Wala haina haja ya kutafakari vizuri. Huyo kashaishiwa maana hajitambui. Tena hatakiwa kukaa Dodoma siku mbili ni vile tu kuna mtu alichanganyikiwa kabla yake.ukitafakari vizuri utagundua wewe ndio umeishiwa
Muulize
Dar anakaa siku ngapi zaidi ya Dodoma makao makuu?
Huyo kaishaishiwa
Kuna namna nitafanya kumuomba msamaha tu mambo yaishe....Cha msingi ni kujishusha tu Sina namna nyingine
Magufuli alikuwa anakaa hata mwezi kule kwao. Mwanaume unaenda kwenu kila siku kama umeolewa bana.Mabibi na mabwana mheshimiwa Rais wetu mpendwa mama Samia amepasua mbarika tena leo.
Akiongea na vijana Mwanza, mh. Rais katamka angependa kuendelea kukaa zaidi Mwanza, ila taratibu na sheria hazimruhusu kukaa zaidi ya siku 3 katika mkoa mmoja.
Bila shaka akimaanisha kukaa siku 3 mkoani nje ya ofisi rasmi za Magogoni au Chamwino.
Hizi sheria au taratibu ni mpya zilizoanza baada ya awamu ya sita kuingia ofisini au ndiyo ilivyo ila ilikuwa kupigana ma-changa ya macho?
Kumbukumbu zingali hai kwani si zamani tulipoaminishwa katika awamu ile kuwa rais anaweza kuweka kambi popote na kazi ikaendelea bila ukomo!
Kama aliyosema mama leo ndiyo ukweli wenyewe basi pongezi sana mama Samia kwa kuzingatia maadili, taratibu na sheria.
Unatudhihirishia kwa vitendo kuwa unayo nia ya dhati ya kuhakikisha kuwa wewe kama tunavyowajibika sote kwa mujibu wa sheria wewe kama rais siyo exceptional.
Hongera sana mama Samia kwa kuzingatia utawala wa sheria kazi inapoendelea!
Wewe unasumbuliwa na ulimbukeni, ungetafuta kwanza sheria inayoipa nguvu kauli yake kuliko kushadadia kiu kisichokuwepo.
Mwulize, kwanini yeye amekaa Dar Es Salaam ambako ni mkoani kwa zaidi ya miezi miwili sasa huku akijua ofisi kuu ya Rais ni Dodoma-Chamwino?
Usipende kurukia kipande cha sentensi kisicho na ushahidi kisha unaanza kukinyambulisha kukidhi matakwa yako.
Weka hapa kifungu cha sheria ama kutoka kwenye katiba, mamlaka ya Rais, Matamko ya Rais nk ambacho kinathibitisha kilichosemwa ni kweli bila hivyo hizo ni siasa tu za kujaribu kumnanga mtu. Mbona JK alikaa miezi minne nje ya nchi huku akiendelea kutea watendaji na kutoa maagizo kama kawaida.
Jimbo la Rais ni Tanzania sio Magogoni au Chamwino hivyo popote anaweza kutekeleza majukumu yake ilimradi hakuna sheria inayovunjwa.
Hawana lolote. Ndiyo waliokuwa wanamshadadia eti kambi popote.ngoja wenyewe waje
Rais yupi huyo?Hamna Rais humo.
Taja sheria inayosema Rais haruhusiwi kukaa mkoa mmoja kwa siku tatu mfululizo hapa wala usikimbie kivuli chakoLile genge pendwa linajulikana kwa wingi wa mapovu. Hakuna jipya hapo!
Tambua miye kama wengine tumesikia mama akisema. Yumkini mlisali tusiwe tumesikia πππππ! Magogoni na chamwino ni rasmi hata tausi wanajua hivyo.
Kama ada tutaendelea kujifunza mengi mengine kazi inapoendelea.
Aliyosema mama yanahusu ziara za hapa nchini, za nje zinahusika vipi kama si kuweweseka kwenu?
Dar pia kuna Ikulu. Ikulu kuu ni Ikulu ya Chamwino na Ikulu ya Dar es Salaam.Muulize
Dar anakaa siku ngapi zaidi ya Dodoma makao makuu?
Huyo kaishaishiwa
Taja sheria inayosema Rais haruhusiwi kukaa mkoa mmoja kwa siku tatu mfululizo hapa wala usikimbie kivuli chako
Kuna maneno nafikiri sio ya kuongea kwenye hadhara
Hizo ni Ikulu ndogo, ziko mikoa yote na hata wilayani. Ikulu kuu ni Chamwino Dodoma na Ikulu ya Magogoni Dar es Salaam, hizi ndizo anakaa kwa muda wote siyo hizo ndogo za mikoa na wilaya.Kila mkoa kuna Ikulu kacha kupotosha zenye hadhi sawa. Mwanza kuna Ikulu ya Rais iko pale Capri Point barabara ya Nasser karibu na Kamanga ferry kwa hiyo anaweza kufyanya kazi kutokea hapo hata kama kwa mwaka mzima..
Akijibu tushitue [emoji3][emoji2][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23] Kama yale ya kubakia na ma*i yao nyumbani.
Au nasema uongo ndugu zangu?
ilikuwaje sasa mwendazake alikuwa anapiga kambi chato miezi bila kujali chochote,kwa maanna hiyo kumbe alikuwa mvunja taratibu na kanunni dah jamaa alikuwa anaogopwa hadi na chama chake
... nakubaliana na wewe. To be objective, wataalamu watuwekee sheria, kanuni, presidential decree, au chochote kile kinacho support kauli ya Mh. Rais. Otherwse, tutakuwa tunajadili kitu tusichokielewa simply Rais kasema! This is wrong!
Akijibu tushitue [emoji3][emoji2][emoji1]