Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?
Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?
Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.
Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?
Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.
Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.
Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.
Inaumiza sana.
Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?
Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.
Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?
Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.
Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.
Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.
Inaumiza sana.