Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 265
- 540
Kumbe huu wimbo ya kuuza umeme nje ya nchi tumekuwa tunachezeshwa toka enzi za mzee wa “mitaji yenu niya kujenga viwanda vya juisi”!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe huu wimbo ya kuuza umeme nje ya nchi tumekuwa tunachezeshwa toka enzi za mzee wa “mitaji yenu niya kujenga viwanda vya juisi”!
Afrika ni jini makata,haya majitu meusi ni majinga kuliko,Sina Imani kabisa baada ya Bandari kugawiwa yale majitu ya UAEKuna kiongozi aliwahi kusema 2025 tutakuwa na umeme wa kutosha kutumia nchi nzima na tutauza hadi nje.
unataka sema mikoa yote ya kaskazini umem hakuna? sa trnsmittion inakuwaje gharama ku-link baadhi ya sehemu zisizo na umeme huko kaskazini?Wanaona gharama kujenga transimission line ndefu kwa ajili ya kusafirisha MW chache.. hivyo wanapiga shortcut kwa kununua hizo MW chache Kenya. Maana kenya na kaskazini ni karibu
Huwa unawaamini CCM!?Eehh sijuzi tu Naibu PM kasema Umeme upo na Wa ziada
Umeme ushauzwa hautoshi nani kakwambia Bwawa la kwenu lile wakati lishauzwa km ilivyouzwa GesiBwawa la Nyerere umeme hautoshi.
Kwahiyo tumeshapigwa na kitu chenye ncha kali.Ndio ujue namna vioooo ngoz wanakuja na short term solution, long term hawana
Bwawa la Nyerere kulikoni? Si umeme tuliambiwa uko mwingi wa ziada, kuna jambo sijaelewa
Bwawa lishauzwa mnazungumzia umeme gani wa kuuza nje au wa kuuziwa nje? Wawekezaji wamewekeza mpaka kwenye Bwawa unasema Bwawa la kwenu kwenu na nani? Gesi mnasema yenu yenu na nani na ishauzwa watu wanaipakua wanaenda kuuza nje huko nyinyi mpo tuUmeme tunao hadi wa kuuza nje
Tunanunua tu kuwaungisha majirani wasinunee
MAJERANEEEE ITIKIAA AFANDEEEE
Uvivu tu! chako ni chako tu.Wanaona gharama kujenga transimission line ndefu kwa ajili ya kusafirisha MW chache.. hivyo wanapiga shortcut kwa kununua hizo MW chache Kenya. Maana kenya na kaskazini ni karibu
Mkubwa akisema imeisha hiyoRais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika.
View attachment 3264483
Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe kwenye hafla iliyofanyika Mwanga Mkoani Kilimanjaro leo March 09, 2025.
Soma: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
View attachment 3264591
Rais Samia amesema "Umeme unakatikatika maeneo ya Kaskazini huku lakini Serikali yenu inachukua hatua ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa hii ya Kaskazini ili umeme upatikane masaa 24 muda wote bila kukatikakatika"
"Tuko kwenye hatua za mwisho kusaini mikataba ili tuweze kununua umeme ule uungwe Kanda ya Kaskazini na Wananchi wafaidi na umeme, kwahiyo tutakuwa na umeme wa uhakika, maji ya uhakika kila pahali, Vijiji vyote vina umeme tunakwenda Vitongojo na umeme wa kutosha tunaununua unaingia ili kazi za maendeleo ziendelee"
Chanzo: Millard Ayo
Wanasiasa wa tanzania ni wa kuchoma moto kabisa
Wanaona gharama kujenga transimission line ndefu kwa ajili ya kusafirisha MW chache.. hivyo wanapiga shortcut kwa kununua hizo MW chache Kenya. Maana kenya na kaskazini ni karibu
Unafikaje kenya same na mwanga inarukwa? Hii ilikuwa 2021 hatua za kukamilika bwawa la nyerereTukisema chadema huwa hawana akili ndiyo mtambue, gharama ya kutengeneza njia kuu ya umeme ya kv 33, toka ilipo kwa sasa mpaka uifikishe mombo ni gharama kubwa mno, kwa kutatua matatizo ya dharura ni heri kuuchukuwa kutoka Kenya, kupeana umeme kibiashara ni jambo la kawaida.(Amerika inaumeme mwingi sana, lakini kanada imeipa umeme amerika wa kibiashara wa makazi 15,000, almost mpaka NY inatumia umeme wa kanada.
Na unatoka rufiji kwenda kenya, hii ilikuwa 2021Japo napendaga kuifagilia serikali , kwa hili naona kama wanajikoroga !
Kupitia bwawa la Nyerere tunaambiwa umeme upo hadi wa kuuza nje, halafu hapa tunaambiwa tutanunua umeme kwa ajili ya Kanda ya kaskazini!
Kwanini huo umeme wa kuuza nje usiletwe Kanda ya kaskazini?!