Rais Samia ruhusu bidhaa za ujenzi toka nje, unatuua wananchi

Kujenga nyumba Tanzania ni anasa
 
Bati inayouzwa tz Sh 30,000/ kenya inauzwa sh 17,000 kwa Tsh. Sasa kenya wao wako ulimwengu gani ambao haujakumbwa na Covid???
Gharama za uzalishaji zinachangia, uncertainty kwenye production..leo mnaambiwa hivi kesho vile, nishati ya umeme iaiyoeleweka, kubambikiwa returns na kaisari...mkuu sababu ni nyingi.
 
Nyinyi ndo wale wasomi naowasemea mnaomshauri rais ujinga,,,ruhusuni bidhaa zimiminike kwa wingi toka nje alafu wafanyabiashara washindane mwenye bei nzuri ndio auze
Miaka mitano kurudi hivi tumeona faida ya Protectionism ya Viwanda vya ndani.

Bei ya Maziwa kwa mfugaji wa kawaida iliongezeka kutoka Tsh 600 mpk 1200 na hata zaidi.

Nyama ya Ngombe inaongezeka bei kila uchwao.

Unless mtu hutizami na kufanya tathmini...

Muhimu hapa ni kufanya DIPLOMATIC PROTECTIONISM...

TACTICAL....

STRATEGICAL...


FORE CASTED...

BY the way,Hakuna mtu amekatazwa kuingiza Cement...

Nenda Kalete.

Bei ya 12000 iliyozungumzwa ni kwa wananchi wa Kenya.

Ikivuka impaka itauzwa kwa 20+

Unless upite kimagendo..

Hakuna Bidhaa inayokatazwa kuingia nchini...


Kwa hivo huo siyo mjadala.

Mjadala ni Mazingira gani Rafiki ktk uwejezaji ktk VIWANDA.

HUO UNA TIJA...
 
Hata tiles za mkuranga hapo zina bei kishenzi
 
Nakuunga mkono kwa nguvu zote, hatuwezi kulinda wafanyabiashara wa ndani kwa gharama ya maisha ya Wananchi.
 
Asante mkuu,umenena vzr lkn serikali hii inawaacha wawekezaji wanadeka tu huku wakimwacha mwananchi hana la kufanya
 
Gharama za uzalishaji zinachangia, uncertainty kwenye production..leo mnaambiwa hivi kesho vile, nishati ya umeme iaiyoeleweka, kubambikiwa returns na kaisari...mkuu sababu ni nyingi.
Ili kusaidia wananchi serikali iache bidhaa za nje zije kwa wingi ili bei iji regulate yenyewe
 
Zambia na Zimbabwe kuna vita? Kwani Tzn hujui kwamba mwaka huu kuna Hali ya ukame?
Nadhani hukumbuki Zimbabwe wamepigwa na ukame juzi hapa tukawapa na msaada wa mahindi,,,Zambia wanasumbuliwa na Mgogoro wa madeni yasiyolipika
 
Nadhani hukumbuki Zimbabwe wamepigwa na ukame juzi hapa tukawapa na msaada wa mahindi,,,Zambia wanasumbuliwa na Mgogoro wa madeni yasiyolipika
Kwani Tzn hakuna hayo madeni? Mvua umeona zipo kama miaka ya kawaida?

Haya hapa kama sio madeni ni kitu gani?πŸ‘‡

 
SAMIA msikivu atalifanyia kazi
Nategemea hivyo, lakini mpaka sasa kaweka pamba masikioni kuhusu suala la ulipukaji wa bei ya bidhaa. Yaani Mama hajalitaja hilo hata kwenye hutuba yake hata moja. Ni kama tatizo halipo vile. Na mbaya zaidi hatujui sababu ni nini, bora angetueleza hilo tu.
 
Ila Maza anazingua sana, inakuwaje yupo kama hayupo?!
hadi tunamkumbuka dikteta bhn!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…