Rais Samia: Nitaifumua Wizara ya Mambo ya Nje

Kweli we hamnazo!
Makamba aliyelidodesha taifa kiuchumi wizara ya Nishati, ndio kwako unaiona spidi?
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ...Amejitwalia kiti cha mbele kama geni rasmi. wakati hatakiwi kukaa hatra nje ya ukumbi. Ujinga ni kipaji kwa watu wengine. Na huwa wanatumia maguvu kama yote wakijitutumua ili waonekane na wao wapo. Kweli huyo hamzoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Ila utawatambua kwa mbwembwe za magari wanayopanda, suti wanazo vaa na zile bendera wanazoweka kwenye kola.
Kazi gani wanafanya, hakuna anayejua..ukiona mbio mbio wanawahi semina ili wapate perdiem. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Bila shaka ayo ni mapendekezo ya KIPARA, kina anapoenda anasaga kunguni ili pafumuliwe aanze upya
 
Makamba tapeli Sana yule,
Kila anapohamishwa analalamika pabovu,pafumiliwe pote aanze upya.
 
Reform za Tanesco ndo zinahamia Wizara ya mambo ya nje?

Kwani ni LAZIMA kupokea Kila ushauri pasi kuchuja?

Kipara anaweza kufanya reform Gani?
Uyu kipara anajifanya kila kitu anajua[emoji34]
 
Cc...ha ha ha ! .... FaizaFoxy
 
Mwelekeo mzuri ,wa faidika wa nepotism na upendeleo mzigo kwa taifa. Meritocracy is the way forward.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…