we mjinga mmoja. we bibi yako kaishia langapMtu amabe alie feli 4m 4 eti leo hiii anaongoza TANZANIA [emoji1241] DU INATISHA SANA MIKATABA HATA KUISOMA HAJUI NA HAWEZI ACHA ATUPIGE Maaana ma Prof nao ni mapigaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we mjinga mmoja. we bibi yako kaishia langapMtu amabe alie feli 4m 4 eti leo hiii anaongoza TANZANIA [emoji1241] DU INATISHA SANA MIKATABA HATA KUISOMA HAJUI NA HAWEZI ACHA ATUPIGE Maaana ma Prof nao ni mapigaji
labda wewe na ukoo wako.Kwa hiyo ndio auze bandari yetu?
Safari yake kisiasa itamalizika vibaya sana!
Watu wana donge nae ila tu hajijui!
anza sasa ingia barabaraniUsijidanganye, Wazalendo ndani ya vyombo kwa kushirikiana na umma wenye ghadhabu ukiamua unamchomoa tu. Tena anachomoka hivihivi huku akilia machozi
Kula chuma hyo ha haha samia we wapelekee moto wajinga kama ww unaongozwa na na QT NA MNAKUBALIwe mjinga mmoja. we bibi yako kaishia langap
Serikali haikujenga wamejenga world bank wakawakabidhi na world bank walikua watashindwa kuendesha kwani hata wakati wa kukagua walikuwa hawatembei kwa miguu barabara yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho na watu weusi waliokuwa wahandisi walitoka kenya alipokuja mwandazake akamfukuza yule mama Mlambo ambae alijitajidi sana kufanya huo mradi wakifikiri ukijenga jengo huhitaji akili kuendesha ni matumbo tuElewa basi kujenga na kuendesha ni vitu viwili tofauti, mfano mdogo ni mwendokasi serikali imejenga miundombinu mizuri na ya kisasa imekabidhi majizi waendeshe huo mradi nazani unachokiona kwenye mwendokasi labda na kwenye hili la bandari unaweza kunielewa.
Kwenye upigaji eehmama yuko makini napenda sana mambo yake yalivyonyoka
Lusugu lwanokoNyanoko
Anasahau hao Dubai ni serikali ndio inafanya biasharaSiku zote ana majibu ya kukaririshwa, na akishasema hivyo ndio kamaliza..
Mpaka atakaporudi kwa mabosi wake awaulize kesho aseme nini tena!.
Kwake muhimu ni kutoa kila kitu kwa sekta binafsi, huku hata hiyo mikataba wanayoingia serikali yake na hiyo sekta binafsi ya shemeji zake akiwa haijui!.
Aisee tuna hasara!.
Ajali itawaua nyie Samia hakuna cha kumtisha na ni rais mpaka 2030 mnaowaza kumtoa kafanyeni inshu zengine
Kwenye madini ni tofauti coz mpaka mgodi unaanza kazi mtaji wote ni investors tungekuwa tunashea mtaji tungekuwa tunagawana pasu Kwa pasu, ikija upande wa kubifnasisha mashirika ya umma Serikali ya Mkapa iliwapa wrong investors ndomana yalikufa, bandari inapewa kampuni ambayo ni expert na kazi zake zinaonekana so ni kitu ambacho kinaenda kutoa matokeo chanya.
Huwa mnachanganya, mnasema sababu ya kutafuta private waendeshe sekta mbalimbali ni sababu watanzania tumeshindwa, ni wavivu wezi wala rushwa, sasa hizo ajira wataajiriwa wapi ikiwa ni wezi na wavivu?Vijana pambaneni kuhakikisha mnatumia Fursa za awamu hii. Awamu ya wajamaa itarudi na serikali haina uwezo wa kuajiri vijana wote.
Baada ya mzungu kuwaachia nchi ona sasa wanauwa mpaka waafrika wenzaoAfrika ya Kusini wanalala na vibatali[emoji1]
we waache waendeshwe na mihemuko watajua hawajui. hatuwezi kuacha wajinga flani wawagawe watu kwa udini na ukanda eti kisa bandari.Ukikamatwa na wale jamaa walio wekewa kinga jana,usianze kulia.
Mie nataka nienge mkono nnachotaka ni pesa tu bassi na watuambie kabla walikuwa wanapata ngapi na sasa wakiboresha watatoa ngapi hapo tutaelewana nina taka tukomeshe wezi na wadokozi wa mali za umaSuala si limeletwa bungeni vuteni subira kila kitu kitakuwa wazi
Hizi sababu nani amekupa? Anyways hata usiniambie, mkuu wewe fanya lile unaloona ni sawa. Hayo yalikuwa maoni tu.Huwa mnachanganya, mnasema sababu ya kutafuta private waendeshe sekta mbalimbali ni sababu watanzania tumeshindwa, ni wavivu wezi wala rushwa, sasa hizo ajira wataajiriwa wapi ikiwa ni wezi na wavivu?
Hilo ndo la msingiMie nataka nienge mkono nnachotaka ni pesa tu bassi na watuambie kabla walikuwa wanapata ngapi na sasa wakiboresha watatoa ngapi hapo tutaelewana nina taka tukomeshe wezi na wadokozi wa mali za uma
huyo mbowe anataka watu waandamane wakati wanae wapo marekani kwenye maisha mazuri. alete wanae wakae mbele ya maandamanoWatanganyika tushazoea kudanganywa na wanasiasa kila kitu ni kupinga tuh.ukiangalia hio bandari ikikamilika faida tunapata tena kubwaa mnoo afu mtu atake tuandamane [emoji53]huyo mbowe enyewe haezi wekeza sehem bila kupata faida [emoji23]na sio mbowe tuh hakuna mtu yeyote anaeza wekeza sehem bila kutegemea faida abadani
Ndio sababu zinatolewa na serikali kuwa kuoikua hakuna ufanisi, hivyo wanaongeza ufanisi. Ufanisi ulikua hakuna sababu Kama hizo za uzembe, rushwaHizi sababu nani amekupa? Anyways hata usiniambie, mkuu wewe fanya lile unaloona ni sawa. Hayo yalikuwa maoni tu.