Rais Samia: Sekta binafsi ndiyo itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara

Rais Samia: Sekta binafsi ndiyo itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara

Kaka ninachokueleza ni kuwa unapoona kwenye madini tunavyopigwa ndivyo hivyo kwenye maeneo mengine pia.shida ya Nchi za kiafrika sio upatikanaji wa fedha bali ni uongozi hovyo,uzalendo na Elimu.
Nimekupa rejea kuwa yaliyokuwa mashirika ya umma mengi yalibinafsishwa kwa private companies ambazo wamiliki wake walikuwa sio watanzania na mengi yamekufa-katika hilo unadhani shida IPO wapi.
Hatupigwi kwenye madini ni porojo za mwendazake ili afanye mikataba upya apate chochote
 
Kasema kwel serikali haiezi Fanya biashara,,mfano mzuri tunao kwa masharika kama Tanesco na dawasco [emoji53]
 
Tunataka maendeleo jamani, sasa mmbakiziwe bandari la kishamba ambalo linaingiza t9 kwa mwaka wakati ikiboreshwa tunapata zaidi ya hapo nyie mavichwa yenu yamejaa mawazo mgando
 
Toka mtaani wakuone,siyo kujificha nyuma ya keyboard [emoji3491].

Watanganyika tushazoea kudanganywa na wanasiasa kila kitu ni kupinga tuh.ukiangalia hio bandari ikikamilika faida tunapata tena kubwaa mnoo afu mtu atake tuandamane [emoji53]huyo mbowe enyewe haezi wekeza sehem bila kupata faida [emoji23]na sio mbowe tuh hakuna mtu yeyote anaeza wekeza sehem bila kutegemea faida abadani
 
Kaka ninachokueleza ni kuwa unapoona kwenye madini tunavyopigwa ndivyo hivyo kwenye maeneo mengine pia.shida ya Nchi za kiafrika sio upatikanaji wa fedha bali ni uongozi hovyo,uzalendo na Elimu.
Nimekupa rejea kuwa yaliyokuwa mashirika ya umma mengi yalibinafsishwa kwa private companies ambazo wamiliki wake walikuwa sio watanzania na mengi yamekufa-katika hilo unadhani shida IPO wapi.
Kwenye madini ni tofauti coz mpaka mgodi unaanza kazi mtaji wote ni investors tungekuwa tunashea mtaji tungekuwa tunagawana pasu Kwa pasu, ikija upande wa kubifnasisha mashirika ya umma Serikali ya Mkapa iliwapa wrong investors ndomana yalikufa, bandari inapewa kampuni ambayo ni expert na kazi zake zinaonekana so ni kitu ambacho kinaenda kutoa matokeo chanya.
 
Siku zote ana majibu ya kukaririshwa, na akishasema hivyo ndio kamaliza..

Mpaka atakaporudi kwa mabosi wake awaulize kesho aseme nini tena!.

Kwake muhimu ni kutoa kila kitu kwa sekta binafsi, huku hata hiyo mikataba wanayoingia serikali yake na hiyo sekta binafsi ya shemeji zake akiwa haijui!.

Aisee tuna hasara!.
Mtu amabe alie feli 4m 4 eti leo hiii anaongoza TANZANIA [emoji1241] DU INATISHA SANA MIKATABA HATA KUISOMA HAJUI NA HAWEZI ACHA ATUPIGE Maaana ma Prof nao ni mapigaji
 
Back
Top Bottom