Rais Samia punguza upendeleo kila kitu kiwe Zanzibar

Rais Samia punguza upendeleo kila kitu kiwe Zanzibar

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.

Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!

Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.

Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.
 
Aende tu, sina shida na hilo! Kukopa kwa jina la Tanganyika kwaajili ya Znz wasiochangia kulipa mkopo huo ndo tatizo kubwa ikifiatiwa na mgawanyo usio sawa wa utajiri wetu; wanadai wao ni nchi huru, sasa unahamaje nchi yako kwenda nchi nyingine bila vibali, pasi ya kusafiria, resident permit? Zaidi inajichukulia tu ardhi kama uko Makunduchi....

Mwenyekiti wa CCM haoni tatizo, raisi wa JMT anaona sawa, raisi wa Tanganyika bwana Mipango kawekwa mwandani, hafurukuti n.k
 
Tatizo rais hapangiwi cha kufanya. Ref: JPM "mimi ndio rais, sipangiwi"
Kingine watu wanaomzunguka mh huwa ni watu ndio mtukufu mtwa kama si watu walio makini sana kulinda kitumbua chao kisipatwe mchanga
 
Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.

Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!

Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.

Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.
Tangu mwaka umeanza ameshaenda kwao zaidi ya mara 6
 
Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.

Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!

Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.

Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.

B86F86BD-207A-4E5A-9083-34604DB470EB.jpeg
 
Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.

Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!

Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.

Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.
Katika hili la safari za kwenda nyumbani kwao sioni tatizo. Hata ikiwa ata commute/Kwenda na kurudi Ikulu kila siku. Maana ni nyumbani.
Tatizo tu ni kuwa asipendelee sana kwao hasa katika mgao wa hela ya Maendeleo. Igawiwe kwa HAKI. Maana mwisho wa siku ni sisi Tz Bara ndo tutalipa MIKOPO yeyote itakayokopwa kwa jina la JMTZ.!
 
Back
Top Bottom