Rais Samia ruhusu bidhaa za ujenzi toka nje, unatuua wananchi

Rais Samia ruhusu bidhaa za ujenzi toka nje, unatuua wananchi

Mh. Rais ongea na wafanyabiashara wa ndani washushe bei ya bidhaa za ujenzi hasa bati kama wataleta visingizio "nonesense" Ruhusu bidhaa hizi zitoke nje kwa wingi ili tupate unafuu wa bei wananchi wako.

Kwanini Serikali yako inataka kishindwa kila kitu mama. Hivi hilo baraza linakusaidia nini? Kama limeshindwa kukusaidia achana nalo libaki kama mwanasesele tu. Ikikupendeza tafuta hata wazungu huko nje wakushauri mambo nyeti hasa yahusuyo Fedha na biashara kwa ujumla.

Serikali yako imekwama mama yangu. Kagame anawatumia wazungu kwenye mambo magumu ambayo mwafrika wa kawaida aliyekulia Kanyenye akasoma chuo kikuu Dar es Salaam, Saut nk hawezi kuyatatua zaidi ya kukariri upumbavu kichwani.

Ruhusu uingizwaji wa bidhaa hizo tajwa bila kujali kelele za kuua viwanda vya ndani ambavyo vimeshindwa kumsaidia Mtanzania

Wananchi wakijenga nyumba bora ni sifa kwako mama.
Mwigulu hana msaada kwa huyu maza!!
 
Zamani wakati Dunia haina mawasiliano anuwai mtu akiandika kitu kama hiki usingemshangaa.

Leo Dunia iko kiganjani kwa kila mtu.

Taarifa zote za Dunia ziko wazi kabisa.

Halafu kwa ville tu mtu amejisikia kuandika basi anajiandikia tu.

Kwanza kabisa bidhaa nyingi Duniani zimepaa bei kwa sababu ya Mvurugano uliosababishwa na Covid.

Usafiri wa anga na Majini umekuwa mwiba mkali.

Freight kwa container(40ft) sasa ni Kati ta 8000USD mpk 11000USD-kutoka wastani wa 2500-3500USD.

Viwanda vya hapa nyumbani havitumii malighafi ya hapa kwa asikimia 100 Bali baadhi ya Raw Material zinaagizwa kutoka nje...


Hilo pamoja na mengi kama hayo yanasababisha bei za bidhaa kupanda.

Lakini Umeme kukatikakatika nako kuna Athari kubwa sana Kwenye Uzalishaji wa Viwandani.

Lakini hata huko Nje nako bidhaa zimepanda sana kulingana na Nature ya Bidhaa.

So ikiwa unatoa ushauri kwa Serikali ebu tutoe na Contrasts za kile unachotaka kiwe kwa Data.

Mfano uongee bei ya Bati kwa sasa kwa hapa nyumbani na iyo unayotoa nje.

Kisha tuifanyia mjadala.

Viwanda vya ndani visipolindwa kwa nguvu zote na Serikali maaana yake tunasababisha Tatizo la Ajira na Kodi kuwa BALAA kubwa sana.

UMEME.

KODI MIZIGO KWA BAADHI YA WAZALISHAJI.

FINANCING STRATEGY kwa Viwanda.

KUSIKILIZANA BAINA YA SERIKALI NA WAZALISHAJI KWA MAANA YA KUPANGA KWA PAMOJA*Wizara ya Fedha ...TRA....

Hizo ndiyo hatua muhimu kuchukuliwa na Serikali dhidi ya Wazalishaji wake wa Ndani.

Industialization yafaa kuwa ni mpango mkakati baina ya wadau hawa wawili...kwa Masilahi mapana....

Etc

Etc
Sasa hivi hata serikali ikiruhusu bidhaa, hasa za Ujenzi kutoka nje bado bei itakuwa juu kwa sababu ulizozisema hapo juu, raw materials nyingi zinatoka China, Malaysia na huko Singapore. COVID effect imekuwa kubwa sana kwa wenzetu, kazi hazifanyiki kwa 100% hivyo uzalishaji umepungua, usafirishaji wa bidhaa unachelewa sana. Raw materials za iron zinachelewa hivyo viwanda vinakosa materials, end of the day bidhaa zitapanda bei tu.

Nimetoa mfano wa nondo za nje na ndani, tani ya nje 12mm ni 2.55mil, na za ndani ni 2.35mil. Kumbuka hizi nondo zilikuwa zinauzwa 1.65mil hadi 1.75 last year.
 
