OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
kila siku nawaambia hamnisikii, huyu rais tumepigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchochezi! Mhujumu uchumi! Gaidi! Mtakatishaji fedha! Muuza madawa ya kulevya! Mwendesha genge la uhalifu!Angekua ni mwanasiasa kapita nyumba kwa nyumba kauli ingekuaje.?
Na hata yule mburula Stephen Harmon kutoka CA aliyekuwa analeta mzaha kwenye chanjo, watu "washakula wali" kitambo!Chanjo ni muhimu sana tuache ujuaji...Binadamu tunatofautiana wengine miili yao ni konki ,ina kinga ,carrier so tusiwaige wao na kutupoteza maboya ,kama wewe mwili wako "MPESEMPESE" likipa vumbi la mafua imoo ,vumbi la kifua imooo,vumbi la kuhara imoo,vumbi la malaria imoo basi nenda kachanje.
Huyo mtumishi kufuata watu majumbani kunaondoaje mazingira ya watu kukubali kutokana na intimidation, kama watu wameridhia kwa dhati hizo hanjo zingeisha siku ya kwanza bila hata uhamasishaji wowote.Inasikitisha sana kuona mtumishi wa Afya aliyejitoa bila hata kulipwa katika kuhakikisha jamii inapata chanjo na kuweza kutoa chanjo kwa watu 160 anabezwa badala ya kupongezwa...This is dissappointing...
Amesema vizuri tu kama umepewa elimu ya chanjo hakuna hiari ,kiufupi chanjo ni lazimaInasikitisha sana kuona mtumishi wa Afya aliyejitoa bila hata kulipwa katika kuhakikisha jamii inapata chanjo na kuweza kutoa chanjo kwa watu 160 anabezwa badala ya kupongezwa...
Wala sihitaji elimu yoyote, aliyemuelimisha atakayekuelimisha kaelimishwa na muuzaji wa chanjo, na sio kaelimishwa kakaririshwaHujielewi. Unahitaji elimu is alivyosema Raisi.
Kaitafute!! jukwaa hili ni la GTs only.Badala ya kuambatanisha na hiyo kauli husika , umeishia kunung'unika nung'unika tu!!
Sasa ndugu elimu kwa umma si ina namna nyingi ya kuifikisha mojawapo ikiwa hiyo ya nyumba kwa nyumba, au?Kufanya ivyo bila elimu kwa umma ni kupoteza muda tu
Hii ni afadhali mama kakataa. Ninajua watumishi wa afya walivyo. Wakifika huko lazima wanalazimisha ili wafikie target [emoji457].Haya maneno hajayasema, alichosema hakuna kumlazimisha mtu chanjo na hiyo ya nyumba kwa nyumba amehofia ufanisi wake. Alichosema ni watu wapewe elimu na sio kuwalazimisha.
Kama ulichofanya ndo u-GT wenyewe, then I better not become the so-called GT cuz' being one, sounds like having inability to present complete information!Kaitafute!! jukwaa hili ni la GTs only.
Mimi siwezi kukuekezea kama mwanakijiji wa Kitonga.Kama ulichofanya ndo u-GT wenyewe, then I better not become the so-called GT cuz' being one, seems like being unaware of what you actually need to present!
Sasa kama ndo alichosema, sasa tatizo lipo wapi?!Haya maneno hajayasema, alichosema hakuna kumlazimisha mtu chanjo na hiyo ya nyumba kwa nyumba amehofia ufanisi wake. Alichosema ni watu wapewe elimu na sio kuwalazimisha.
Ngoja nikupuuze GT fake, manake kama hilo nalo linatafsiri how GT you're, busara ni kukupuuza! No wonder hata ka-thread kenyewe kameunganishwa kwenye thread zinazo-make sense!!!Mimi siwezi kukuekezea kama mwanakijiji wa Kitonga.
I expect uwe na ABC za kila mada