King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Achana na manabii matapeli, fomu ni moja tu Kwa ajili ya dk Samia wengine wasubiri 2030Kwani atakuwa mgombea? Kuna nabii alisema kuwa huyu amekataliwa. Ngoja tusubirie utimilifu wa unabii, tujue kama ulikuwa unabii kweli au hisia?
Tangu enzi za akina Rwakatare na mipango ovu ya CDM mpaka hiv Majuzi Mahakama iliwakuta na kesi ya kujibu Mbowe na kundi lake la kigaidi.?
Sasa kama mlijua mbona hamuzuii mauji haya yasiendelee kutokea? Ni wajibu wa Serikali iliyopo kuyazuia na kuwashughulikiwa wahusika bila ya kujali ni akina nani. sisi hapa wananchi hatuwaelewi unajua.hili tulilijua toka kipindi cha magufuli kua chadema wanaumizana wenyewe kwa ajili ya kua taaruki
Samiamustgo ni wrong move, kama ni maandamano ya amani yalipaswa kuja na slogan isiyo na chembe chembe za uhaini. gharama ya kumuondoa amiri jeshi mkuu madarakani kwa maandamano ni kubwa mno na ukiamua kupita hiyo njia hakikisha unauona mwisho na una sapoti ya kutosha kuufikia huo mwisho otherwise ni umeamua kuwapa wafuasi tiketi ya mauti.Huwa nampuuza yule dada Kigagula wa Marekani kumbe anayoandika ni bonafide genuine.
Mama Tiktok kwenye mapishi naona kunamfaa sana amuachie hata mdogo wake Hussein hicho kiti lakini yeye ameshafeli.
Huyo unayemwita Amri jshi mkuu na kumpigia saluti,Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.
Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.
Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .
Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue
Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R
Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani
Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.
Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.
View attachment 3098792Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Moshi (TPS), amesema Serikali ina taarifa ya kikao cha chama cha Siasa anachodai kinalenga kufanya Siasa chonganishi na kuwa Serikali haitakubali hilo kwa kulinda Katiba na kuimarisha ulinzi wa maisha ya Watanzania.
View attachment 3098793
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
View attachment 3098802
View attachment 3098805
View attachment 3098806
View attachment 3098807
Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.
View attachment 3098810
View attachment 3098811
View attachment 3098812
View attachment 3098834
Amesema “Kumepangwa kushusha moto hadi Samia aseme basi naondoka, hiyo Serikali au Serikali ya Samaki? Maana Samaki kadiri anavyokuwa mkubwa na akili inafanyaje? Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo.”
Giza limetanda tena Tanzania, kuna jini linahitaji kunywa damu za watu, lile kafara la Forojo Gaze la ushirikina wa mwenge limeisha nguvu, misukule imeamka.Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Hivi kwanini huwa mnaogopa maandamano? Na kama mnaogopa kwanini mliweka kwenye katiba?CDM siasa tayari zimeshawashinda ,Sasa jichanganyeni hiyo TAREHE 23.
Mahakama ilisema mbowe ana Kesi ya kujibu na kuhusu ugaidi, Mama akamwonea huruma. Leo huyo huyo aliyemsamehe na kesi kufutwa amesema anaushaidi haohao aliowasamehe kinyume na mahakama wameanza tena vitendo vya ugaidi. Wewe unabisha!another stupid as stupid does to block!
Chama cha jamuhuri ya watu wa Kaskazini wengine tunafuata mkumbo tuNi kweli ndani ya chadema kuna moles au kuna kitu kinaendelea