Hatupigwi kwenye madini ni porojo za mwendazake ili afanye mikataba upya apate chochoteKaka ninachokueleza ni kuwa unapoona kwenye madini tunavyopigwa ndivyo hivyo kwenye maeneo mengine pia.shida ya Nchi za kiafrika sio upatikanaji wa fedha bali ni uongozi hovyo,uzalendo na Elimu.
Nimekupa rejea kuwa yaliyokuwa mashirika ya umma mengi yalibinafsishwa kwa private companies ambazo wamiliki wake walikuwa sio watanzania na mengi yamekufa-katika hilo unadhani shida IPO wapi.
Toka mtaani wakuone, siyo kujificha nyuma ya keyboard ⌨️.Heshima kwa mwizi?Big no.Sikuzaliwa Tanganyika kwa bahati mbaya.
Hao wazalendo wako wapi nduguUsijidanganye, Wazalendo ndani ya vyombo kwa kushirikiana na umma wenye ghadhabu ukiamua unamchomoa tu. Tena anachomoka hivihivi huku akilia machozi
Tuengeze nguvu kwenye ubunifu wa kuekeza binafsiKasema kwel serikali haiezi Fanya biashara,,mfano mzuri tunao kwa masharika kama Tanesco na dawasco [emoji53]
Afrika ya Kusini wanalala na vibatali😄Maisha yenu ni ya kujaribu sio kupanga na kuweka malengo kwa faida ya wote
Acha mjaribu na hili miaka 100 kama mlivyojaribu Williamson [emoji184]
Waje hata sasa hivi, nipo hapa Muhimbili watanikuta.Ukikamatwa na wale jamaa walio wekewa kinga jana,usianze kulia.
Toka mtaani wakuone,siyo kujificha nyuma ya keyboard [emoji3491].
Kwani Tanganyika inatolewa bure??!!Msikilize makamu wa Rais Zenji
View attachment 2651025
Kwenye madini ni tofauti coz mpaka mgodi unaanza kazi mtaji wote ni investors tungekuwa tunashea mtaji tungekuwa tunagawana pasu Kwa pasu, ikija upande wa kubifnasisha mashirika ya umma Serikali ya Mkapa iliwapa wrong investors ndomana yalikufa, bandari inapewa kampuni ambayo ni expert na kazi zake zinaonekana so ni kitu ambacho kinaenda kutoa matokeo chanya.Kaka ninachokueleza ni kuwa unapoona kwenye madini tunavyopigwa ndivyo hivyo kwenye maeneo mengine pia.shida ya Nchi za kiafrika sio upatikanaji wa fedha bali ni uongozi hovyo,uzalendo na Elimu.
Nimekupa rejea kuwa yaliyokuwa mashirika ya umma mengi yalibinafsishwa kwa private companies ambazo wamiliki wake walikuwa sio watanzania na mengi yamekufa-katika hilo unadhani shida IPO wapi.
Ukifukuza ngozi nyeusi nani atafagia barabara na kazi nyingine za kikuli??uza dar yote timua ngozi nyeusi tuletee waarabu
we mbwaaa tu na itabunafsishwa ingia barabarani uvunjwe nyongaAkili yako kama ya Samia, unadhani muhimu ni kutoa kila kitu kwa sekta binafsi bila hata kuangalia mkataba unaoingia nao unasema nini!.
Mtu amabe alie feli 4m 4 eti leo hiii anaongoza TANZANIA [emoji1241] DU INATISHA SANA MIKATABA HATA KUISOMA HAJUI NA HAWEZI ACHA ATUPIGE Maaana ma Prof nao ni mapigajiSiku zote ana majibu ya kukaririshwa, na akishasema hivyo ndio kamaliza..
Mpaka atakaporudi kwa mabosi wake awaulize kesho aseme nini tena!.
Kwake muhimu ni kutoa kila kitu kwa sekta binafsi, huku hata hiyo mikataba wanayoingia serikali yake na hiyo sekta binafsi ya shemeji zake akiwa haijui!.
Aisee tuna hasara!.
Suala si limeletwa bungeni vuteni subira kila kitu kitakuwa waziHivi unajua atalipa ngapi??
labda mamaaakoMama wa ajabu kuwahi kutokea