Kwa hiyo ndio auze bandari yetu?Rais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
Maza hayuko serious.Rais Samia Suluhu leo Juni 09, 2023 amesema sekta binafsi ndiyo itakayoitoa Tanzania kiuchumi, ameyasema hayo wakati akishiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara(TNBC).
Rais Samia amesema wajibu wa Serikali ni kutengeza mazingira bora ya kufanya biashara jambo ambalo pia litatanua wigo wa kukusanya kodi.
Akauze kwao huko, sio TanganyikaKwa hiyo ndio auze bandari yetu?
Safari yake kisiasa itamalizika vibaya sana!
Watu wana donge nae ila tu hajijui!
heee we nae kumbe matercall. Wala urojo nyie msitake kutuarbia TANGANYIKA yetu.We ni andazi kuruhusu sekta binafsi kuendesha bandari ndo kuuza bandari? Majizi na wapinga maendeleo mshindwe kabisa.
Ulizeni maswali ya maana nyie maandazi, Zanzibar ni kisiwa kidogo kinachozidiwa na wilaya moja ya misungwi bandari iliyonayo inajitosheleza mahitaji. Bandari za bara ni zinategemewa na nchi takribani 18 ambazo ni locked land so ni lazima zipanuliwe na zisimamiwe na watu wanaojitambua sio majizi yanayowaza matumbo Yao badala ya ufanisi.Halafu kwanini za Zanzibar zimeachwa?!! Hiki kitu mimi kinaniuma sana
Hahahaha watz wamegoma kabisa kuelewaAache kutuchanganya na yeye tunaitaka bandari yetu watanganyika
* Rais Samia anatengenezewa Ajali za kisiasa*Kwa hiyo ndio auze bandari yetu?
Safari yake kisiasa itamalizika vibaya sana!
Watu wana donge nae ila tu hajijui!
Msikilize makamu wa Rais ZenjiTena atukomee kabisaaa, si akafanye hayo huko kwao Zenjii.
Rasimali zetu hazipo salama kivipi?Akafanye Zanzibar Ili hata tukijitenga rasilimali zetu ziwe salama
Kwa msururu huu wa kodi na tozo? Nyinyi wenzetu mnafanyeje ili kuepukana na kodi hizi na tozo mpaka mmatoboa? 😳Yupo sahihi, hii ndio awamu ya kupiga pesa ukiwa sekta binafsi.
Matercall ya bibiyako DP world lazima aje achape kazi hatuwezi kuyumbishwa na kelele za majizi na mapinga maendeleo.heee we nae kumbe matercall. Wala urojo nyie msitake kutuarbia TANGANYIKA yetu.
Wanakwepa kodi.Kwa msururu huu wa kodi na tozo? Nyinyi wenzetu mnafanyeje ili kuepukana na kodi hizi na tozo mpaka mmatoboa? 😳
Bandari ya kule Ziwa Tanganyika inategemewa na watu wangapi, na ya Zenji watu wangapi?Ulizeni maswali ya maana nyie maandazi, Zanzibar ni kisiwa kidogo kinachozidiwa na wilaya moja ya misungwi bandari iliyonayo inajitosheleza mahitaji. Bandari za bara ni zinategemewa na nchi takribani 18 ambazo ni locked land so ni lazima zipanuliwe na zisimamiwe na watu wanaojitambua sio majizi yanayowaza matumbo Yao badala ya ufanisi.
Ajali itawaua nyie Samia hakuna cha kumtisha na ni rais mpaka 2030 mnaowaza kumtoa kafanyeni inshu zengine* Rais Samia anatengenezewa Ajali za kisiasa*
Matusi ya gharama zaidiHeshima ina gharama yake, heshima inajengwa, hakuna heshima kwa kuuza bandari, no!
Ila hai wala urojo wakija huku hawajali hilo, wanagawa tu!Msikilize makamu wa Rais Zenji
View attachment 2651025
Siriaz kabisa unauliza bila aibu hili swali? Tanzania zinaingia ngapi ktk Kongo moja?Bandari ya kule Ziwa Tanganyika inategemewa na watu wangapi, na ya Zenji watu wangapi?