Wanasiasa wa tanzania ni wa kuchoma moto kabisa
Vyombo vya usalama wa nchi bado hawaoni sababu tu ya kuwaacha wananchi wachague viongozi kwa njia ya haki kuitia tume huru na katiba mpya.
Huyu aliyepo hajui hata ni kwa nini Aliyepita aliamua kujenga bwawa la Mwalimu Nyerere.
Hajui na hana habari kabisa .
Atatuachia madeni na makesi ya mikataba ya mabilioni kwenye umeme kama ilivyokua miaka yote na ufisadi .
Hapo ndipo hawa wanajeshi na polisi wanapokosea wananchi kwa kuendekeza Watawala wa CCM wanaokaa miaka mitano madarakani kwa ajili ya kujilimbikizia mali wakati polisi kwa mfano wanakaa kazini miaka 40 huku wakiwa hawaewi hata pesa za kuhamisha mizigo yao achilia mbali kikokotoo kinachowapa pesa zisizofikia mil.40.
Mtu anakaa madarakani miaka 10 analiachia taifa likiwa na madeni makubwa na hasara kila kona kutokana na kutaka kuwanufaisha watu wake bila kujali uchumi wa nchi utakua kwenye hali gani.
Tujiulize tu ni Lini mikoa ya Kaskazini wana uhaba wa umeme mpaka kufikia mahali pa kununua umeme kama Mkoa wa Kagera ?
Mikoa ya kaskazini wana chanzo cha Nyumba ya Mungu ,hale na umeme unaotoka Kwenye kiwanda cha sukari ungeweza kuingizwa kwenye gridi na kuongeza ukubwa wa umeme .
CCM imetydharau sana wapiga kura kwa sababu ya mfumo wa tume unaoua maamuzi ya kura za wananchi.
Yaani kweli kabisa Akina majaliwa, Kabudi ,Ndugai ,polepole,Makonda , Jafo, Januari ,Tulia ,Tibaijuka ,Mpina wote wamewakanyagia chini wanatuletea huyu aliyewahi hata kuchukua fomu na kuomba ridhaa kwa haki na kutuambia nini maono yake juu ya vizazi vya watanganyika mil 60 !!!
Yaani Tanzania tutoe fedha za tozo tupeleke nchi za nje kununua umeme wakati tuna gesi na makaa ya mawe ,upepo na joto kubwa la ardhini kwenye mikoa ya Singida ?
Kweli kabisa wanaCCM wanaona ni bora matakwa ya JK na familia yake na Samia wafurahie kwa maumivu makubwa ya Taifa kwa miaka mingi ijayo ?
Hii sio sawa .
Samia atalipeleka kubaya sana Taifa hili hasa Tanganyika atakua na kukiua kabisa chama cha mapinduzi .
Chama cha mapinduzi Mwisho wake ni huu wa utawala wa Samia . Kutakuwa kimechokwa na kuchukiwa sana na wananchi mpaka hivyo vyombo vya dola vitachoka sana kwa sababu wengi na watoto wa maskini ambao wanaona jinsi wanavyotaabika kwa manufaa ya watu wasio na uchungu na nchi hata kidogo. Magufuli aliwashuguulikia wapinzani lakini aliwashuguulikia mafisdi na kukataaichongo yao lakini huyu anawashughulikia wapinzani huku akiwachekea mafisadi na kufurahia michongo yao ya kifisadi