Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

Bogus!
Makanisa huwa yana idadi ya waamini wao hivyo ukitaka idadi ya Wakristo ni very easy Tanzania.

Mfano wakatoliki walioko jimbo la Mwanza ni laki tano (watoto, wazee, wanawake na vijana) nyie huwa mnajua mko wangapi?
 
Bogus!
Makanisa huwa yana idadi ya waamini wao hivyo ukitaka idadi ya Wakristo ni very easy Tanzania.

Mfano wakatoliki walioko jimbo la Mwanza ni laki tano (watoto, wazee, wanawake na vijana) nyie huwa mnajua mko wangapi?
Waislmau ni waislamu haijalishi makundi ya madhehebu sisi tunataka kujua waislamu wangapi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…