#COVID19 Rais Samia: Nimeona Afisa Afya Tunduru akipita nyumba kwa nyumba kuchanja, suala hili lisifanyike kwa mabavu

Ukweli usemwe na maamlaka za juu bwana yule alipotosha watu ili iwe rahisi waandamizi kutoa elimu covid na Chanjo.
Wewe ukichoma si inatosha, utabaki wewe na wengine waliochanja...

Mamlaka ipi ya juu wakati mamlaka hii ndio ile ile iliyokuwepo tofauti tu ni kwamba kiongozi wa juu alifariki???

Elimu ya kuhusu chanjo mamlaka imejitaidi sana kutoa sidhani kama yaweza laumika tena kuhusu jambo hili
 
mbn mama kasema wazi watu wasilazimishwe sasa swala la yeye kushauriwa vibaya linatoka wapi? mbn ni kama unajichanganya mkuu? sasa hp mtu unalaumu nn au tu ndio mmeamua kukosoa na kulaumu tu chochote kile jmn duh!
 
Wewe ni ken.e,
 
Ndipo nampo mpendea Mama Samia. Mungu ambariki sanaaaa!
 
KUNA MAHALI KAMA SIJAMUELEWA. AU NI KWA7BU YA UELEWA WANGU MDOGO. AMESEMA KUCHANJA SIYO LAZIMA, BALI NI HIARI. WANACHI WAPEWE ELIMU KWANZA NDIPO WACHANJWE. LAKINI KWA MWENYE ELIMU (nadhani ya corona) HANA HIARI KATIKA KUCHANJWA. YAANI LAZIMA ACHANJWE. HAPA NDIPO NINAPOPATA MASHAKA. KWANN HUYU MWENYE UELEWA JUU YA MADHARA YA CORONA, KWAKE ASIWE NA HIARI DHIDI YA CHANJO? KWANI WATU WANAKATAA KUCHANJWA KWA KUKOSA ELIMU? AU WANALO WANALOLIHOFIA DHIDI YA HIZO CHANJO? NAHISI KAMA AKILI YANGU IMEFIKA MWISHO KULIELEWA HILI TUNALOLIENDEA
 
Lugha hizi za kupindisha pindisha kauli zinaleta mkanganyiko sana. Sijui ni kutojua kiswahili au tu kuepuka kusema maneno yaliyonyooka?

Maneno kama haya yana maana gani?

“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu. Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.
 
Pita nyumba kwa nyumba kama mlivyokua mnapita nyumba kwa nyumba kuomba kura.

Mtakayemkuta atachagua kuchanja au kutokuchanja.
 
Huyo naye kihelehele chake Cha kutafuta sifa. Umeshaambiwa ni zoezi la hiari.
 
Wanazi wa kutaka watu walazimishwe kuchanjwa,wakisikia rais anapinga mabavu,tumbo la kuhara linawashika lol.
 
Wewe inaonekana chanjo imeisha kuvuruga ubongo,sikwa povu hili, inabidi upigwe boats ili akili ikae sawa,moja haitoshi
 
Hizo chanjo zinakaribia ku expire huu mzuka wote ni frustrations za kutaka mzigo uishe, huko ni mwendo wa kushurutisha watu kwa maneno ya hapa na pale ili wawe na hofu ya kugomea zoezi, kifupi wanachofanya ni intimidation kwani watu wanakuwa hawako huru kufanya maamuzi kwa kuhofia kuwa sanctioned tunawasubiri huku kwa watumishi wa umma waje kupambana na visiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…