1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Hatuhitaji kura nyingi za dhulma na damu za watu.Wewe una kura ngapi na kutoka wapi?
Hata 50.5 ni ushindi utakaompa uongozi na tutaleta Serikali ya umoja wa Kitaifa. Mbowe Naibu Waziri Mkuu. Nchi imechangamka kuanzia 2022 mpaka 2035 akistaafu Rais wetu mpendwa. Akituletea Katiba mpya bas atakua Malkia na mama wa Taifa apende asipende .