Rais Samia: Sekta binafsi ndiyo itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara

Rais Samia: Sekta binafsi ndiyo itakayotutoa kiuchumi, Serikali hatufanyi biashara

Elewa basi kujenga na kuendesha ni vitu viwili tofauti, mfano mdogo ni mwendokasi serikali imejenga miundombinu mizuri na ya kisasa imekabidhi majizi waendeshe huo mradi nazani unachokiona kwenye mwendokasi labda na kwenye hili la bandari unaweza kunielewa.
Serikali haikujenga wamejenga world bank wakawakabidhi na world bank walikua watashindwa kuendesha kwani hata wakati wa kukagua walikuwa hawatembei kwa miguu barabara yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho na watu weusi waliokuwa wahandisi walitoka kenya alipokuja mwandazake akamfukuza yule mama Mlambo ambae alijitajidi sana kufanya huo mradi wakifikiri ukijenga jengo huhitaji akili kuendesha ni matumbo tu
 
Siku zote ana majibu ya kukaririshwa, na akishasema hivyo ndio kamaliza..

Mpaka atakaporudi kwa mabosi wake awaulize kesho aseme nini tena!.

Kwake muhimu ni kutoa kila kitu kwa sekta binafsi, huku hata hiyo mikataba wanayoingia serikali yake na hiyo sekta binafsi ya shemeji zake akiwa haijui!.

Aisee tuna hasara!.
Anasahau hao Dubai ni serikali ndio inafanya biashara
 

Attachments

  • A2718CBA-DF0A-4357-B450-D36289C1777B.jpeg
    A2718CBA-DF0A-4357-B450-D36289C1777B.jpeg
    56.1 KB · Views: 1
Kwenye madini ni tofauti coz mpaka mgodi unaanza kazi mtaji wote ni investors tungekuwa tunashea mtaji tungekuwa tunagawana pasu Kwa pasu, ikija upande wa kubifnasisha mashirika ya umma Serikali ya Mkapa iliwapa wrong investors ndomana yalikufa, bandari inapewa kampuni ambayo ni expert na kazi zake zinaonekana so ni kitu ambacho kinaenda kutoa matokeo chanya.

Wajinga hawaoni hili yao kazi yao ni kuona tumeonewa cjui watz tuna akili gani
 
Vijana pambaneni kuhakikisha mnatumia Fursa za awamu hii. Awamu ya wajamaa itarudi na serikali haina uwezo wa kuajiri vijana wote.
Huwa mnachanganya, mnasema sababu ya kutafuta private waendeshe sekta mbalimbali ni sababu watanzania tumeshindwa, ni wavivu wezi wala rushwa, sasa hizo ajira wataajiriwa wapi ikiwa ni wezi na wavivu?
 
Huwa mnachanganya, mnasema sababu ya kutafuta private waendeshe sekta mbalimbali ni sababu watanzania tumeshindwa, ni wavivu wezi wala rushwa, sasa hizo ajira wataajiriwa wapi ikiwa ni wezi na wavivu?
Hizi sababu nani amekupa? Anyways hata usiniambie, mkuu wewe fanya lile unaloona ni sawa. Hayo yalikuwa maoni tu.
 
Mie nataka nienge mkono nnachotaka ni pesa tu bassi na watuambie kabla walikuwa wanapata ngapi na sasa wakiboresha watatoa ngapi hapo tutaelewana nina taka tukomeshe wezi na wadokozi wa mali za uma
Hilo ndo la msingi
 
Watanganyika tushazoea kudanganywa na wanasiasa kila kitu ni kupinga tuh.ukiangalia hio bandari ikikamilika faida tunapata tena kubwaa mnoo afu mtu atake tuandamane [emoji53]huyo mbowe enyewe haezi wekeza sehem bila kupata faida [emoji23]na sio mbowe tuh hakuna mtu yeyote anaeza wekeza sehem bila kutegemea faida abadani
huyo mbowe anataka watu waandamane wakati wanae wapo marekani kwenye maisha mazuri. alete wanae wakae mbele ya maandamano
 
Hizi sababu nani amekupa? Anyways hata usiniambie, mkuu wewe fanya lile unaloona ni sawa. Hayo yalikuwa maoni tu.
Ndio sababu zinatolewa na serikali kuwa kuoikua hakuna ufanisi, hivyo wanaongeza ufanisi. Ufanisi ulikua hakuna sababu Kama hizo za uzembe, rushwa
 
Back
Top Bottom