Sababu za kipuuziMbona Waislamu tunaisadia serikali pia?
Huoni ushirikiano uliopo kati ya viongozi wa Dini wakiwepo Waislamu na Serikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu za kipuuziMbona Waislamu tunaisadia serikali pia?
Huoni ushirikiano uliopo kati ya viongozi wa Dini wakiwepo Waislamu na Serikali?
Upuuzi wake uko wapi? Kama ni upuuzi kwa nini serikali awamu zote zimekuwa zikikutana na viongozi wa Dini?Sababu za kipuuzi
Kwani inamanufaa gani utuambieKwa nini Wakristo ndio huwa wanapinga kwa nguvu zote hili suala? Wanaogopa nini? Nini kilichojificha hawataki kijulikane?
KWaislamu tanzania ni 75%, mnaogopa hiyo parcentage itawaadhibu
Polis ni taaluma watu wamesomea usalama kwa hiyo huko tuwaachie waoMmezitoa wapi hizi takwimu?
Sasa kabila linasaidia nini kwenye huo utambulisho?
Kabila litawapa kitu gani kitakachowasaidia?
Umesema kweri kweri kabisa,Kwa comment za humu kumbe kama nchi tuna safari ndefu kweri kweri.
Sasa huku kwingine kwenye sensa kwani haitumiki taaluma?K
Polis ni taaluma watu wamesomea usalama kwa hiyo huko tuwaachie wao
Sasa c mjihesabu huko madrasa nakwenye vijiwe vyakahawaNo, no, no
Tunataka kuhesabiwa kwa dini zetu, tujuane tu, hii itasaidia katika mgawanyo wa mambo mengi tu,
Wakati ni sasa,
Unyonge na uonevu uishe
Kwani umewahi kusikia chuo cha sensa popote? Hili ni jambo la kukubaliana tuSasa huku kwingine kwenye sensa kwani haitumiki taaluma?
Ishu kama Dini ni muhimu kweny utamaduni wa jamii flani, na utamaduni una athari kwenye maendeleo ya hiyo jamii au hujui?
Ma hotuba ya Samia hayako attention grabbing
MAGU alikuwa akipanda jukwaani kesho yake na wiki nzima vijiweni mnaulizana, e bana ulimsikia mchizi?
Two Wrongs don't make it Right..., unless otherwise utasaidia kwenye utalii kwa kuweka kumbukumbu ya asili zetuKwani hujisikia serikali imewatambua machifu na itaanza kuwasaidia kufufua maeneo yao ya kimila?
Tatizo hao wenyewe wamewekwa na kanisa,Kama waislamu mnataka kujua idadi
Si muorganize bakwata mpite nchi nzima kurekodi idadi yenu
Ila jiulize kwanini nyie ndio munapinga? Munataka kuficha nini?Sasa c mjihesabu huko madrasa nakwenye vijiwe vyakahawa
Sie idadi yetu tunaijua ninyie tu mnaosubiri serikal iwafanyie.... Mkitoka hapo muiombe serikali ihesabu niwamatumbi wangap waislamIla jiulize kwanini nyie ndio munapinga? Munataka kuficha nini?
Okeee, ndio maana munapinga kwa kuwa mushajijua mupo wachache sanaaa, nasikia ni 7% tuSie idadi yetu tunaijua ninyie tu mnaosubiri serikal iwafanyie.... Mkitoka hapo muiombe serikali ihesabu niwamatumbi wangap waislam
Hata hio % tunaweza tusifike tuko wachache mno sio rahis kua kwenye kundi letu wengi wanashindwa, hongera kwakua wengi sasa inakuaje hamjiamin nahamuishi kulalamikaOkeee, ndio maana munapinga kwa kuwa mushajijua mupo wachache sanaaa, nasikia ni 7% tu
Kama ni kweli basi muna haki ya kupinga, vinginevyo tuthibitishe tu
Tatizo nyie ndio chanzo cha mateso yetu,Hata hio % tunaweza tusifike tuko wachache mno sio rahis kua kwenye kundi letu wengi wanashindwa, hongera kwakua wengi sasa inakuaje hamjiamin nahamuishi kulalamika