Rais Samia punguza upendeleo kila kitu kiwe Zanzibar

Rais Samia punguza upendeleo kila kitu kiwe Zanzibar

Tanzania ina wagonjwa wengi wa stress na Husda.
Huyu mleta Uzi kama si Choko basi Mwehu.
Inamuumaje kuona rasi anachacharika huku na kule kuleta maelewano, yeye anaaanz uleta ubaguzi na zwazwa.
Hivi alitaka samia awe anaenda Bukoba kila week endi badala ya kuenda kwao waliko jamaa zake ?
Aualutaka samia ahamishie familia yote Dodoma.
Wazanzibari ni Extended family ,kila siku ya muungu utapatwa na msiba, furaha au Mgonjwa, na kwa utamaduniu wa Zanzibar kila mara huwa tunajuliana hali.
Kama Huyu mtu anaona Kuishi na Wazanzibari ni shida ,basi apeleke hoja binafsi bungeni kusitisa Muungano kwa jibu wa Nyongeza ya Pili ya Katiba.
 
Tanzania ina wagonjwa wengi wa stress na Husda.
Huyu mleta Uzi kama si Choko basi Mwehu.
Inamuumaje kuona rasi anachacharika huku na kule kuleta maelewano, yeye anaaanz uleta ubaguzi na zwazwa.
Hivi alitaka samia awe anaenda Bukoba kila week endi badala ya kuenda kwao waliko jamaa zake ?
Aualutaka samia ahamishie familia yote Dodoma.
Wazanzibari ni Extended family ,kila siku ya muungu utapatwa na msiba, furaha au Mgonjwa, na kwa utamaduniu wa Zanzibar kila mara huwa tunajuliana hali.
Kama Huyu mtu anaona Kuishi na Wazanzibari ni shida ,basi apeleke hoja binafsi bungeni kusitisa Muungano kwa jibu wa Nyongeza ya Pili ya Katiba.

A34B864D-48F8-421F-9D56-41990DE36ED3.jpeg
 
Mwacheni mama, hayati alikua anaapisha viongozi Chato na mlifunga midomo yenu
Hakuna aliyefunga mdomo Kuna nyuzi nyingi Sana jf za kuhoji hizo safar za Jiwe Chato Ila watu kama nyinyi mlim support Jiwe Na Leo pia tunahoji mnam support Hangaya, Embu ifike wakat tujitambue bas
 
Tangu ateuliwe kupitia katiba ni mwaka mmoja sasa hajawahi kufika mikoa ya kusini mwa Tanzania.

Kule panatawaliwa na Rais wa Msumbiji?
Majaliwa na Mpango hawajafika huko?. Lawama hizi hizi alikuwa anapewa JPM kwamba hajafika kusini, Rais anayo ratiba ngumu sana.
 
Tanganyika ndiyo nini? Mbona haionekani kwenye ramani, haionekani kwenye Atlas, haionekani kwenye Google Maps? Unataka Wazanzibari waombe vibali vya kwenda nchi ambayo haionekani? Machogo mna matatizo sana.
Nadhani utakuwa na tatizo la kiakili..itoshe kusema wewe ni punguani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Did you ask why watu walikua kimya na kuridhia?

Perhaps watu walimpenda na kumuamin kias cha kutokua na shaka naye... Ila ukiona watu kinawafurukuta rohon.. ujue bas kuna uwalakin.
Hapo hakuna Cha kumwamini Wala Nini?
Udini TU na ukabila umewajaa watanganyika linapokuja suala la madaraka.
Kila akitokea Rais wa dini ya kiislam watu wanapanua midomo kama Makinda ya Kunguru kumlalamikia na kulaumu kila jambo.
Acheni hizo bhana.
Kuna Watanganyika wanawaza kupata uteuzi TU na sio amani ya kweli na utulivu wa Nchi.

Waacheni Wazanzibari wapumue kidogo mana mnawabana kila kitu kwenye uchumi .
Wazanzibar fursa zao zinazuiwa makusudi na wezi wa bara waliozoea kujilimbikizia Mali Kwa Rushwa. Sasa wanaona Fursa zimepanuka mpaka Zenji.
After all wanaosumbuka na Muungano ni wezi wa Bara na sio wazanzibar. Zanzibari hata kesho ukitaka kuwaachia nchi yao hawana Tabu . Bara wanakuja na visingizio vya usalama sijui na nini.!! Mkoloni alikaa na Wazanzibar Kwa miaka mingi na hapakua na Tatizo kila mmoja akiwa na nchi yake.

