1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Hatuhitaji kura nyingi za dhulma na damu za watu.Wewe una kura ngapi na kutoka wapi?
Wewe una kura ngapi na kutoka wapi?
SahihiTatizo katiba yetu
Mzee nuksi hakuacha katiba boraTatizo Nyerere
Tatizo ni sisi wenyewe, tuna undumilakuwili usiomithirika. Jusi Ndugai ameonyesha kutokubaliana na tabia ya nchi kuendekeza ukopajikopaji usio na maana, sisi hawa hawa tukamgeuka na kumchongea kuwa anampinga rais. Watanzania tusipobadilika na kuwa na misimamo imara kwenye mambo ya msingi, tutaendelea kuyumbishwa na kuendeshwa kama gari bovu kwenye mitaro.Tatizo rais hapangiwi cha kufanya. Ref: JPM "mimi ndio rais, sipangiwi"
Kingine watu wanaomzunguka mh huwa ni watu ndio mtukufu mtwa kama si watu walio makini sana kulinda kitumbua chao kisipatwe mchanga
1. Unajuaje kama si kwa gharama zake?Kwanini asiende kwa gharama zake?
Mambo aliyoyafanya dar es salaam utayalinganisha na ya chato? Kuweni realistic.Ficha ujinga wako na chuki zako kwa Rais wetu! Mbona Jiwe alifanya mambo mengi tu ya hovyo huko CHATU /CHATU na ulifyata mkia wako?!
Hili ndio tatizo kuu letu watanzania-undumila kuwili, kutokusimamia ukweli na kujipendeza kwa mabosi au wakubwa kwa kutowajosoa pale wanapokoseaTatizo ni sisi wenyewe, tuna undumilakuwili usiomithirika. Jusi Ndugai ameonyesha kutokubaliana na tabia ya nchi kuendekeza ukopajikopaji usio na maana, sisi hawa hawa tukamgeuka na kumchongea kuwa anampinga rais. Watanzania tusipobadilika na kuwa na misimamo imara kwenye mambo ya msingi, tutaendelea kuyumbishwa na kuendeshwa kama gari bovu kwenye mitaro.
Kosa moja halihalalishi kosa la piliFicha ujinga wako na chuki zako kwa Rais wetu! Mbona Jiwe alifanya mambo mengi tu ya hovyo huko CHATU /CHATU na ulifyata mkia wako?!
Mcheza kwao hutunzwa...Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.
Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!
Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.
Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.
ndugu yangu naomba nikuulize kdogo, hivi magufuli alikuwa madarakani kwa miaka mingapi? Katika miaka hiyo unayoijua wewe, Magufuli kama raisi alifanya miradi mingi, hebu niambie ni miradi mingapi iliipeleka zanzibar? Labda nikusaidie kidogo, sufuri! Hapaja kuwepo na mradi hata mmoja wa serikali ya muungano wa tanzania chini ya Magufui ambao ulifanywa zanzibar, ilhali zanzibar (iwe kubwa au ndogo kuiko mikoa ya bara) ni upande wa nchi mbili za muungano! Unadhani ni kwa nini Magufuli hakupeleka hata mradi mmoja zanzibar? Tumeona mlivyonuna pale baada ya ndege zote kuletwa na Magufuli kubaki tanzania bara, Samia alipopeleka ndge mbili tu zanzibar mlilia kuoita kiasi!Jambo hilo alipigiwa kelele sana Hayati Magufuli ajabu Samia naye amekuwa na aina ileile ya ufujaji mali za umma kwa safari zisizo na maana yeyote za huko kwao Zanzibar.
Ki hafla kidogo tu tunaendelea kushuhudia hudhurio lake huko!
Tunakoelekea huenda Samia atatumia ndege yetu kubwa kwenda kuhudhuria mchezo wa kuruka dama wa wanawake huko Zanzibar.
Tumseme sasa ili u Zanzibar aachane nao maana dalili zi wazi huyo mama anapenda sana show za huko kwao.
Inategemea ni bonge la mama lililoshiba sembe au mama jepesi kama karatasi ya gazeti la sani.Ukimtomasa demu halafu akakulalia kinachofuata ni nini