Sasa Chato si tayari hizo Huduma ziko karibu!Mkoa ni kupeleka huduma muhimu kwa watu kwakaribu zaidi,patapelekwa hospitali yenye hadhi ya mkoa na huduma zingine
Kuna Uwanja wa Ndege wa Kimataifa, Hospitali kubwa kabisa, Jengo Kubwa kabisa la TANESCO, Stand kubwa, Uwanja wa Mpira, VETA na mashule mpaka M7 kafungua Shule juzi. Au huduma gani hizo?