Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

Rais Samia: Sensa haitauliza kuhusu Dini ya mtu

issue ni moja tu, jihesabuni. Anzeni kwenye ngazi ya familia mpaka kwenye misikiti na kwa wakristo mkitaka kujihesabu anzeni kwenye vipaimara na ubatizo, ila sisi Tanzania tutakuhesabu kama mwananchi.
Kama ni kwa jeuri hizi waislam wataanzisha kampeni yao
 
Unataka niongee lugha yangu uku wewe unataka tuige mambo ya nchi zingine yasiyo na faida hapa kwetu.maana mambo ya nigeria,somalia yanatuhusu nini sisi.Mara ngapi tumesikia vikundi vya kidini vikigombana na serikali kwenye baadhi ya hizo nchi zako ulizozitaja.kwahiyo unataka nasisi tuwe wajinga kama hao.

Kwahiyo kwa mawazo yako unahisi ikitokea waisilamu ni wengi itatokea vita?? Hivi unadhani uislamu ni vita!!! Hicho kikundi huko Nigeria una uhakika gani kama ni waisilamu au wame2mwa na waislamu?? Muwe mnajiongeza na co kuropoka
 
haya mambo ya dini ni upuuzi mtupu nakumbuka sensa ya mwisho kuna dini moja hivi yenye misimamo mikali iligoma kabisa kuhesabiwa wakidai kuwa ni haramu, kuna baadhi ya nyumba maafisa sensa walitimuliwa na kareti, sasa nashangaa sasa hivi wanang'ang'ania kuhesabiwa wakati mwanzo walidai ni haramu. Tuache double standards
 
haya mambo ya dini ni upuuzi mtupu nakumbuka sensa ya mwisho kuna dini moja hivi yenye misimamo mikali iligoma kabisa kuhesabiwa wakidai kuwa ni haramu, kuna baadhi ya nyumba maafisa sensa walitimuliwa na kareti, sasa nashangaa sasa hivi wanang'ang'ania kuhesabiwa wakati mwanzo walidai ni haramu. Tuache double standards

Duhh,,mwanaume mzima unaandika haya!!! Hata mtoto mdogo atakucheka
 
Hawa CCM sijui Nyerere wanamuonaje na kumchukuliaje, Nyerere alikuwa ni binadamu na alikuwa na madhaifu sana, Nyerere hakuwa mkweli kuna siku alisema angemuwahi Rais wa 2010 akiwa hai.

Suali la dini ni suali zuri katika nchi kujua watu wako wala halina mtafaruku wowote ni figure tu kama nchi unajua Tanzania kwa mfano kuna waislamu kiasi gani na wakiristo kiasi gaini labda ambao hawana dini ni kiasi gani kujua mahitaji vile vile katika shughuli za maendeleo.

Hili suali nchi nyingi wanauliza, hata katika CV lakini mafomu mingi ya online lipo hili suali lina umuhimu katika mahitaji na sio kuwagawa watu.

Lakini ukija kwa wanaokataa sijui tuseme ni hofu au kitu gani sijuI au ndio hizo fikira za Nyerere labda wanaogopa waislamu kuonekana ni wengi kuliko wakiristo maana aslimia 99% wanaopinga suali hili la dini ni wakristo, hawa watu wana hofu sana kujiona wako kidogo.

Nadhani kuna watu hawatakubali kuhesabiwa kama hili suali halipo
dini yako peleka ukale na mkeo. Zama hizi nguvu ya teknolojia na uchumi ndiyo itakayoonyesha mustakabari wa mtu mmoja mmoja na jamii
 
Jambo la ajabu sana! Sensa hukusudia kutoa taarifa za watu kuanzia umri, jinsia, na hata dini.

Sio udini kuuliza dini ya mtu! Ni vizuri kujua idadi ili kutengeneza mazingira ya kutendea haki waumini husika!
 
Wakuu wa mikoa, wa wilaya, wakurugenzi
Na kadhalika,
Usinambie nyie hamkusoma utaanzisha ligi nyingine ujue
Ni mikoa 6 tu ambayo angalau idadi ya waisilamu na wakristo haijazidiana sana nayo ni Tanga, Mtwara, Dar, Lindi , Pwani na mkoani kigoma ni wilaya ya kigoma ujiji. Kwingine kote hakuna waisilam wa kihiivyo kwa hiyo acheni kuipaka matope serikali kwamba eti inapendelea wakristo. Kutokana na ukweli huo ndio maana hakuna mkristo anaelalamikia serikali ya zanzibar kwamba inawabagu wakristo.
 
