Pre GE2025 Rais Samia: Serikali itanunua Umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna haja ya kuwatafakari tuliowapa madaraka. Mpaka sasa Tz tuna umeme wa ziada tunafikiria kuwauzia majirani.
Sasa tunasaini mkataba kununua umeme. Hakikà Trump ni rais sahihi wa USA
Mkoa wa Kagera wanatumia umeme toka Uganda; tunanunua na huwa haukatiki ovyo!
 
Samahani mi nipo nje ya mada... hivi TUNDU ANTIPAS LISSU ni mwanachama wa hapa JF??
 
Ndugu zangu huu sasa ni wakati wa kuwaondoa CCM
 
Mkuu,

Kwani haiwezekami umeme wa ziada ukawepo lakini kukawa na tatizo la kuunganisha sehemu fulani za nchi kiasi kwamba hizo sehemu iwe rahisi kununua umeme wa nje?
Inawezekana kwa minchi mikubwa kama US.

Ila TZ ni uhuni tu.

Hiyo pesa ya kununua umeme kwanini isiboreshe bwawa la nyumba ya Mungu iliyopo Same
 
Inashangaza sana!
 
Lukas Mwashambwa nlikwambia unafanya kazi ngumu kutetea uwongo, haya sasa njoo upangue na hili sasa manake ulishabikia sana ile ishue ya Umeme mpaka ukaandika megawatts laki nane nkakuuliza unajua facility za kuzalisha megawatts hizo ukabadirisha figa, haya why tununue Umeme? Njoo haraka au ndio mpo kwenye magroup yenu mnafanya tusheni ya spinning?
 
Julisha tafadhali unafanya kitengo gani cha usambazaji umeme marekani?
 
Wakuu naombeni mnisamehe. Waliposema tutakuwa na umeme wa ziada niliwaamini. Mnisamehe sana wakuu wangu.
 
Hatatanunua kutoka Ethiopia kama huyu mwenzako ChoiceVariable anavyosema??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…