Ujuaji mwingi wakat ata kiwanda cha kibeliti hatuna
Ebu tuache ujuaji na kujifanya tunajua sana kushauri na kuongea wakat ni Zero
Watanzania weng ni watu wa hovyo sana tunajifanya tunajua sana kuoji af ikifika wakat wa kufanya maamuzi tunakua mapimbi
 
Kwa ugumu ninaokutana nao kufanya finishing ya nyumba, nawasikitikia watumishi ambao ndo wana plan kuanza ujenzi.....kama baadhi ya wachangiaji walivyosema hawa viongozi kwa sababu wanahudumiwa kwa kila kitu hawawezi kuhisi hali yoyote ngumu ya kimaisha, huyo waziri ambaye anatakiwa kudhibiti uchumu nasikia ni mfanyabiashara wa mabasi.......kazi aliyobaki nayo ni kuhimiza tu kukusanywa tozo zaidi na blah blah za pesa kumwagwa mtaani, hovyo kabisa............
 
Kwa ugumu ninaokutana nao kufanya finishing ya nyumba, nawasikitikia watumishi ambao ndo wana plan kuanza ujenzi.....kama baadhi ya wachangiaji walivyosema hawa viongozi kwa sababu wanahudumiwa kwa kila kitu hawawezi kuhisi hali yoyote ngumu ya kimaisha, huyo waziri ambaye anatakiwa kudhibiti uchumu nasikia ni mfanyabiashara wa mabasi.......kazi aliyobaki nayo ni kuhimiza tu kukusanywa tozo zaidi na blah blah za pesa kumwagwa mtaani, hovyo kabisa............
Jamaa wametengeneza gap kubwa sn kati yao na wananchi wa kawaida
 
Zamani wakati Dunia haina mawasiliano anuwai mtu akiandika kitu kama hiki usingemshangaa.

Leo Dunia iko kiganjani kwa kila mtu.

Taarifa zote za Dunia ziko wazi kabisa.

Halafu kwa ville tu mtu amejisikia kuandika basi anajiandikia tu.

Kwanza kabisa bidhaa nyingi Duniani zimepaa bei kwa sababu ya Mvurugano uliosababishwa na Covid.

Usafiri wa anga na Majini umekuwa mwiba mkali.

Freight kwa container(40ft) sasa ni Kati ta 8000USD mpk 11000USD-kutoka wastani wa 2500-3500USD.

Viwanda vya hapa nyumbani havitumii malighafi ya hapa kwa asikimia 100 Bali baadhi ya Raw Material zinaagizwa kutoka nje...


Hilo pamoja na mengi kama hayo yanasababisha bei za bidhaa kupanda.

Lakini Umeme kukatikakatika nako kuna Athari kubwa sana Kwenye Uzalishaji wa Viwandani.

Lakini hata huko Nje nako bidhaa zimepanda sana kulingana na Nature ya Bidhaa.

So ikiwa unatoa ushauri kwa Serikali ebu tutoe na Contrasts za kile unachotaka kiwe kwa Data.

Mfano uongee bei ya Bati kwa sasa kwa hapa nyumbani na iyo unayotoa nje.

Kisha tuifanyia mjadala.

Viwanda vya ndani visipolindwa kwa nguvu zote na Serikali maaana yake tunasababisha Tatizo la Ajira na Kodi kuwa BALAA kubwa sana.

UMEME.

KODI MIZIGO KWA BAADHI YA WAZALISHAJI.

FINANCING STRATEGY kwa Viwanda.

KUSIKILIZANA BAINA YA SERIKALI NA WAZALISHAJI KWA MAANA YA KUPANGA KWA PAMOJA*Wizara ya Fedha ...TRA....

Hizo ndiyo hatua muhimu kuchukuliwa na Serikali dhidi ya Wazalishaji wake wa Ndani.

Industialization yafaa kuwa ni mpango mkakati baina ya wadau hawa wawili...kwa Masilahi mapana....

Etc

Etc
Nyinyi ndo wale wasomi naowasemea mnaomshauri rais ujinga,,,ruhusuni bidhaa zimiminike kwa wingi toka nje alafu wafanyabiashara washindane mwenye bei nzuri ndio auze
 
Sasa hivi hata serikali ikiruhusu bidhaa, hasa za Ujenzi kutoka nje bado bei itakuwa juu kwa sababu ulizozisema hapo juu, raw materials nyingi zinatoka China, Malaysia na huko Singapore. COVID effect imekuwa kubwa sana kwa wenzetu, kazi hazifanyiki kwa 100% hivyo uzalishaji umepungua, usafirishaji wa bidhaa unachelewa sana. Raw materials za iron zinachelewa hivyo viwanda vinakosa materials, end of the day bidhaa zitapanda bei tu.

Nimetoa mfano wa nondo za nje na ndani, tani ya nje 12mm ni 2.55mil, na za ndani ni 2.35mil. Kumbuka hizi nondo zilikuwa zinauzwa 1.65mil hadi 1.75 last year.
Bati inayouzwa tz Sh 30,000/ kenya inauzwa sh 17,000 kwa Tsh. Sasa kenya wao wako ulimwengu gani ambao haujakumbwa na Covid???
 
