Kwani yeye mwinyi hana hiyo hela ya kununua Benz? Au hajui km anatakiwa kununua Benz imrahisishie ufasiri? Mambo mengine yanakera sana.Gari aliopewe Mstaafu mwinyi Mercedes Benz haizidi hata milioni 100, ila nimeamini watu wanapenda kukuza mambo... na amepewa kwasababu mheshimiwa Rais ameona Mstaafu mwinyi anashindwa kuhudhuria hafla nyingi kutokana gari anayotumia kwasasa ni V8 inampa tabu kupanda kutokana na uzee.. Hivyo ameona si haba akamalizia maisha kwenye Benz saloon...
Kama ametoa mfukoni mwake mbona. Haina shida ila Kama amtoa KWA walipa kodi Kuna shida,sababu babu ni mstahafu na kodi za watanzania zinaendelea kumhudumia na Kama haitoshi katika dunia ni marais wachache waliowai stahafu wakaishi maisha ya kifukara but Afrika sidhani Kama yupo tofauti na mwalim nyerere, so KWA KUA mwalim hayupo ila mama nyenyere yupo Basi Kama ni KWA hisan ya wananchi Basi Mama nyerere nae apewe benz labda Kama mh katoa mfukoni mwake vinginevyo moto kuwaka lazima ,tunasema hakuna Alie zaidi ya mwenzake katika taifa hili japo ni madaraka tu kwamba Kuna Rais na mwananchi ambae ndo mwajiri basiMkuu gharama ya Hilo Benz Ni kituo cha afya kimoja chenye kila kitu ndani anapewa mtu mmoja kweli ?
Pesa ya kawaida io mdogowangu450 Millions Tsh.
Sasa mzee ukiliona hilo la jumba la jakaya kule kawe beach si utazimia? Mwezi wa 7 mama anamkabidhi funguo zake.Juzijuzi tu mzee kakabidhiwa jumba la billion 7, leo Benz!
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
MmeshaanzaMama ni mdini hatufai
Yaani hata gari la kutumia mzee nalo nongwa!Aisee! Mbona mnafika mbali kiasi hiki?
Mwanae pia n Rais angeweza kumnunulia.Inachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu
Dini tena. Duh!Mama ni mdini hatufai
You are begrudging a 96 year old man getting a car that he can conveniently use?Majuzi hapa Magufuli kamjengea Mzee Mwinyi bonge la "Hekalu"
Leo Samia anatoa Zawadi ya Benz la Mamilioni
Hivi haya Mambo ndo yanatatua shida na kero za wananchi au?
Mwinyi ana pensheni ya Mamilioni ya fedha, Mwanae ni rais, watoto wake ni wabunge, Hivi bado anahitaji Mihela yote hiyo kodi za wananchi masikini kwa ajili ya mavituvitu kama hayo?
Naona tumeanza kutumia fedha za wananchi kama pesa za familia. Mambo ya ajabu sana haya!
Yaani kumpa mzee Mwinyi gari ni udini? Hata angekuwa mzee Rais Mstaafu Mkristo angempa tu. Yaani MATAGA kila kitu mko hasi. Poleni sana.Mama ni mdini hatufai
Yaani dah!Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa ccm madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Ashakula ngapi mzee? Bado tu ale?Inachezewa sana kivipi we jamaa.. Mbona unakuwa na roho ya kimaskini sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zawadi ya Ml 450 kwa mtu alie simamia ustawi wa taifa letu.. tena ukiangalia hata kwenye baadhi ya sarafu kuna sura yake hiyo tsh ml 450 bado ni ndogo sana Ndugu yangu