Rais Samia, nimefurahi sana Taifa Stars Kufungwa ili Pesa zako zikasaidie hasa Watu wenye Uhitaji na siyo Goigoi wa Viwanjani

Rais Samia, nimefurahi sana Taifa Stars Kufungwa ili Pesa zako zikasaidie hasa Watu wenye Uhitaji na siyo Goigoi wa Viwanjani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE mapema tu leo nilijua kuwa Taifa Stars itafungwa na nilianzisha Uzi wa Kutahadharisha hapa hapa JamiiForums na nashukuru Wachache mno walinielewa japo Nilifumba.

Rais Samia acha kupoteza Pesa za Watanzania Kusaidia Watu wasiojielewa (Wachezaji wa Taifa Stars) na badala yake peleka hizo Pesa maeneo Muhimu yenye Uhitaji ili Vizazi na Vizazi vije Kukukumbuka..

Wewe (Rais Samia) umejikita katika Kutoa Ahadi za Kununua Magoli je, ulishajiridhisha na Kikosi kilichoitwa? Kwa Kikosi hiki cha sasa cha Taifa Stars Kufanikiwa ni Ndoto za Mchana.

Asanteni mno Waganda kwa Kutufunga Watanzania tena katika Ardhi yetu huku Jukwaani wakiwepo Waziri Mkuu Majaliwa, Waziri wa Sekta husika Pindi Chana na Waandamizi Wengine.
 
Leo mithread miamia wazalendo mje huku nyie wafia timu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Bado nafasi ya kufuzu ipo kubwa tu..
 
GENTAMYCINE mapema tu leo nilijua kuwa Taifa Stars itafungwa na nilianzisha Uzi wa Kutahadharisha hapa hapa JamiiForums na nashukuru Wachache mno walinielewa japo Nilifumba.

Rais Samia acha kupoteza Pesa za Watanzania Kusaidia Watu wasiojielewa ( Wachezaji wa Taifa Stars ) na badala yake peleka hizo Pesa maeneo Muhimu yenye Uhitaji ili Vizazi na Vizazi vije Kukukumbuka..

Wewe ( Rais Samia ) umejikita katika Kutoa Ahadi za Kununua Magoli je, ulishajiridhisha na Kikosi kilichoitwa? Kwa Kikosi hiki cha sasa cha Taifa Stars Kufanikiwa ni Ndoto za Mchana.

Asanteni mno Waganda kwa Kutufunga Watanzania tena katika Ardhi yetu huku Jukwaani wakiwepo Waziri Mkuu Majaliwa, Waziri wa Sekta husika Pindi Chana na Waandamizi Wengine.
Mr Joshua
 
Mwenyezi Mungu amesikia Kilio changu.
Mungu wako ndio Mungu wa Israel, Mungu wa Yakobo, Mungu wa Musa, Mungu alowatoa Wana wa Israel utumwan, Mungu alowakombia Paulo na Sila gerezan, Mungu alomuokoa Daniel Toka shimo la Simba wenye njaa na Tanuru la Moto, Mungu wa Daudi alomsaidi Daudi Kumshinda Goliati, Mungu wa Wakoma waloaakimbiza Washami Kwa kuimba.

Hakika ndio Mungu anayesatahili, Kupelekewa Vilio.
 
Ungekuwa we ndo prezida fedha ungezielekeza WAPI?
1. Mahospitalini
2. Mashuleni
3. Vijijini
4. Miundombinu
5. Elimu Vyuo Vikuu
6. Kulipia Bima Watoto wa Tanzania
7. Kuwakopesha Watanzania kwa Riba ndogo ili Wajiinue Kimaisha

Niombee Siku moja nije kuwa Rais TZ.
 
Dau la samia kwa Taifa stars ni laana kwa timu. Huwezi tumia kodi ya jasho la wanyonge ambao hawana uhakika wa milo mitatu kujinufaisha kisiasa.
 
1. Mahospitalini
2. Mashuleni
3. Vijijini
4. Miundombinu
5. Elimu Vyuo Vikuu
6. Kulipia Bima Watoto wa Tanzania
7. Kuwakopesha Watanzania kwa Riba ndogo ili Wajiinue Kimaisha

Niombee Siku moja nije kuwa Rais TZ.
Kama shauku yako ni kuwa na kikosi cha wachezaji kisichokuwa goigoi basi nadhani ungebaki ktk michezo lkn kwa kuanzisha academy za kunoa watoto ili wawe tegemeo kesho.

Kila sehemu lzm uwekeze na uandae mazingira ya sekta binafsi kuplay role.
 
Back
Top Bottom