Waziri wa fedha ndiyo ana control uchumi wetu, anaweza kudhibiti kwa kuondoa kodi ambazo hazina msingi haswa kwenye nishati, kupunguza matumizi yasiyo yalazima, kupeleka mswaada bungeni watawala wote mishahara yao ipunguzwe, magari ya kifahari yaondolewe yabaki kwa Rais, Makamu, PM, Spika na Jaji mkuu wengine wote watumie RAV 4, watawala wote wasihudumiwe na serikali wahudumiwe na mishahara yao n.k
Asante sana kwa ufafanuzi. Kama waziri wafedha anania njema na watanzania atautilia maanani ushauri wako. Nina uhakika post yako hii itamfikia kwa sababu wanapita wengi humu wanaokusanya maoni kwa ajili ya viongozi kuyafanyia kazi.
 
Nyinyi ndo wale wasomi naowasemea mnaomshauri rais ujinga,,,ruhusuni bidhaa zimiminike kwa wingi toka nje alafu wafanyabiashara washindane mwenye bei nzuri ndio auze​
Tanzania ingekuwa na sera ya kulinda viwanda endapo vile viwanda na mashirika ya umma yaliyokuwa chini ya uendeshaji wa umma vingekuwepo na vingekuwa vinafanya vizuri. Baada ya zoezi la ubinafasishaji na serikali kujiondoa kwenye maswala ya uzalishaji wa bidhaa na biashara wawekezaji binafsi wanatakiwa kuwekeza kiushindani na wawekezaji wengine duniani pasipo kutegemea mbeleko ya serikali. Ni upuuzi serikali kuumiza wananchi ili kumlinda mwekezaji ambaye anatakiwa kuwa na strategy za kiuwekezaji aweze kushindana kwenye soko huria hasa kwenye swala la kupanga bei shindani (price war).​
 
Tanzania ingekuwa na sera ya kulinda viwanda endapo vile viwanda na mashirika ya umma yaliyokuwa chini ya uendeshaji wa umma vingekuwepo na vingekuwa vinafanya vizuri. Baada ya zoezi la ubinafasishaji na serikali kujiondoa kwenye maswala ya uzalishaji wa bidhaa na biashara wawekezaji binafsi wanatakiwa kuwekeza kiushindani na wawekezaji wengine duniani pasipo kutegemea mbeleko ya serikali. Ni upuuzi serikali kuumiza wananchi ili kumlinda mwekezaji ambaye anatakiwa kuwa na strategy za kiuwekezaji aweze kushindana kwenye soko huria hasa kwenye swala la kupanga bei shindani (price war).​
Shida iliyopo hao wafanyabiashara wenye viwanda ni wafadhili wakubwa wa CCM hivyo lazima walindwe kwa gharama zozote hata kama mtakula nyasi lakini wao wanawaza 2025
 
Bati inayouzwa tz Sh 30,000/ kenya inauzwa sh 17,000 kwa Tsh. Sasa kenya wao wako ulimwengu gani ambao haujakumbwa na Covid???
Si ndo hapo mkuu, mbona bidhaa nyingine madukani wameacha ushindani wa bei ufanye kazi. Nitakupa mfano, kuna air fryer ambayo nilinunua kama 190,000, lakini kuna air fryer ya aina na ukubwa uleule kutoka kampuni nyingine inauzwa 750,000........sasa haya mambo ndo tunayoshauri, waache ushindani wa bei ufanye kazi ili mwananchi wa kawaida aweze kumudu kununua bidhaa muhimu.​
 
Si ndo hapo mkuu, mbona bidhaa nyingine madukani wameacha ushindani wa bei ufanye kazi. Nitakupa mfano, kuna air fryer ambayo nilinunua kama 190,000, lakini kuna air fryer ya aina na ukubwa uleule kutoka kampuni nyingine inauzwa 750,000........sasa haya mambo ndo tunayoshauri, waache ushindani wa bei ufanye kazi ili mwananchi wa kawaida aweze kumudu kununua bidhaa muhimu.​
Yaani li nchi utadhani lipo vitani aisee hakuna kinachoshikika!!
 
Kila nikiona hilo jina apo kwenye headline najisikia vibaya na huruma kwa taifa.
 
Kaa kimya kama huelewi mkuu
Wewe ndio huelewi kitu,Tzn hakuna mfumuko wa bei ,kama una hamu ya mfumuko wa bei hamia huku afu utaleta mrejesho 👇

Screenshot_20211022-185621.png


Screenshot_20211022-185717.png
 
Back
Top Bottom