Rais Samia: Nitaendelea kuzunguka kuwaambia wawekezaji waje Tanzania

HHa
Na 'Wanabaiolojia' wanasema akitokea pia amemaliza 'Pensheni' yake ya Monthly Payment ( MP ) ndiyo huwa na 'Mapungufu' zaidi.
Hangaya hana tena "Pensheni" na hapo ndio pagumu zaidi maana akili zinaacha kukaa sehemu moja!
 
Na 'Wanabaiolojia' wanasema akitokea pia amemaliza 'Pensheni' yake ya Monthly Payment ( MP ) ndiyo huwa na 'Mapungufu' zaidi.
Hawa watu hawatakiwi kulaumiwa kabisa.Akikosea SAMIA tanamvaa mwanaume yoyote kule juu ndio tunamlaumu.
Tunaweza mlaumu MAJALIWA,MPANGO,NDUGAI nk ingawa kosa ni la SAMIA
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Ngoja amalize miaka yake mitano tuone hio branding kama itakuwa imemaliza machinga wenye masters mtaani kupitia ajira.
Kama mradi wa gesi ukianza, Bandari ya Bagamoyo itakayoajiri ajira direct na indirect zaidi ya laki 5 ikianza, mtu atakuwa machinga kwa kupenda tu
 
Kama mradi wa gesi ukianza, Bandari ya Bagamoyo itakayoajiri ajira direct na indirect zaidi ya laki 5 ikianza, mtu atakuwa machinga kwa kupenda tu
Waliokwambia wachina wao ajira hawazitaki ni nani? Graduates ni laki 2 kila mwaka wanamwagika mtaani!

Degree holders.

Mpaka hio bandari ijengwe ikamilike more than 1 million graduates watakuwa hawaajiriki sababu ya umri. Hilo unazungumziaje?
 
Waliokwambia wachina wao ajira hawazitaki ni nani? Graduates ni laki 2 kila mwaka wanamwagika mtaani!

Degree holders.

Mpaka hio bandari ijengwe ikamilike more than 1 million graduates watakuwa hawaajiriki sababu ya umri. Hilo unazungumziaje?
Kama Samia ndani ya miezi 9 tu katoa ajira 1000 TRA, 10,000 za walimu, 4000+ polisi, 3000+ magereza, 2000+ uhamiaji kwa nini ashindwe kutengeneza laki 5 kwa Bandari ya Bagamoyo ambayo pamoja na vyote itakuwa na industrial park na uwekezaji mwingine mkubwa?
 
Hizo ajira katoa wapi we fala? Ukiniambia vibarua ntaafiki😅 acha sifa za kipumbavu usintaftie ban tena?
 
Hizo ajira zingekuwepo hamna mtu ambaye angekuwa kakosa ajira
 
Huyu tunaye mpaka 2030 tuombe tu uzima.
 
Tafuta pesa mama ,Hawa wajinga wapiga Domo wa ndani hawana hata cherehani ..

Ziara zako tumeona tija na pia zitasaidia kurudisha imani ya kujiajiri na kuajiriwa..

Kuna wale walikuwa wanaimba viwanda wakaishia eti kutaja cherehani, pumbavu zao.
Pumbavu mwenyewe hicho alichozindua kilikuja muda gani kama unatumia akili na sio matako.
 
Ukweli upi? Wa kusema tunajenga miradi kwa fedha za ndani kumbe mnakopa na kuomba misaada huko nje? Saivi mjinga wenu hayupo mnaaibika!
Hivi mama yeye hakopi au unataka kujitapa kwa kipi zaidi?
 
Pumbavu mwenyewe hicho alichozindua kilikuja muda gani kama unatumia akili na sio matako.
Kilikuwa mda gani? Pumbavu Sana ,,kimejengwa ndani ya uongozi wa Samia,hutaki kale misumari..

Kwa Samia kila mpuuzi atanyosha mikono,yajayo yanafurahisha👇





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…