Rais Samia: Pwani wanakata sana miti na kusababisha uhaba wa maji

Rais Samia: Pwani wanakata sana miti na kusababisha uhaba wa maji

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais Samia amesema shida ya maji inayoendelea katika Mkoa wa Dar es salaam imesababisha na athari za kimazingira ikiwemo kukata miti.

Amesema mkoa wa Pwani unaongoza kwa kukata miti iliyoko kando ya mto Ruvu unaoleta maji Mikoa ya Dar es Salaam na hivyo wanasababisha uhaba wa maji.

Rais ameyasema hayo katika ufunguzi wa kongamano la kitaifa la nishati safi ya kupikia
 
Apige marufuku biashara ya magogo. Kuna mwanasiasa mmoja wa upinzani, yule mnafki sana Sasa hivi anasafirisha malori kwa malori.
 
Rais Samia amesema shida ya maji inayoendelea katika Mkoa wa Dar es salaam imesababisha na athari za kimazingira ikiwemo kukata miti.

Amesema mkoa wa Pwani unaongoza kwa kukata miti iliyoko kando ya mto Ruvu unaoleta maji Mikoa ya Dar es Salaam na hivyo wanasababisha uhaba wa maji.

Rais ameyasema hayo katika ufunguzi wa kongamano la kitaifa la nishati safi ya kupikia
People don't take actions. Zile pikipiki zinazoingiza mkaa kila siku mbona kama hakuna anayeona?

Tuna makaa ya mawe ambayo yanawe,a kabisa kuwa mbadala wa mkaa wa kuni. Mbona hakuna anayepigia chapuo? Gas inafaa, pengine kwa sasa ni ghali kwa walio wengi. Lazima tutafute solution. Tusisuburi mtu atoke London au New York kwenye mambo ambayo tunaweza kufanya wenyewe
 
Rais Samia amesema shida ya maji inayoendelea katika Mkoa wa Dar es salaam imesababisha na athari za kimazingira ikiwemo kukata miti.
Naomba ufafanuzi kwa yeyote mwenye uelewa na kinachoendelea hapa...je hapa analalamika, analaumu au anatoa utetezi?
 
Rais Samia amesema shida ya maji inayoendelea katika Mkoa wa Dar es salaam imesababisha na athari za kimazingira ikiwemo kukata miti.

Amesema mkoa wa Pwani unaongoza kwa kukata miti iliyoko kando ya mto Ruvu unaoleta maji Mikoa ya Dar es Salaam na hivyo wanasababisha uhaba wa maji.

Rais ameyasema hayo katika ufunguzi wa kongamano la kitaifa la nishati safi ya kupikia
Polisi na watu wa malvasia wanashindwa nini kuwadhibiti wanaovusha mkaa na pikipiki? Unakuta pikipiki moja imebeba gunnia sita kubwa, zikipita nne tayari ni nusu fuso
 
Kodi ishushwe kwenye gesi
Mitungi itengenezwe Tz
Mkaa uongezewe kodi kutoka 12500 kwa gunia hadi 50000

Ukataji miti wa mikaa uwe na adhabu kali
Matumizi ya mkaa yalishaanza kupungua kwa wakazi wa mjini wakati gesi iliposhuka bei.........badala yake wakaja kupandisha tena bei ya gesi kutokana na matozo tozo yao wanayoweka watu wakarudi tena kwenye mkaa, hawa watu sijui kama wana uelewa wa haya mambo au wao wanajali tozo tu.​
 
Back
Top Bottom