The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Wewe wa nchi tajiri umewekeza nini?Mauwekezaji ya nchi masikini..
Third world..
Hata Burundi ni 3rd World county lakini kampuni yao ya intracom inajengwa kiwanda kikubwa kabisa cha mbolea Dodoma ..India nayo ni nchi au ni 3rd world stinking shithole?
India ana proprietary technology anaweza transfer to anyone?Yeye anaomba na analipia royalties ya tech zote Ulaya..halafu anakuja kwako atakusaidia nini?
Malaysia ni shithole,nae anatumia tech ya mzungu na analipa royalties kwao..
Egypt ni shithole 3rd world banana republic
Nissan anaetoka Japan kaja lini na wapi?
Mkuu uwekezaji unaoleta mabadiliko ni kutoka kwa true owners wa world's technologies na true multinational companies sio hizi story za Egypt anaepokea msaada toka nje kama Tanzania
Stop this stupidity
Ni heri Kikwete alikua anaongea na akuchukua hela kwa mfuga mbwa kabisa na sio hawa mbwa....
Mbona umeiacha Marekani,Uingereza na South Africa ambazo zinaongoza kwa uwekezaji Tzn? Unahangaika sana kachambe ulale.mtapata "uwekezaji" toka nchi masikini na third world countries tu
Au nchi za kidikteta kama China
List yote wanayojaribu kuja ni haya mavi:
Egypt--3rd world shithole
India-3rd world shithole
China-dictatorship
Burundi-3rd world shithole
Kenya-3rd world shithole
shithole
shithole
Shithole
Nonsense tupu hizi..hizi si uwekezaji ni uchafuzi
ni jambo jema Mtanzania mmoja akiwa na furaha japo wengine tunaona uongozi wa kipumbavu tu.Saaaaaaaaaanaaaaaa
Shida zako kwani zimeletwa na uongozi 😀😀😀😁😁😁🏃🏃ni jambo jema Mtanzania mmoja akiwa na furaha japo wengine tunaona uongozi wa kipumbavu tu.
Trust me nina shida chache kuliko wewe.Shida zako kwani zimeletwa na uongozi 😀😀😀😁😁😁🏃🏃
Sawa Mh. Rais ni sawa, ila tunaomba usafiri na watu wachache - pamoja na ulinzi wako na wasaidizi basi walau wasizidi 7, maana unaweza kwenda kuomba mil 2 wakati safari nzima umetumia mil 6.
Unaonekana wewe una kichaa cha wivu fulani yaani uwekezaji kama huu hapa wa matilioni ni useless? Una shida mahala 👇Uwekezaji wa hizo nchi kiserikali ni useless maana ni non-profit na ni wa vihela vidogo vidogo....
Sasa,elewa uwekezaji wa nchi na multinational private corporation behemoths ni tofauti
Uwekezaji wa serikali ya marekani Tanzania ni none profit na ni useless
Tunataka uwekezaji serious wenye matokeo wa kitu multinational kama Google
Au Microsoft au TSMC au Germany's Siemens,au Belgium's Diageo,wasiweke Kenya waweke kwetu,ndio utaona tofauti
Sio huu upumbavu anakuja balozi wa Marekani au China ikulu pale wanapiga picha anasema tunawekeza kama serikali sehem so and so
Thats nonsense na useless!
Multinationals ndio the real deal here and nothing else.
Kikwete alikua anaweza kuongea nayo at some level...
Shida sio kuongea nayo kiivyo,ni kufumua mfumo wote wa siasa wa nchi iwe nchi huru on the Ghana's or SA's or Kenya's level,sio huu upumbavu jaji anapigiwa simu afunge mtu anafunga!
Kesha toa msimamo wake kuwa yeye sio wa kushinda nyumbani, bali atakatiza kila nchi akisaka "wawekezaji"
Sijui kuwa kama huyu mama anatunza kumbukumbu, kuna yule mchina kule Ruvu walimruhusu awekeze kilimo cha mboga mboga, sasa tumeshuhudia huyo muwekezaji akitimuliwa kisa mashine yake ya kusambaza maji ktk bustani yake ni powerful zaidi hivyo imechangia upungufu wa maji [emoji23][emoji23]
Leo tena mama katangaza atasaka wawekezaji nchi za nje waje wawekeze [emoji15]
Nonsense!
Hizo shida chache ni kubwa Sana kiasi huna utulivu kabisa.Trust me nina shida chache kuliko wewe.
Ni kweli sina utulivu kwenye ujinga na upumbavu.Hizo shida chache ni kubwa Sana kiasi huna utulivu kabisa.
