Rais Samia: Nitaendelea kuzunguka kuwaambia wawekezaji waje Tanzania

Rais Samia: Nitaendelea kuzunguka kuwaambia wawekezaji waje Tanzania

showing her true colour, kuzurura ndio kunaleta investors? Childish attitude, na mabalozi wanafanya nini huko walipo? Anashindwa hata kujenga hoja akaeleweka?
Watoto wa Mjini tunasema tumepigwa!!
 
"Ninalazimika Kusafiri nje ya nchi na Nitasafiri mno tu ili Kuwavutia zaidi Wawekezaji na kamwe sitokaa tu Ikulu ya Chamwino na Magogoni Kisha Watu wengine wanawadanganya Wawekezaji kuhusu Tanzania na tunawakosa kisha nchi yetu inazidi Kuanguka Kiuchumi" Rais Samia jana Kigamboni.

Chanzo: Radio One Nipashe Leo

Mlioko Rwanda, Ethiopia, Misri, Afrika Kusini, Kenya, Morocco na Botswana je, na Wao huko kwa idadi Kubwa ya Wawekezaji ( mpaka Watalii ) walioko na wanaoendelea Kufurika huko ni kutokana na Marais wao 'Kutalii' Ulaya, Marekani, Asia na Mashariki ya Kati Kuwatafuta?

Na je, kama Kazi ya Rais wa Tanzania ni Kusafiri sana Nje ya nchi ili kuwavutia Wawekezaji waje Tanzania nini Kazi ( Jukumu Mama ) la Mabalozi wetu walioko huko na Waziri wa Mambo ya Nje?

Mwisho kabisa GENTAMYCINE nauliza hivi Wawekezaji wanakuja nchini kutokana na Mazingira Rafiki ya Uwekezaji na Biashara ambayo huwa yanajitangaza tu yenyewe kutokana na Historia ya nchi husika Kisiasa na Kidemokrasia au yanamtaka Rais aanze 'Kuzunguka' kuwafuata?

Hata hivyo sishangai sana kama Mshauri Mkuu alikuwa Kinara wa Kukesha Angani huku akilala na kuamkia huko 'Majuu' kwanini na anayemshauri nae 'asiambukizwe' Utamaduni huo ambao kwa Wataalam wa Uchumi wanasema unaitia Hasara nchi / Serikali kwa Kugharamia 'Delegation' yake nzima.

Sijui na Mimi kwa Kusema na Kuhoji hili nitajumuishwa katika kile alichokiita Kikosi Maalum na cha Kimkakati cha Kumkwamisha na Kumuharibia alichokitaja huku akiwa amekasirika sana Juzi kule Mbagala.

Ewe Mwenyezi Mungu usiniache Baba!!
Kazi iendeleeee
 
baadala ya kujengea uwezo watanzania wawekeze wenyewe unakwenda kuwaleta slave masters waje kuchukua slave wao na kuwaswaga...

Tuna eneo kubwa sana ambalo tukiwatumia hawa hawa watanzania nchi itakwenda mbele sana kwa kasi....

Jenga irrigation schemes kila kona ya nchi, shusha riba za mikopo kwenye mabenki mpaka chini ya 5%, yalete makampuni yajenge viwanda vya kuunganisha matractor na toa kodi kabisa na ushuru wa matraktor na zana zingine za kilimo... toa kabisa ushuru wa mazao huko mapolini...WAACHE WATANZANIA WALIME HALAFU UONE WATU WATAKAVYOLETA MAMELI KUNUNUA MAZAO YA KILIMO....

Serikali kupitia STAMICO ianze mara moja kuexplore maeneo ya uchimbaji na kutoa elimu kwa wachimbaji sambamba na usimamizi, muanze kukopesha vifaa vya uchimbaji na kodi iwe ndogo, mhamasishe watu wachimbe kwa kutoa usaidizi wa kitaalam na controlling kwenye maeneo yote ya uchimbaji.... serikali inunue madini kwa hata 50% na kuweka stock..

Serikali ipeleke vijana kwa kuwapa scholarship nchi mbalimbali wakajifunze skills mbalimbali sio kwenda kusoma PHD na degrees hapana short courses za kuacqure skills na pia hapa ndani vyuo vya veta viwekewe mafungu ya kutosha na kuwezeshwa kitalaam ili viweze kufundisha vijana wengi na serikali kutoa usaidizi wa mikopo kwa ajili ya viwanda vidogo vidogo...

Unahitaji akili ndogo sana kuitoa Tanzania hapa na kuipeleka mbele, Vingine vyote Mwenyezi Mungu alishatenda kwa kutupa ardhi yenye kila kiti...
Ni bahati mbaya kwa Tanzania yetu hii Watu 'very Intelligent and Visionary' kama Wewe hivi hawatakiwi na hawapendwi pia ila wale walio 'typical Fools' na 'Hypocrites' ndiyo wanatakiwa, kukumbatiwa na kupewa zaidi Kipaumbele katika CCM, Serikali na hata ndani ya 'System' yetu.
 
