2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Mpango hajawahi kufanya ziara nje ya Kigoma,vipi akiwa rais? Hii nchi nilijua wabinafsi wachaga na wahaya tu kumbe kila kiongozi ni mbinafsi.Tangu mwaka umeanza ameshaenda kwao zaidi ya mara 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpango hajawahi kufanya ziara nje ya Kigoma,vipi akiwa rais? Hii nchi nilijua wabinafsi wachaga na wahaya tu kumbe kila kiongozi ni mbinafsi.Tangu mwaka umeanza ameshaenda kwao zaidi ya mara 6
Haya makabila madogo ndiyo wabinafsi kupita kiasi, Mpango yeye Dodoma na KigomaMpango hajawahi kufanya ziara nje ya Kigoma,vipi akiwa rais? Hii nchi nilijua wabinafsi wachaga na wahaya tu kumbe kila kiongozi ni mbinafsi.
Watu ni wanaharakati wakiwa nje ya system ila wakishaingia ndani ni wabinafsi sana,kwa sasa zbar itakuwa juu kuliko tz bara, twendeni tu na katiba hiiHaya makabila madogo ndiyo wabinafsi kupita kiasi, Mpango yeye Dodoma na Kigoma
PM naye ziara zake 80% ni LindiWatu ni wanaharakati wakiwa nje ya system ila wakishaingia ndani ni wabinafsi sana,kwa sasa zbar itakuwa juu kuliko tz bara, twendeni tu na katiba hii
Sio kweli,watu tulisema na hata Leo bado tunasema. Jiwe alipendelea chatoMwacheni mama, hayati alikua anaapisha viongozi Chato na mlifunga midomo yenu
Hizi mambo za sijui hadi 2030 msiwe mnasema, maana baadae mtasababisha mtukanwe matusi mengiUsipoangalia mpaka ukifika muda huo utakua unaishi na maumivu iwapo SSH ataendelea kuwa rais mpaka 2030.
Unasema kweli but Magu hakuacha pumzi itoke yote ndiyo maana walimkaba koo but BiM kaachia, watu wanakula urefu wa kamba so hata akihamishia mashimo ya Tanzanite kule Fukuchani hakuna hatayepiga ukunga.Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.
Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!
Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.
Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.
Ficha ujinga wako na chuki zako kwa Rais wetu! Mbona Jiwe alifanya mambo mengi tu ya hovyo huko CHATU /CHATU na ulifyata mkia wako?!
Ukiwa kiongozi ukifa hauozi?Wote, mimi, wewe, yeye tutakua marehemu na hayati (hapa inategemea umekufaje? kiboya au ukiwa kiongozi)
Hauozi mentally,unaacha legacy inaendelea kuishi, ila ukifa kiboya ata familia yako itasahau kama uliishi.Ukiwa kiongozi ukifa hauozi?
Sijui kama unaelewa maana ya hiyo picha!. Mbowe yupo uraiani na jumapili kasali pale Azania Front.
Ni katiba ya hovyo snTatizo katiba yetu
Mungu akipenda mkuu Memento.Hizi mambo za sijui hadi 2030 msiwe mnasema, maana baadae mtasababisha mtukanwe matusi mengi
Hamjifunzi tu?
Huyu kukiwa na tume huru akasimama na Mayele kwenye sanduku la kura Mayele atapata 80% kwa 20%CCM ianze kutafuta mgombea Urais 2025.
Hii inayosemekama kazi iendelee tunajipaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Hakuna mgombea hapo.
Watu walisema na kulalamika na ndio maana sasa pia wanasema na kulalamikaMbon mnasahau mapema hvyo, JIWE hadi alitaka kupafanya chato kuwa mkoa