Rais Samia SGR inakuchonganisha na wananchi

Ndiyo uigawe kama kitu kilichokuchosha ?!.

Udini ni utumwa wa kila kitu
 
Umeme wa kuitembeza SGR uko api mkuu!!?
 
Siyo kweli kuhusu nini hapo?Na kwa nini ujivunie "kuwanyoosha" watu?Ina maana uliwatesa na kuwanyima raha ya kuishi.Uliwalimisha kwa meno?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana nilikuta eti jtatu watu wote wanakubaliana waigie saa tatu eti tulilewa week end? au unakuta mtu hajamaliza task yake ya siku hiyo anasema atafanya kesho, mimi hilo kwangu lilikuwa halipo kazi ya siku ya siku bora utoke saa nne usiku au uache kazi kwa sababu huwezi kazi sio kubembelezana
 
Kipande Cha kuingia pale bandarini ndio kinakwamisha pale kulikuwa na kazi kubwa sana na ndio hiyo Iko mwishoni.
 
Sawa.Ishi nao kwa busara isi-backfire!
 
Kwa hili wala hactuki ila kuteua ni chapu tu
 
Labda umeme nao unasubiriwa utengemae
 
Joka lq kibisa lipo kwajili ya kuogopesha watu tu lakini ukweli nikwamba halina madhara
 
Kiongozi asiye maono analitumbukiza taifa shimoni. Ame fail kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…