Tuwaheshimu Wazanzibar na watu wa Pwani na Waislam kwani ni watu waungwana sana. Kuna watu wa Bara wanaona wao TU ndio wenye sifa za kuongoza lakini wakipata madaraka hakuna unafuu wowote Kwa wananchi zaidi ya wachache kujilimbikizia Mali na kupeana madaraka na Rushwa,ukabila na Udini unaofanyika chichini chini huku wakitumia nguvu kubwa kudhibiti watu wa watu wasilalamike hata Kwa takwimu za wazi.


Mh . Mama Samia Rais wetu chapa Kazi achana na wahuni waliozoea kubebwa na mifumo kandamizi ya Kikoloni na Kifarao.

Watanzania ( Wazanzibari na watanganyika ) Sasa wanapumua kwenye nchi yao.Kwa miaka mingi Wapemba walionewa sana na bahati nzuri ni kwasababu Mwenyezi Mungu amewabariki kwenye biashara zao hawategemei pesa za kukwapua kwenye maofisi ya umma na madili kuendesha maisha yao. Wengi wanafanya biashara zao Kwa haki .

Wazanzibari Wana vitu vingi sana ambavyo kwao vingeweza kuuzwa kama Used huku bara lakini Kwa sababu ya Roho mbaya za watanganyika wanazuia na kuweka Kodi kubwa ili wasiuze.
Kwa Nini wasiweke utaratibu kuwa Kama mfano ni Gari likiwa imenunuliwa na mtu wa Zanzibari Kwa miaka mitano linaruhusiwa kuuzwa Tanganyika Kwa kulipia ushuru wa bandandari na Kodi ya Usajili na sio kama gari inayotoka Japan au Dubai?

Watanganyika wengi kwenye uchumi ni wanafiki sana. Hakuna dalili ya kuwa tupo kwenye nchi Moja.
Na bila kuficha Muungano unawanufaisha wanasiasa na sio uchumi wa nchi. Wale wanaoingia kwenye Bunge la Jamhuri ndio wanaonufaika na Muungano na ndio maana wanafunga midomo yao kupigania Zanzibar na uchumi wa Zanzibar. Wabunge Zaidi ya 50 wanatoka kwenye Eneo lenye ukubwa wa Wilaya ya Serengeti. Hawaoni huruma ya Kodi za nchi maskini Kama Tanzania zaidi ya kuwaza kuongeza majimbo. Mambo ya Msingi ya kuinua uchumi wa ZANZIBAR hawanadili wanajadili madaraka TU na Kupiga makofi ili majimbo yaongezwe na watoto wao wapate nafasi na majimbo ya kupata Ubunge wakale Bata.
 
Tutaondoka mwaka 2025 , hata dini zetu zinatusuta
Hakuna wa kuacha kumchagua Mh Mama Samia Suluhu Hasani 2025 .
Ni nchi yenye vichaa tuu ndio ingeweza kuacha fursa kubwa tuliyopewa na Mwenyezi Mungu Kwa kumleta Mama Samia. Mungu atupe Nini Tena.!! Nchi inazidi kuwa na Furaha. Jana siku ya Wanawake nchi ilifana na kugubikwa na Furaha kila Kona ya nchi. Kuanzia Iringa mpaka Zanzibari. Yaani Unaona kabisa watu Wana Furaha Toka moyoni.

Mama Samia Tunamuombea uzima ili 2025 arudi hata kama ni Kwa 52% alimradi uwe ni ushindi wa Haki. Mambo ya kipumbavu yaliyokuwa yanafanya na wezi na waovu wa madaraka ya kihuni kwenye uchafuzi ili TU Rais ashinde Kwa asilimia 80+ hayatusaidii zaidi ya sifa za kijinga.
Mtu anaiba kura ili apate asilimia 90 so what unapata kura nyingi Kwa Rushwa na wizi wa kura na kuua wananchi wako na kubomoa umoja na upendo Kwa wananchi Kwa sababu za kijinga?


Tutamchagua Mama yetu 2025 na atashinda Kwa kura za kutosha kabisa na Kwa haki na Kwa uwazi . Atabaki na kazi ya kutuletea katiba mpya na ikiwezekana tuondoe kipengele Cha ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ili apende asipende awe ni Malkia wa Tanzania Chief Mkuu Hangaya ( Malkia wetu ). Tumechoka kutawaliwa na ma vampire yasiyotenda haki ,Wala utu,Wala huruma aibu.