Ni mikoa 6 tu ambayo angalau idadi ya waisilamu na wakristo haijazidiana sana nayo ni Tanga, Mtwara, Dar, Lindi , Pwani na mkoani kigoma ni wilaya ya kigoma ujiji. Kwingine kote hakuna waisilam wa kihiivyo kwa hiyo acheni kuipaka matope serikali kwamba eti inapendelea wakristo.

Unajua unachokiongea? Pwani yote+tanga na kigoma mbali na vijisensa vyenu vya uongo lakini kwa macho tu waisilamu ni wengi sana. Eti hawatofautiani sana 😁😁


Kutokana na ukweli huo ndio maana hakuna mkristo anaelalamikia serikali ya zanzibar kwamba inawabagu wakristo.

Hata wakilalamika wataonekana wapumbavu tu, heri wawe wapole tu,,,maana zanzibar ni nchi ya kiislamu, waisilamu ni zaidi ya 90% pale . So hata wakilalamika ni kazi bure tu 😁😁
 
Unajua unachokiongea? Pwani yote+tanga na kigoma mbali na vijisensa vyenu vya uongo lakini kwa macho tu waisilamu ni wengi sana. Eti hawatofautiani sana 😁😁




Hata wakilalamika wataonekana wapumbavu tu, heri wawe wapole tu,,,maana zanzibar ni nchi ya kiislamu, waisilamu ni zaidi ya 90% pale . So hata wakilalamika ni kazi bure tu 😁😁
Sijatakaa kwamba ni wengi ndio maana nimesema idadi haitofautiani sana hii ni hata bila kutumia sensa ni kutumia tu akili ya kawaida
 

Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.

Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.

Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
Mambo ya kabila na dini sio vipaumbele vya maendeleo ya Taifa letu. Watu wanataka ajira, maji, barabara zinazopitika etc.
Ni ajenda ya wajinga wachache kutaka kuingiza mambo ya dini na kabila kwenye sensa
 
Sijatakaa kwamba ni wengi ndio maana nimesema idadi haitofautiani sana hii ni hata bila kutumia sensa ni kutumia tu akili ya kawaida
Kwa mfano, waislamu ni wengi kuliko wakristu..inatusaidia nini? Mbona wayahudi wako wachache na wanawatesa waarabu kama wanavyotaka? Tuache ajenda za kijinga. Ni watu wajinga pekee wanaoishi dunia hii kwa kujifanya wako karibi sana na Mungu na kuanza kubagua wenzao
 
Kwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulik
Kwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulikane?
Naweza kujibu kwa uelewa watu mdogo, kwamba Tanzania sio nchi ya kidini japo watanzania wana dini zao wenyewe tena kwa kuchagua kwao kwa hiari yao wenyewe bila kushurutishwa. Kwa maana hiyo basi naona ni wazi kwamba serikali kama nchi yaani Tanzania haina na wala haiwezi kupima au kusema neno lolote kwa mwananchi yeyote mwenye dini yake (labda avunje sheria za nchi kupitia dini yake atakiona kilichomtoa kanga manyoya). Ni wazi Nyerere alicheza kama pele kwenye hili kwamba tanzania inatambua kua watanzania wana imani kwenye dini zao ila Tanzania haimpangii mtanzania kuabudu katika iman ipi. NAONA KIPENGELE CHA DINI NI OVER, HAKIIHUSU SERIKALI NA NDO MAANA SERIKALI IMEKATAA NA SIO WAKRISTO WAMEKATAA, SERIKALI YA KIKWETE (MWISLAAM) 2012 HAKUKUBALI KIPENGELE CHA Dini, HATA SASA SERIKALI YA SAMIA (HUYU MAMA NI MUISLAAM KABISA) NAYE KAKATAAA. HIVYO NDUGU WAISLAAM HII AGENDA HAIPINGWI NA WAKRISTO, MUMNYOKEE SAMIA ASEME NENO KAMA HAMUWEZI BASI MSIWAONEE WAKRISTO KUWENI NA BUSARA.
 
Kazi gani kutangaza dini? Hivi hata hizo kazi zipo ngapi tunazogombania, watu wengi wapo kitaa hawana kazi badala ya kujadili kama Taifa tutafanya nini kila mtu apate cha kufanya ili apate ujira unangangania kugawana vichache vilivyopo na sio kwa kipimo cha skills Bali imani kweli tuna safari ndefu
Tatizo ni akili za kushikiwa! Mtu timamu wa dunia hii ya kisasa ya teknolojia hawezi waza tope la udongo mweusi ambalo halina faida zaidi ya kilimo tu, kama ilivyo dini ni mahusiano kati ya muumini na mungu tu... Hamna lingine.
 