Hizo hizo ndizo tunazitaka,dad yako ambae sio kiazi kawekeza kipi chenye patent? 😁😁😀😀Wewe maiti
Hakuna uwekezaji wowote wa maana hapo
Elesewedy kampuni ya electrical Egypt ni masikini na ndogo kama zingine,ni contractor wa umeme kama alivyo Derm Electric
Egypt nchi masikini 3rd world country from Africa,nchi haina patents zozote za innovation yeyote popote
Viazi nyie
Sio tuu huna haki bali hutakiwi kukosoa ambacho wenzako wameumiza kichwa kukifanya..Baba yangu ana uhusiano gani na uvumbuzi au uwekezaji Tanzania?
Tunapozungumzia hoja hapa na wewe unaleta wanadamu wengine wasiohusika kabisa inaonesha huna cha kujibu
Kwavile sijavumbua kitu sina haki ya kuongea chochote au hata ku-comment from user perspective kuhusu hilo?
Kwavile hujui kucheza mpira kama Messi basi huna haki ya kuongelea lolote kuhusu mpira?
Umeona hoja yako inapogeuka mavi?
Eleswedy ni electrical contractor Egypt...ni contractor aliechoka kama Namis Electrical in Tanzania
Uwekezaji wenye impact mpaka technology transfer inafanyika haifanywi na mbwa inafanywa na mfuga mbwa.
Elewa hilo
Watu 50, business class aircraft tickets, 5 star hotel full paid, Perdiem $500 (per day); unaua familia.Unaogopa gharama mkuu? Ndio uwekezaji wenyewe acha azunguke duniani kututafutia watz.
Mimi ndio maana Nina appreciate juhudi zinazofanyika.na wewe unaezungumzia umefikia hiyo qualification unayoitoa hapa?
Nikikwamnia wew ninpung'o utabisha?Kilikuwa mda gani? Pumbavu Sana ,,kimejengwa ndani ya uongozi wa Samia,hutaki kale misumari..
Kwa Samia kila mpuuzi atanyosha mikono,yajayo yanafurahisha👇
View attachment 2035844
View attachment 2035845
View attachment 2035846
Wawekezaji hutafutwa,dangote hakuja tu,plus matangazo CNN and the like,unadhani dunia inaijua tz kihivyo kwamba Wana taarifa zote!!?"Ninalazimika Kusafiri nje ya nchi na Nitasafiri mno tu ili Kuwavutia zaidi Wawekezaji na kamwe sitokaa tu Ikulu ya Chamwino na Magogoni Kisha Watu wengine wanawadanganya Wawekezaji kuhusu Tanzania na tunawakosa kisha nchi yetu inazidi Kuanguka Kiuchumi" Rais Samia jana Kigamboni.
Chanzo: Radio One Nipashe Leo
Mlioko Rwanda, Ethiopia, Misri, Afrika Kusini, Kenya, Morocco na Botswana je, na Wao huko kwa idadi Kubwa ya Wawekezaji ( mpaka Watalii ) walioko na wanaoendelea Kufurika huko ni kutokana na Marais wao 'Kutalii' Ulaya, Marekani, Asia na Mashariki ya Kati Kuwatafuta?
Na je, kama Kazi ya Rais wa Tanzania ni Kusafiri sana Nje ya nchi ili kuwavutia Wawekezaji waje Tanzania nini Kazi ( Jukumu Mama ) la Mabalozi wetu walioko huko na Waziri wa Mambo ya Nje?
Mwisho kabisa GENTAMYCINE nauliza hivi Wawekezaji wanakuja nchini kutokana na Mazingira Rafiki ya Uwekezaji na Biashara ambayo huwa yanajitangaza tu yenyewe kutokana na Historia ya nchi husika Kisiasa na Kidemokrasia au yanamtaka Rais aanze 'Kuzunguka' kuwafuata?
Hata hivyo sishangai sana kama Mshauri Mkuu alikuwa Kinara wa Kukesha Angani huku akilala na kuamkia huko 'Majuu' kwanini na anayemshauri nae 'asiambukizwe' Utamaduni huo ambao kwa Wataalam wa Uchumi wanasema unaitia Hasara nchi / Serikali kwa Kugharamia 'Delegation' yake nzima.
Sijui na Mimi kwa Kusema na Kuhoji hili nitajumuishwa katika kile alichokiita Kikosi Maalum na cha Kimkakati cha Kumkwamisha na Kumuharibia alichokitaja huku akiwa amekasirika sana Juzi kule Mbagala.
Ewe Mwenyezi Mungu usiniache Baba!!