Rais Samia: Nitaifumua Wizara ya Mambo ya Nje

Rais Samia: Nitaifumua Wizara ya Mambo ya Nje

Kweli we hamnazo!
Makamba aliyelidodesha taifa kiuchumi wizara ya Nishati, ndio kwako unaiona spidi?
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ...Amejitwalia kiti cha mbele kama geni rasmi. wakati hatakiwi kukaa hatra nje ya ukumbi. Ujinga ni kipaji kwa watu wengine. Na huwa wanatumia maguvu kama yote wakijitutumua ili waonekane na wao wapo. Kweli huyo hamzoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yap, kwanini? Maana ufuatiliaji ni mdogo, monitoring ni kama hakuna, na pia hawana pressure ya kudeliver service za viwango.
Kwenye private sector monitoring ni ya hali ya juu maana wanajua wakilega mapato yanapungua.
Serikalini wakilega nn kinapungua kama everymonth mshahara upow with less monitoring?

Ila utawatambua kwa mbwembwe za magari wanayopanda, suti wanazo vaa na zile bendera wanazoweka kwenye kola.
Kazi gani wanafanya, hakuna anayejua..ukiona mbio mbio wanawahi semina ili wapate perdiem. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Anataka kufanya kwa maelekezo ya Makamba? Kama alivyonteua Maharage baada ya kufanyiwa usail na Makamba?

Mambo ni mengi mno, naona Makamba anepata chaka lingine la kupiga fedha za Umma kwa kisingizio cha β€˜reform’ [emoji3][emoji3]

Halafu amwambie Makamba yule aliyempa tenda za Nguzo za zege zimeanza kukatika huku [emoji24][emoji24][emoji24]
Makamba tapeli Sana yule,
Kila anapohamishwa analalamika pabovu,pafumiliwe pote aanze upya.
 
Reform za Tanesco ndo zinahamia Wizara ya mambo ya nje?

Kwani ni LAZIMA kupokea Kila ushauri pasi kuchuja?

Kipara anaweza kufanya reform Gani?
Uyu kipara anajifanya kila kitu anajua[emoji34]
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ...Amejitwalia kiti cha mbele kama geni rasmi. wakati hatakiwi kukaa hatra nje ya ukumbi. Ujinga ni kipaji kwa watu wengine. Na huwa wanatumia maguvu kama yote wakijitutumua ili waonekane na wao wapo. Kweli huyo hamzoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Cc...ha ha ha ! .... FaizaFoxy
 
Mwelekeo mzuri ,wa faidika wa nepotism na upendeleo mzigo kwa taifa. Meritocracy is the way forward.
 
Back
Top Bottom