Kazi iendelee.
 
Hakuna wa kuacha kumchagua Mh Mama Samia Suluhu Hasani 2025 .
Ni nchi yenye vichaa tuu ndio ingeweza kuacha fursa kubwa tuliyopewa na Mwenyezi Mungu Kwa kumleta Mama Samia. Mungu atupe Nini Tena.!! Nchi inazidi kuwa na Furaha. Jana siku ya Wanawake nchi ilifana na kugubikwa na Furaha kila Kona ya nchi. Kuanzia Iringa mpaka Zanzibari. Yaani Unaona kabisa watu Wana Furaha Toka moyoni.

Mama Samia Tunamuombea uzima ili 2025 arudi hata kama ni Kwa 52% alimradi uwe ni ushindi wa Haki. Mambo ya kipumbavu yaliyokuwa yanafanya na wezi na waovu wa madaraka ya kihuni kwenye uchafuzi ili TU Rais ashinde Kwa asilimia 80+ hayatusaidii zaidi ya sifa za kijinga.
Mtu anaiba kura ili apate asilimia 90 so what unapata kura nyingi Kwa Rushwa na wizi wa kura na kuua wananchi wako na kubomoa umoja na upendo Kwa wananchi Kwa sababu za kijinga?


Tutamchagua Mama yetu 2025 na atashinda Kwa kura za kutosha kabisa na Kwa haki na Kwa uwazi . Atabaki na kazi ya kutuletea katiba mpya na ikiwezekana tuondoe kipengele Cha ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ili apende asipende awe ni Malkia wa Tanzania Chief Mkuu Hangaya ( Malkia wetu ). Tumechoka kutawaliwa na ma vampire yasiyotenda haki ,Wala utu,Wala huruma aibu.

Kazi iendelee.
Wewe una kura ngapi na kutoka wapi?
 
Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.

Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!

Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.

Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.
Una point nzuri sana jicho la mwewe hili
 
Usipoangalia mpaka ukifika muda huo utakua unaishi na maumivu iwapo SSH ataendelea kuwa rais mpaka 2030.
Apende asipende tutamuongezea Mama Muda na kuondoa ukomo. 2025 ndio anagombea na ni miaka kumi apende asipende mpaka 2035.

Tunataka Kiongozi hatutaki mtawala mama ameonyesha kuwa sisi ni BINADAM waungwana tunahitaji kuongozwa. Mtawala ni Mungu pekee anatawala viumbe vyote. Tumepata Kiongozi Bora kabisa.

Uzanzibari wake hautuhusu sisi tusioendekeza ukabila na Ukanda Wala Udini.
Mama Chapa Kazi. Wengi tunakupenda kutoka Moyoni kabisa bila kupata uteuzi Wala Nini!!
 
Apende asipende tutamuongezea Mama Muda na kuondoa ukomo. 2025 ndio anagombea na ni miaka kumi apende asipende mpaka 2035.

Tunataka Kiongozi hatutaki mtawala mama ameonyesha kuwa sisi ni BINADAM waungwana tunahitaji kuongozwa. Mtawala ni Mungu pekee anatawala viumbe vyote. Tumepata Kiongozi Bora kabisa.

Uzanzibari wake hautuhusu sisi tusioendekeza ukabila na Ukanda Wala Udini.
Mama Chapa Kazi. Wengi tunakupenda kutoka Moyoni kabisa bila kupata uteuzi Wala Nini!!
Mkuu haya mawazo yako ungeyaanzishia uzi ingependeza sana. Ni ujumbe unaojitosheleza.
 
Bila mabadiliko makubwa ya Katiba wanasiasa wataendelea kutuchezea.
Nakuunga mkono sana mkuu lakn pia muhim na fikra zetu kuziokoa tukiwa na akil tena ya pamoja hakuna mtu anaeza kutuonea wala kufanya anachojiskia awe mzawa yey kam kiongoz au mgen kama taifa kubwa kwahiyo tunavyoangalia mabadiliko ya katba muhim kuangalia na mabadiliko ya akili zetu maana sis ndo tunaowalipa viongoz kwan mishahara wanatoa wap wanalipwa na nan kama sio kod zetu bado watuendeshe wanavyota wao wazungu nao waje kutupa masharti ya kijing...
 
Back
Top Bottom