Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
π π π π π π π ...Amejitwalia kiti cha mbele kama geni rasmi. wakati hatakiwi kukaa hatra nje ya ukumbi. Ujinga ni kipaji kwa watu wengine. Na huwa wanatumia maguvu kama yote wakijitutumua ili waonekane na wao wapo. Kweli huyo hamzoπππππKweli we hamnazo!
Makamba aliyelidodesha taifa kiuchumi wizara ya Nishati, ndio kwako unaiona spidi?