"Ninalazimika Kusafiri nje ya nchi na Nitasafiri mno tu ili Kuwavutia zaidi Wawekezaji na kamwe sitokaa tu Ikulu ya Chamwino na Magogoni Kisha Watu wengine wanawadanganya Wawekezaji kuhusu Tanzania na tunawakosa kisha nchi yetu inazidi Kuanguka Kiuchumi" Rais Samia jana Kigamboni.

Chanzo: Radio One Nipashe Leo

Mlioko Rwanda, Ethiopia, Misri, Afrika Kusini, Kenya, Morocco na Botswana je, na Wao huko kwa idadi Kubwa ya Wawekezaji ( mpaka Watalii ) walioko na wanaoendelea Kufurika huko ni kutokana na Marais wao 'Kutalii' Ulaya, Marekani, Asia na Mashariki ya Kati Kuwatafuta?

Na je, kama Kazi ya Rais wa Tanzania ni Kusafiri sana Nje ya nchi ili kuwavutia Wawekezaji waje Tanzania nini Kazi ( Jukumu Mama ) la Mabalozi wetu walioko huko na Waziri wa Mambo ya Nje?

Mwisho kabisa GENTAMYCINE nauliza hivi Wawekezaji wanakuja nchini kutokana na Mazingira Rafiki ya Uwekezaji na Biashara ambayo huwa yanajitangaza tu yenyewe kutokana na Historia ya nchi husika Kisiasa na Kidemokrasia au yanamtaka Rais aanze 'Kuzunguka' kuwafuata?

Hata hivyo sishangai sana kama Mshauri Mkuu alikuwa Kinara wa Kukesha Angani huku akilala na kuamkia huko 'Majuu' kwanini na anayemshauri nae 'asiambukizwe' Utamaduni huo ambao kwa Wataalam wa Uchumi wanasema unaitia Hasara nchi / Serikali kwa Kugharamia 'Delegation' yake nzima.

Sijui na Mimi kwa Kusema na Kuhoji hili nitajumuishwa katika kile alichokiita Kikosi Maalum na cha Kimkakati cha Kumkwamisha na Kumuharibia alichokitaja huku akiwa amekasirika sana Juzi kule Mbagala.

Ewe Mwenyezi Mungu usiniache Baba!!
Pls ninong'onezee maana nasikia hits hicho kiwanda alichoenda kukifungua Jana kinatokana na ziara ya Rais wiki tatu zilizopita huko Misri?
Maana matangazo kibao mtaani eti matunda ya ziara za mama na Kama wamejenga kiwanda kwa wiki tatu Basi wako vizuri nadhani Hadi December mwakani tutakuwa tunaisogelea Korea.
 
Njia ya muongo fupi,baada ya miaka yake 4 ndo tutajua ziara hiza zilileta watalii au mama alikuwa akila Bata Kama mzee wa Msoga.
bata tupu, lakini hata kama ni mimi mkuu ningekula bata na watu wangu wa karibu sababu wananchi wenyewe ni wajinga hawajui hata haki zao
 
"Ninalazimika Kusafiri nje ya nchi na Nitasafiri mno tu ili Kuwavutia zaidi Wawekezaji na kamwe sitokaa tu Ikulu ya Chamwino na Magogoni Kisha Watu wengine wanawadanganya Wawekezaji kuhusu Tanzania na tunawakosa kisha nchi yetu inazidi Kuanguka Kiuchumi" Rais Samia jana Kigamboni.

Chanzo: Radio One Nipashe Leo

Mlioko Rwanda, Ethiopia, Misri, Afrika Kusini, Kenya, Morocco na Botswana je, na Wao huko kwa idadi Kubwa ya Wawekezaji ( mpaka Watalii ) walioko na wanaoendelea Kufurika huko ni kutokana na Marais wao 'Kutalii' Ulaya, Marekani, Asia na Mashariki ya Kati Kuwatafuta?

Na je, kama Kazi ya Rais wa Tanzania ni Kusafiri sana Nje ya nchi ili kuwavutia Wawekezaji waje Tanzania nini Kazi ( Jukumu Mama ) la Mabalozi wetu walioko huko na Waziri wa Mambo ya Nje?

Mwisho kabisa GENTAMYCINE nauliza hivi Wawekezaji wanakuja nchini kutokana na Mazingira Rafiki ya Uwekezaji na Biashara ambayo huwa yanajitangaza tu yenyewe kutokana na Historia ya nchi husika Kisiasa na Kidemokrasia au yanamtaka Rais aanze 'Kuzunguka' kuwafuata?