Rais Samia Suluhu Hassana ametoa wito kwa wananchi kujitokeza katika zoezi la sensa huku akisema suala jipya lililoongezwa ni swali kuhusu anuani za makazi.

Amesema hakutakuwa na swali la kuhusu dini ya mtu kwa kuwa suala hilo lilishakataliwa tangu enzi za Rais Julius Nyerere, hivyo hakutakuwa na swali la namna hiyo.

Rais ameyasema hayo akiongea na wanawake Zanzibar.
Swali pendwa la dini liwepo, ili tiwaonyeshe kwamba sisi waislam ni wengi nchi hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Suala la dini linaweza kuwa la muhimu mana pia takwimu zinawekwa sawa kujua idadi ya watu Kwa dini zao na madhehebu yao . Kwa Upande wa wakristo wao hua Wanaweka takwimu za madhehu yao Kwa uhakika kuliko hata serikali. Japo Kwa Sasa yameibuka makongamano ya manabii binafsi ambao hawana hata Orodha ya waumini wao zaidi ya kukutana na kutawanyika kama kwenye kumbi za disco . Hawa wameondoa uwezekano wa wakristo nao kutokujua idadi yao kamili.

Tahadhari mara zote inachukuliwa Kwa sababu Kuna watu wanatumia dini kujinufaisha na kuleta chokochoko za kisiasa na hata kujaribu kuleta itikadi Kali za kidini wanapogundua kuwa ni wengi kuliko dini nyengine. Hilo limejaribu sana kujitokeza hapa Tanzania .
Nchi za Kiarabu zinajaribu sana kueneza utamaduni wao kama zilivyo zile za magharibi na walengwa wakubwa ni Afrika ambao wametupa utamadunia wao na kuuona kuwa ni wakijinga na usiofaa. Waafrika wameaminishwa na Hawa wazungu na Waarabu kuwa Imani na tamaduni za Kiafrika ni upagani na tamaduni zao wametuaminisha kuwa zimetoka Kwa Mungu. Harakati na mivutano ya siasa za Dunia kati ya Uzungu na Uarabu vimeleta changamoto kubwa sana Duniani.

Waarabu wamekua wakitoa fedha nyingi sana Afrika Kwa ajili ya kuweka serikali zenye Tamaduni na desturi za Kiarabu kwenye maeneo yenye Watu wenye Mirengo ya kimashariki ya Kati hasa Uarabuni na kujificha kwenye kivuli Cha dini.
Kuna mitandao ya matajiri wakubwa sana wanaopata fedha nyingi sana Kwa michongo ya kujifanya kuwa wanaweza kuifanya nchi itawalike Kiarabu arabu na tamaduni zao.
Kwa hiyo watu kama hao wananufaika na siasa za kidini. Wao hawajali amani na uhuru wa watu wanachoaangalia ni pesa na Mali wanazopata Kutoka Uarabuni.

Pamoja na mengine lakini JPM alijua Mapesa yanayotoka nje Mengi yanakuja na agenda mbaya za kuwagawa watu kidini na kitamaduni ndio maana wengine wanakuja na tabia za ushoga na udini. Udini unaweza ukaliangamiza Taifa na ushoga pia unaliangamiza Taifa . Japo Kwa nchi za magaharibi Udini ni tishio zaidi mana inakuja mara nyingine na ugaidi.Yote ni Kwa sababu ya fedha chafu za kuleta mambo machafu na mengine ya kugawa watu.
 
kwani kuanzisha hiyo mahakama ni mpaka mjue mpo wangapi?? we huoni watu wanajaa misikitini na kwenye swala ya Eid?, kama mnataka kuanzisha anzisheni lakini sio kwa sababu ya kutaka kujua mpo wangapi

leo mtaanza tujue tupo wangapi, kesho mtafata tujue idadi ya wasunni, washia au wahamadia, basi msunni aanzishe mahakama yake na nyie mahakama yenu basi vurugu tupu
Hahaha noumaa, Angalia Afghanistani huko waislaam kindakindaki (achana na wa huku bongo wa mchongo) huko wameshindwa hio inayoitwa Sharia na Mahakama ya Kiislam wanakimbia nchi yao ya Ki-Taleban.
 
Back
Top Bottom