Rais Samia: Serikali imempatia Mzee Mwinyi zawadi ya gari aina ya Benz ya chini

You ain't seen nothing yet.
 
Leo ni sherehe ya kiserikali ndio maana mechi imeahirishwa
 
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Anastahili zawadi ya thamani gani?!
 
Hivyo vijisenti kavitoa mfuko gani ? Personal Akaunti au kuna mfuko wa Happy 96th Birthday?
 
Benz la milioni 450 lipo hapo nilitamani kuona picha benz ya million mia tuu ni hatari labda muongeze sifuri kama kawaida yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…