Hata hivyo sishangai sana kama Mshauri Mkuu alikuwa Kinara wa Kukesha Angani huku akilala na kuamkia huko 'Majuu' kwanini na anayemshauri nae 'asiambukizwe' Utamaduni huo ambao kwa Wataalam wa Uchumi wanasema unaitia Hasara nchi / Serikali kwa Kugharamia 'Delegation' yake nzima.

Sijui na Mimi kwa Kusema na Kuhoji hili nitajumuishwa katika kile alichokiita Kikosi Maalum na cha Kimkakati cha Kumkwamisha na Kumuharibia alichokitaja huku akiwa amekasirika sana Juzi kule Mbagala.

Ewe Mwenyezi Mungu usiniache Baba!!
Vyovyote hiwavyo,mama tafuta wawekezaji sisi wakulima tulipotea kwenye ramani.Mazao kama dengu,choroko,mbaazi,kunde n.k yalikosa soko.
 
Hao ndio wanaadamu.

Walimsema sana JPM kwa kuwa alikataa kusafiri, Leo mama kaamua kuzifukuzia fursa pia wanasema.

Kudaadeki zao mbweha hawa! Na miaka hii mpaka kufikia 2030 watasema mpaka vinywa vitoke makamasi

issue sio kusafiri, unasafiri kwa manufaa yapi, nini impact ya kusafiri, nini impact ya wewe kutosafiri hovyohovyo na baadala yake kutumia resources nyingine kuleta matokeo yaleyale..

Unapojisifia kwa kusafiri kwenda kuleta wawekezaji wakati huku hujajenga uwezo kwa watu wako kuweza kuwaaccomodate hao wawekezaji au hujaweka mazingira rafiki kwa wawekezaji kuwekeza na jamii kunufaika...

Haina maana kuna muwekezaji wakati watu wako hawana mitaji ya kuwa supplies na watoa huduma kwa hao wawekezaji baadala yake wahindi na waarabu wanagrab hizo opportunities na watu wanaendelea kuwa watumwa...Lengo la kuleta wawekezaji sio win-win ( hii inabaki kwenye makaratasi) lengo kuu haswa ni sisi tuwin saaana na wao wawin kidogo lakini matokeo yake wao wanawin saaaana na sisi tunapoteza saaaana...
Madhara ya uwekezaji na watu kutokuwa tayari ni hii issue ya YUTEK kutupiga kwasababu ya watu kutokuwa timamu kiakili..

Tunataka uwekezaji, lakini uendana sambamba na kuacha alama kwa watanzania, namaanisha kupitia uwekezaji watanzania wengi wanufaike sio tu kupitia ajira na kulipwa hela mbuzi hapana, wapate ajira walipwe vizuri na usalama wao uzingatiwa na mafunzo wapewe, wawekezaji wawe joint venture na wazawa, wawekezaji watumie supplies wazawa na watoa huduma wazawa.....
 
Nimeangalia mahojiano ya Dr Slaa aliyoyafanya TBC1 juzi na Gangana naona amekutaja Gentamycine.!
Wewe ulijisikiaje baada ya GENTAMYCINE wa JamiiForums kutajwa na Mtu High Profile Figure kama Dk. Wilbroad Slaa?

Ukiwa ni Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hutokosa kuwa Mioyoni mwa Watu makini, wanafilosofia na Werevu.

Sifa zote ziende kwa Mwenyezi Mungu.
 
issue sio kusafiri, unasafiri kwa manufaa yapi, nini impact ya kusafiri, nini impact ya wewe kutosafiri hovyohovyo na baadala yake kutumia resources nyingine kuleta matokeo yaleyale..

Unapojisifia kwa kusafiri kwenda kuleta wawekezaji wakati huku hujajenga uwezo kwa watu wako kuweza kuwaaccomodate hao wawekezaji au hujaweka mazingira rafiki kwa wawekezaji kuwekeza na jamii kunufaika...

Haina maana kuna muwekezaji wakati watu wako hawana mitaji ya kuwa supplies na watoa huduma kwa hao wawekezaji baadala yake wahindi na waarabu wanagrab hizo opportunities na watu wanaendelea kuwa watumwa...Lengo la kuleta wawekezaji sio win-win ( hii inabaki kwenye makaratasi) lengo kuu haswa ni sisi tuwin saaana na wao wawin kidogo lakini matokeo yake wao wanawin saaaana na sisi tunapoteza saaaana...
Madhara ya uwekezaji na watu kutokuwa tayari ni hii issue ya YUTEK kutupiga kwasababu ya watu kutokuwa timamu kiakili..

