Rais Samia punguza upendeleo kila kitu kiwe Zanzibar

Rais Samia punguza upendeleo kila kitu kiwe Zanzibar

Mchukia kwao mtumwa wacha aende tu na wacha atumie tu ayo mapesa na madege
Watanzania tujipange tu kupata vyama vya siasa imara na vitakavyoweza kututetea sisi wananchi nazan iyo ndo itakua tiba yetu na jingne ni
Watanzania tujifunze kua na lugha moja
 
Mchukia kwao mtumwa wacha aende tu na wacha atumie tu ayo mapesa na madege
Watanzania tujipange tu kupata vyama vya siasa imara na vitakavyoweza kututetea sisi wananchi nazan iyo ndo itakua tiba yetu na jingne ni
Watanzania tujifunze kua na lugha moja na tusimamie kle tunaamin kwa maslai ya taifa
 
Usipoangalia mpaka ukifika muda huo utakua unaishi na maumivu iwapo SSH ataendelea kuwa rais mpaka 2030.
Hizi mambo za sijui hadi 2030 msiwe mnasema, maana baadae mtasababisha mtukanwe matusi mengi
Hamjifunzi tu?
 
Tayari keshatoa boko kwenye kupanda bei za bidhaa akihusianisha na vita ya wiki mbili ya huko ukraini, bora mama angepumzika 2025.......atasifika pia kwa kuwa miongoni mwa marais waliowahi kuongoza Tanzania.
 
Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.

Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!

Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.

Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.
Unasema kweli but Magu hakuacha pumzi itoke yote ndiyo maana walimkaba koo but BiM kaachia, watu wanakula urefu wa kamba so hata akihamishia mashimo ya Tanzanite kule Fukuchani hakuna hatayepiga ukunga.

Kumbuka kuna moshi unatoka sababu amesingizia Ukraine crisis kupanda kwa bei ya bidhaa so ukipata nafasi toa barua yao isije ikafika.
 
sijaona ubaya wowote.jamhur ya muungano wa Tanzania ni moja.ubaya upo wap
 
Mbon mnasahau mapema hvyo, JIWE hadi alitaka kupafanya chato kuwa mkoa
 
Back
Top Bottom