Rais Samia: Nitaifumua Wizara ya Mambo ya Nje

Waliamua kuipa tenda Kampuni ya DERMA, eti kisa ni kampuni mzawa, of which ni kigogo wa utumishi, wakaacha kuangalia ubora.


Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Anamuogopa sana Marope yani kampa Ile wizara ila kutwa kumuandama, kamuondelea mabwana suti sasa haitoshi anataka tena aifumue fumue yani Marope atataseka sana kama awamu ya nne alimwambia akilamba FA ndo atapata connections 2025 basi hesabu zinaenda kuwa fakesl🤣🤣🤣🤣
 
Balozi zetu dah!

Kama huu uliopo hapa Washington DC. Hata NIDA wana unafuu. Sijui tatizo ni nini [emoji706][emoji706][emoji706]
Huyo kutwa yupo LinkedIn ku-post taarifa za magazeti ya Ulaya kama Afisa habari wa Ubalozi wakati yeye ni Blaozi.
Lakini jana Mama karopoka kuwa majina yanapelekwa kwake mengine wanamwambia ya Katibu Mkuu na yeye anakuwa na yake.Is this how government works globally!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Yaani ni aibu kubwa sn
 
Kuna mistake kubwa ilikwisha fanyika. Tujililie wenyewe. Kuchagua viongozi wetu hasa wakuu, isiwe kigezo cha majaribio.
Lazima mtu awe anafaa kukalia kiti. Lazima awe ni mtu mwenye kiasi na anayetambua ukubwa wa dhamana aliyopewa.
Viongozi huandaliwa na siyo mtu anaunda mtandao wake na majambazi wenzake wanatumia pesa chafu kununua uongozi, Baada ya Nyerere alipaswa afuate Jaji Warioba, Dr Salimu, Mkapa kwa mbali n.k
 
Hiyo wizara inazalisha.nini
 
Utumishi wa umma umekuwa rahisi kiasi hicho? Hasa kwenye hizo kazi nyeti?

Yap, kwanini? Maana ufuatiliaji ni mdogo, monitoring ni kama hakuna, na pia hawana pressure ya kudeliver service za viwango.
Kwenye private sector monitoring ni ya hali ya juu maana wanajua wakilega mapato yanapungua.
Serikalini wakilega nn kinapungua kama everymonth mshahara upow with less monitoring?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…