MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
🙂 🙂 🙂 masikini mna gundu plus Corona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio waliomfikisha hapo. Pia anatafuta kuungwa mkono.Rais Samia tokea kaingia madarakani anafavor sana matajiri,yaani walionazo pesa tayari.
Kwanza kabisa alimzawadia Mwinyi Rais mstaafu Benz la million 100. Imagine kuna watanzania hata maji ya kunywa hawana.
Pili amekuwa akinununua magoli kwa Yanga na Simba ,team ambazo wawekezaji wake ni matajiri.Imagine unanunua magoli ,kuna shule hata madawati hazina.
Tatu amekuwa akitembelea viongozi, si mbaya ila kwa nini hatembelei masikini ili awawezeshe ?Tokea awe Rais ,hivi kishafika Lindi,Manyoni,Sumbawanga,Songea,Iringa ,Simiyu,Mtwara?
Nne sera zake ni za kuumiza zaidi wananchi masikini na kufavor matajiri
Fikiria Tozo n.k
Umeme imekuwa tatizo sana,hii inaumiza sana maskini,maana matajiri wao wana magenerator.
Ongezeeni na nyie.View attachment 2722741View attachment 2722745View attachment 2722748
Hii kitu huwa sielewi inakuwaje. Yaani Keki ya taifa ni wale wale tuHata teuzi ni kwa wale wale waliomo kwenye mzunguko wao!
Uko sahihiWaislamu na hata baadhi ya Wakristo wa Kiafrika wako hivyo hawaielewi falsafa ya Dini ndiyo maana Umaskini umetamalaki, wengi Waafrika wetu weusi huamini kabisa watu ambao hawakubahatika kuwa na mali masikini na fukara ni shida yao na makosa yao ndiyo yaliowafanya wawe masikini sasa mtu wa namna hiyo hawezi kutatua matatizo ya walio wengi …
Rais Samia ni Rais wa Watanzania wote-Mwendazake alishusha mbaazi hadi sh 200 mama wa Watu kazirudisha mpaka sasa ni zaidi ya 2000, wakulima Wamefaidika wengi kuuza mazao kwa Bei nzuri na wengi tumeshuhudia.
-Kaongeza minimum wages zaidi ya Asilimia 20, minimum wages ni za masikini wanaopata mishahara ya laki 3.
-Kaongeza mishahara madaraja yote
-Budget ya Afya for the first Ever imekuwa doubled toka Trilioni 1 mpaka 2 Matajiri hii budget wala haiwahusu
-Kazunguka Nchi Zote Majirani mkawa mnamnanga humu sasa hivi Tz umejaa waongo, wazambia, Malawi na mataifa mengine ya majirani wanakuja kufungasha mizigo hapa, hadi machinga wanafaidika.
Ila yote haya hamuyaoni chuki zimewajaa, muogopeni Mungu siku mtakuja kusimamishwa mbele yake mtakuja kujibu yote haya.
lakini Je wako wangapi ?Walamba asali pekee,ndo wenye uchumi mzuri.
Sio TZS, ilikuwa ni USD 1 MILLIONBenz la million 100
Anatuona visebengo tuHii kufuru kwa kweli, Samia sujui unatuonaje jamani .
Hivi wewe kwanini kwako kila mtu ni mjinga. Unaishi nchi gani?we mjinga sana
Nchi moja ipo huko Mahutashimoni 😂Hivi wewe kwanini kwako kila mtu ni mjinga. Unaishi nchi gani?
Ukweli ndio huo.Rais Samia tokea kaingia madarakani anafavor sana matajiri,yaani walionazo pesa tayari.
Kwanza kabisa alimzawadia Mwinyi Rais mstaafu Benz la million 100. Imagine kuna watanzania hata maji ya kunywa hawana.
Pili amekuwa akinununua magoli kwa Yanga na Simba ,team ambazo wawekezaji wake ni matajiri.Imagine unanunua magoli ,kuna shule hata madawati hazina.
Tatu amekuwa akitembelea viongozi, si mbaya ila kwa nini hatembelei masikini ili awawezeshe ?Tokea awe Rais ,hivi kishafika Lindi,Manyoni,Sumbawanga,Songea,Iringa ,Simiyu,Mtwara?
Nne sera zake ni za kuumiza zaidi wananchi masikini na kufavor matajiri
Fikiria Tozo n.k
Umeme imekuwa tatizo sana,hii inaumiza sana maskini,maana matajiri wao wana magenerator.
Ongezeeni na nyie.View attachment 2722741View attachment 2722745View attachment 2722748
🙂 🙂 🙂 masikini mna gundu plus Corona
Jaman hebu tujuane maana umezid urembo nawe khaaaa!!!!Wewe nawe,changia maada.Usiende nje ya maada please.