The got
JF-Expert Member
- Jun 26, 2021
- 367
- 390
The worst person ever to exist in TZBora uwaambie......JPM alikuwa mtu na nusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The worst person ever to exist in TZBora uwaambie......JPM alikuwa mtu na nusu.
Wewe ukichoma si inatosha, utabaki wewe na wengine waliochanja...Ukweli usemwe na maamlaka za juu bwana yule alipotosha watu ili iwe rahisi waandamizi kutoa elimu covid na Chanjo.
Wewe ni ken.e,Ukweli unaujuwa, ila mimi namuunga mkono Mama mia kwa mia, tulikuwa kwenye mikono ya washamba na makatili.
Wanamchukia mama ni kupungukiwa tu busara, tupime miaka 6 ya ukatili na miezi 6 ya huyu mama bora ipi?
Huyu mama anahitaji kupewa sapoti, kwanza ngoja tulisambaratishe kundi la mumiani wa Sukuma gang ndio turudi kwenye harakati.
Siko tayari kumuhujumu mama kuwapa nguvu mashetani wa Sukuma gang, ni heri haya majizi ya msoga huwa yanakula huku yanatuachia makombo kuliko hawa Sukuma gang ni makatili na wauwaji wakubwa.
Ndipo nampo mpendea Mama Samia. Mungu ambariki sanaaaa!Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.
Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.
Mama wanaomshauri wanamponza Sana.
---
Rais Samia Suluhu, amemzungumzia mhudumu wa afya anayepita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya Uviko-19, akionya kampeni hiyo isitumiwe vibaya katika kuwalazimisha watu kuchanja.
Jana katika mitandao ya jamii, kulisambaa habari na picha ikimuonyesha Ofisa wa Afya wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma akipita nyumba kwa nyumba kuwachanja chanjo ya Uviko 19 watu zaidi ya 160 kwa siku moja.
Akizungumzia leo Septemba 27, 2021 katika mkutano mkuu maalum wa uchaguzi viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ngazi ya Taifa unaofanyika mkoani Dodoma hilo, Rais Samia amesema asingependa kuona suala hilo likifanyika kwa mabavu kwa kuwalazimisha watu kuchanja.
Amesema kati ya mambo ambayo angependa ALAT kulishughulikiwa kwa kasi kubwa ni suala la mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 ikiwemo utoaji elimu.
“Juzi na jana nilivyoingia nchini nimekuta hii agenda ya watu kupita nyumba kwa nyumba na mikoba ya sindano kuchoma watu.
“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.
“Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.
Amewataka wahudumu wa afya kutoa elimu ya afya kwa wingi ili wananchi waone umuhimu wa kuchanja.
“Asipoona hilo hawezi kuona uchungu wa hili suala, nendeni kafanyeni kampeni kubwa watu wakubali kuchanja msiende kufanya kwa mabavu. Tupunguze vifo vinavyotokana na ugonjwa,” amesema.
Aidha amesema ndani ya nchi yetu kuna matatizo makubwa matatu na hili la uviko limejitokeza ni la nne.
Ametaja magonjwa mengine kuwa ni TB, HIV na malaria na kueleza kuwa yameshughulikiwa kwa kiasi kikubwa na kuagiza janga la Uviko-19 lishughulikiwe na watu wapate kinga.
Chanzo: Mwananchi
Punguza hasira mkuu akija, wewe mjibu kisitaarabu kwamba huchanji.Nione mtu anabisha hodi mlangoni kwangu aniambie amekuja na chanjo, ntamtoa nduki na panga akaite polisi. Naona tunachezeana sasa
Nahisi ntamchoma yeye dozi8 za matakoniPunguza hasira mkuu akija, wewe mjibu kisitaarabu kwamba huchanji.
Huna akiliNione mtu anabisha hodi mlangoni kwangu aniambie amekuja na chanjo, ntamtoa nduki na panga akaite polisi. Naona tunachezeana sasa
Asali sana asije akapelekwa kwenye ventilatorPunguza hasira mkuu akija, wewe mjibu kisitaarabu kwamba huchanji.
Kweli sina hata moja ila wakutume uje uoneHuna akili
Utatalakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.
Wewe inaonekana chanjo imeisha kuvuruga ubongo,sikwa povu hili, inabidi upigwe boats ili akili ikae sawa,moja haitoshiUkweli unaujuwa, ila mimi namuunga mkono Mama mia kwa mia, tulikuwa kwenye mikono ya washamba na makatili.
Wanamchukia mama ni kupungukiwa tu busara, tupime miaka 6 ya ukatili na miezi 6 ya huyu mama bora ipi?
Huyu mama anahitaji kupewa sapoti, kwanza ngoja tulisambaratishe kundi la mumiani wa Sukuma gang ndio turudi kwenye harakati.
Siko tayari kumuhujumu mama kuwapa nguvu mashetani wa Sukuma gang, ni heri haya majizi ya msoga huwa yanakula huku yanatuachia makombo kuliko hawa Sukuma gang ni makatili na wauwaji wakubwa.