Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sisi ni zaidi 30%Wewe ndio huelewi kitu,Tzn hakuna mfumuko wa bei ,kama una hamu ya mfumuko wa bei hamia huku afu utaleta mrejesho π
View attachment 2036918
View attachment 2036919
Kujenga nyumba Tanzania ni anasaMh. Rais ongea na wafanyabiashara wa ndani washushe bei ya bidhaa za ujenzi hasa bati kama wataleta visingizio "nonesense" Ruhusu bidhaa hizi zitoke nje kwa wingi ili tupate unafuu wa bei wananchi wako.
Kwanini Serikali yako inataka kishindwa kila kitu mama. Hivi hilo baraza linakusaidia nini? Kama limeshindwa kukusaidia achana nalo libaki kama mwanasesele tu. Ikikupendeza tafuta hata wazungu huko nje wakushauri mambo nyeti hasa yahusuyo Fedha na biashara kwa ujumla.
Serikali yako imekwama mama yangu. Kagame anawatumia wazungu kwenye mambo magumu ambayo mwafrika wa kawaida aliyekulia Kanyenye akasoma chuo kikuu Dar es Salaam, Saut nk hawezi kuyatatua zaidi ya kukariri upumbavu kichwani.
Ruhusu uingizwaji wa bidhaa hizo tajwa bila kujali kelele za kuua viwanda vya ndani ambavyo vimeshindwa kumsaidia Mtanzania
Wananchi wakijenga nyumba bora ni sifa kwako mama.
Gharama za uzalishaji zinachangia, uncertainty kwenye production..leo mnaambiwa hivi kesho vile, nishati ya umeme iaiyoeleweka, kubambikiwa returns na kaisari...mkuu sababu ni nyingi.Bati inayouzwa tz Sh 30,000/ kenya inauzwa sh 17,000 kwa Tsh. Sasa kenya wao wako ulimwengu gani ambao haujakumbwa na Covid???
Miaka mitano kurudi hivi tumeona faida ya Protectionism ya Viwanda vya ndani.Nyinyi ndo wale wasomi naowasemea mnaomshauri rais ujinga,,,ruhusuni bidhaa zimiminike kwa wingi toka nje alafu wafanyabiashara washindane mwenye bei nzuri ndio auze
Nakuunga mkono kwa nguvu zote, hatuwezi kulinda wafanyabiashara wa ndani kwa gharama ya maisha ya Wananchi.Mh. Rais ongea na wafanyabiashara wa ndani washushe bei ya bidhaa za ujenzi hasa bati kama wataleta visingizio "nonesense" Ruhusu bidhaa hizi zitoke nje kwa wingi ili tupate unafuu wa bei wananchi wako.
Kwanini Serikali yako inataka kishindwa kila kitu mama. Hivi hilo baraza linakusaidia nini? Kama limeshindwa kukusaidia achana nalo libaki kama mwanasesele tu. Ikikupendeza tafuta hata wazungu huko nje wakushauri mambo nyeti hasa yahusuyo Fedha na biashara kwa ujumla.
Serikali yako imekwama mama yangu. Kagame anawatumia wazungu kwenye mambo magumu ambayo mwafrika wa kawaida aliyekulia Kanyenye akasoma chuo kikuu Dar es Salaam, Saut nk hawezi kuyatatua zaidi ya kukariri upumbavu kichwani.
Ruhusu uingizwaji wa bidhaa hizo tajwa bila kujali kelele za kuua viwanda vya ndani ambavyo vimeshindwa kumsaidia Mtanzania
Wananchi wakijenga nyumba bora ni sifa kwako mama.
Asante mkuu,umenena vzr lkn serikali hii inawaacha wawekezaji wanadeka tu huku wakimwacha mwananchi hana la kufanyaTanzania ingekuwa na sera ya kulinda viwanda endapo vile viwanda na mashirika ya umma yaliyokuwa chini ya uendeshaji wa umma vingekuwepo na vingekuwa vinafanya vizuri. Baada ya zoezi la ubinafasishaji na serikali kujiondoa kwenye maswala ya uzalishaji wa bidhaa na biashara wawekezaji binafsi wanatakiwa kuwekeza kiushindani na wawekezaji wengine duniani pasipo kutegemea mbeleko ya serikali. Ni upuuzi serikali kuumiza wananchi ili kumlinda mwekezaji ambaye anatakiwa kuwa na strategy za kiuwekezaji aweze kushindana kwenye soko huria hasa kwenye swala la kupanga bei shindani (price war).
Unatulinganisha na nchi zenye matatizo ya vita na ukame!!!Wewe ndio huelewi kitu,Tzn hakuna mfumuko wa bei ,kama una hamu ya mfumuko wa bei hamia huku afu utaleta mrejesho π
View attachment 2036918
View attachment 2036919
Ili kusaidia wananchi serikali iache bidhaa za nje zije kwa wingi ili bei iji regulate yenyeweGharama za uzalishaji zinachangia, uncertainty kwenye production..leo mnaambiwa hivi kesho vile, nishati ya umeme iaiyoeleweka, kubambikiwa returns na kaisari...mkuu sababu ni nyingi.
Yaani li nchi utadhani lipo vitani aisee hakuna kinachoshikika!!
Zambia na Zimbabwe kuna vita? Kwani Tzn hujui kwamba mwaka huu kuna Hali ya ukame?U
Unatulinganisha na nchi zenye matatizo ya vita na ukame!!!
Nadhani hukumbuki Zimbabwe wamepigwa na ukame juzi hapa tukawapa na msaada wa mahindi,,,Zambia wanasumbuliwa na Mgogoro wa madeni yasiyolipikaZambia na Zimbabwe kuna vita? Kwani Tzn hujui kwamba mwaka huu kuna Hali ya ukame?
Kwani Tzn hakuna hayo madeni? Mvua umeona zipo kama miaka ya kawaida?Nadhani hukumbuki Zimbabwe wamepigwa na ukame juzi hapa tukawapa na msaada wa mahindi,,,Zambia wanasumbuliwa na Mgogoro wa madeni yasiyolipika
Nategemea hivyo, lakini mpaka sasa kaweka pamba masikioni kuhusu suala la ulipukaji wa bei ya bidhaa. Yaani Mama hajalitaja hilo hata kwenye hutuba yake hata moja. Ni kama tatizo halipo vile. Na mbaya zaidi hatujui sababu ni nini, bora angetueleza hilo tu.SAMIA msikivu atalifanyia kazi