Tunataka uwekezaji, lakini uendana sambamba na kuacha alama kwa watanzania, namaanisha kupitia uwekezaji watanzania wengi wanufaike sio tu kupitia ajira na kulipwa hela mbuzi hapana, wapate ajira walipwe vizuri na usalama wao uzingatiwa na mafunzo wapewe, wawekezaji wawe joint venture na wazawa, wawekezaji watumie supplies wazawa na watoa huduma wazawa.....
Its unfortunate that Intellectuals and Rational Thinker like you are very few in Tanzania.
 
Nafasi ya Tanzania pamoja na fursa zake kiuchumi na kiuwekezaji huwezi fananisha na Mataifa uliyoyataja!

Tanzania tuko nyuma kimaendeleo kwa sababu nyingi moja wapo ni kutojitangaza na kuji brand vizuri. Huwezivkujibrand na kujitangaza ukiwa ndani. Lazima utoke nje. Mama Samia yuko sahihi
Mmhhhh awamu ya nne mbona imeitangaza sana tz,maana safari zilikuwa za kutosha kama jk alishindwa wakati ule je ss ataweza kuitangaza? Jamani uhuru ukitamalaki haya mambo huja menyewe.
Mbona zamani tuliambiwa nchi ya amani sana walijuaje? Utawala wa sheria na haki ndo utambulisho haswa. Na wala huwezi kwenda kuwalamba miguu wao watakuja kuwekeza.
 
Ngoja amalize miaka yake mitano tuone hio branding kama itakuwa imemaliza machinga wenye masters mtaani kupitia ajira.
Nafasi ya Tanzania pamoja na fursa zake kiuchumi na kiuwekezaji huwezi fananisha na Mataifa uliyoyataja!

Tanzania tuko nyuma kimaendeleo kwa sababu nyingi moja wapo ni kutojitangaza na kuji brand vizuri. Huwezivkujibrand na kujitangaza ukiwa ndani. Lazima utoke nje. Mama Samia yuko sahihi
 
"Ninalazimika Kusafiri nje ya nchi na Nitasafiri mno tu ili Kuwavutia zaidi Wawekezaji na kamwe sitokaa tu Ikulu ya Chamwino na Magogoni Kisha Watu wengine wanawadanganya Wawekezaji kuhusu Tanzania na tunawakosa kisha nchi yetu inazidi Kuanguka Kiuchumi" Rais Samia jana Kigamboni.

Chanzo: Radio One Nipashe Leo

Mlioko Rwanda, Ethiopia, Misri, Afrika Kusini, Kenya, Morocco na Botswana je, na Wao huko kwa idadi Kubwa ya Wawekezaji ( mpaka Watalii ) walioko na wanaoendelea Kufurika huko ni kutokana na Marais wao 'Kutalii' Ulaya, Marekani, Asia na Mashariki ya Kati Kuwatafuta?

Na je, kama Kazi ya Rais wa Tanzania ni Kusafiri sana Nje ya nchi ili kuwavutia Wawekezaji waje Tanzania nini Kazi ( Jukumu Mama ) la Mabalozi wetu walioko huko na Waziri wa Mambo ya Nje?

Mwisho kabisa GENTAMYCINE nauliza hivi Wawekezaji wanakuja nchini kutokana na Mazingira Rafiki ya Uwekezaji na Biashara ambayo huwa yanajitangaza tu yenyewe kutokana na Historia ya nchi husika Kisiasa na Kidemokrasia au yanamtaka Rais aanze 'Kuzunguka' kuwafuata?

Hata hivyo sishangai sana kama Mshauri Mkuu alikuwa Kinara wa Kukesha Angani huku akilala na kuamkia huko 'Majuu' kwanini na anayemshauri nae 'asiambukizwe' Utamaduni huo ambao kwa Wataalam wa Uchumi wanasema unaitia Hasara nchi / Serikali kwa Kugharamia 'Delegation' yake nzima.

Sijui na Mimi kwa Kusema na Kuhoji hili nitajumuishwa katika kile alichokiita Kikosi Maalum na cha Kimkakati cha Kumkwamisha na Kumuharibia alichokitaja huku akiwa amekasirika sana Juzi kule Mbagala.

Ewe Mwenyezi Mungu usiniache Baba!!
Mkuu


Tuliingizwa mjini kisa usawa wa kijinsia.

Ukiwa Zanzibar hasa pale Forodhani wenyeji wa viunga vya visiwa hivyo vya Unguja na Pemba wanathamini sana akiwa karibu na ngozi nyeupe, yuko radhi kufanya chochote alimradi apate fursa ya kuneemeka na alichonacho lakini kisichobadili uwezo wa kuvimiliki au kujitegemea.

*Inferiority complex is a disaster to humanity affairs
Whilst
*Superiority arrogance secures humanity dignity
 
Back
Top Bottom