenyewe

Rais Samia: Nilipoingia ofisini tu Mufti alinijia na furushi la migogoro ya mali za BAKWATA, ila tatizo wamelitengeneza wenyewe

Mkuu We Unachotakiwa Kufanya Ni Kufata yaliyo Mema Na Kuacha yaliyomabaya.
Hayo Mambo Wachie Viongozi wao Ndo Wahusika Na ndo Maana wakateuliwa Kwa ajili ya Hizo Issue
Kufatilia Mambo Yasiyokuhusu Kwenye Uislamu Ni dhambi
 
Mkuu We Unachotakiwa Kufanya Ni Kufata yaliyo Mema Na Kuacha yaliyomabaya.
Hayo Mambo Wachie Viongozi wao Ndo Wahusika Na ndo Maana wakateuliwa Kwa ajili ya Hizo Issue
Kufatilia Mambo Yasiyokuhusu Kwenye Uislamu Ni dhambi
We jamaa mbona unanitisha? Kwa hiyo ufisadi uendelee nikae kimya tu!!?
 
The Phy...
Huko Waislam walishapita miaka mingi sana.

Waislamu hawashughulishwi na BAKWATA baada ya serikali kutoa rukhsa ya kusajili taasisi nyingine za Kiislam.

Waislam wanaichukulia BAKWATA kama moja ya taasisi za Kiislam.

Hata pale wakati mwingine BAKWATA inapodai kuwa wao ndiyo wawakilishi wa umma wote wa Waislam wa Tanganyika.

Waislam hawajibu kukataa ugomvi.
Hubakia kimya.
Msingi wa hoja yangu ni pale ambapo bakwata imevikwa/imejivika koti la kuwa taasisi muwakilishi wa waisilamu wote TANZANIA hasa mbele ya shughuli nyingi za dola. Kwa mantiki hiyo unaleta mkanganyiko Kwa jamii isiyojua sana mambo ndani ya uisilamu na pengine kudhani kuwa bakwata ndio taaswira ya uisilamu na waisilamu nchini jambo ambalo kwa namna unavyoeleza hapa inaonekana sio kweli.
 
Huyu Sheikh alikamatwa?
Kinyungu,
Alikamatwa.
Huyo si wa kuitwa, "Huyu Sheikh."

Heshima yake ni kubwa kupita kiasi.
Yeye ndiye aliyekuwa nyuma ya pazia akiwaongoza Waislam katika kupambana na ukoloni.

Alikuwa Mufti wa Tanganyika na mjumbe wa TAA Political Subcommittee 1950.

Hii ndiyo kamati iliyoandika mapendekezo ya katiba yaliyowasilishwa kwa Gavana Edward Francis Twining.

Sheikh Hassan bin Ameir ana mchango mkubwa sana kwa mafanikio ya TAA, TANU, Julius Nyerere na uhuru wa Tanganyika.
 
Msingi wa hoja yangu ni pale ambapo bakwata imevikwa/imejivika koti la kuwa taasisi muwakilishi wa waisilamu wote TANZANIA hasa mbele ya shughuli nyingi za dola. Kwa mantiki hiyo unaleta mkanganyiko Kwa jamii isiyojua sana mambo ndani ya uisilamu na pengine kudhani kuwa bakwata ndio taaswira ya uisilamu na waisilamu nchini jambo ambalo kwa namna unavyoeleza hapa inaonekana sio kweli.
The Phy...
Waislam hawashughulishwi na BAKWATA kwa miaka mingi sana sasa.
 
Kinyungu,
Alikamatwa.
Huyo si wa kuitwa, "Huyu Sheikh."

Heshima yake ni kubwa kupita kiasi.
Yeye ndiye aliyekuwa nyuma ya pazia akiwaongoza Waislam katika kupambana na ukoloni.

Alikuwa Mufti wa Tanganyika na mjumbe wa TAA Political Subcommittee 1950.

Hii ndiyo kamati iliyoandika mapendekezo ya katiba yaliyowasilishwa kwa Gavana Edward Francis Twining.

Sheikh Hassan bin Ameir ana mchango mkubwa sana kwa mafanikio ya TAA, TANU, Julius Nyerere na uhuru wa Tanganyika.
Sawa mkuu.

Je anaundugu na yule Mufti aliyekuwepo kabla ya Mufti Simba? Hemed Bin Jumaa Bin Hemed?
 
Sawa mkuu nashukuru kwa darasa. Huyu Sheikh Hemed Bin Jumaa ndiye alimrithi Sheikh Hassan bin Ameir?
Kinyungu,
Nafasi ya Mufti haikuwako baada ya kukamatwa Sheikh Hassan bin na kuvunjwa kwa EAMWS.
 
Kinyungu,
Nafasi ya Mufti haikuwako baada ya kukamatwa Sheikh Hassan bin na kuvunjwa kwa EAMWS.
Hapa nakupata Sheikh Mohamed. Sasa baada ya Sheikh Ameir kukamatwa ina maana umma wa Waislam haukuwa na Mufti au uongozi wa Kitaifa?
 
Back
Top Bottom