Rais Samia, shughuli za uapisho nchini ni gharama kubwa zisizo za lazma, Viongozi badilikeni

Rais Samia, shughuli za uapisho nchini ni gharama kubwa zisizo za lazma, Viongozi badilikeni

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?

Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?

Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.

Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?

Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.

Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.

Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.

Inaumiza sana.
 
Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?

Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?

Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.

Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?

Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.

Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.

Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.

Inaumiza sana.
Bi mkubwa ni kama vile ameanza kujutia maamuzi yake. Uteuzi na kuapisha wateule nje ya nchi, Mikopo isiyo ya lazima, matumizi mabaya ya rasilimali za taifa.
Nadhani ipo siku atasema ukweli
 
Nakubaliana kabisa na hoja. Sheria ibadilishwe kwamba aliyeapishwa na Rais akibadili eneo haapishwi tena bali kiapo cha kwanza kinaendelea. Mfano ni mawaziri wanaobadilishana wizara, au uhamisho wa makatibu wakuu n.k.

Mh Rais anaweza kuwaita pembeni na kuwapa maagizo si lazima iwepo sherehe
Tunahitaji kuokoa muda na rasilimali kwa mambo yasiyo na umuhimu

JokaKuu Pascal Mayalla Mzee Mwanakijiji
 
Watanzani bila kukinukisha, hawa watawala hawawezi kubadilika.
Usije ukadhani kwamba siku kikinuka ndo utaendelea kupata nafasi ya kukaa kwako kwa amani na kuandika maoni yako kwa uhuru kama unavyofanya sasa. Vurugu zitakuachia usumbufu na shida ambazo haujawahi kuziona. Hii Amani tuliyonayo, tuilinde sana ndugu zangu.
 
Hivi nikwanini wanaapishwa? Mbona naona waliowengi hawavoishi viapo vyao, sasa siwangeachatu kuapishwa?
Mtu anaapishwa halafu muda kidogo anaonekana ana mapungufu anatenguliwa halafu kitambo kidogo tena anaapishwa. Wapewetu vyeo wale AC na kutembelea mashangingi.
 
Nakubaliana kabisa na hoja. Sheria ibadilishwe kwamba aliyeapishwa na Rais akibadili eneo haapishwi tena bali kiapo cha kwanza kinaendelea. Mfano ni mawaziri wanaobadilishana wizara, au uhamisho wa makatibu wakuu n.k.

Mh Rais anaweza kuwaita pembeni na kuwapa maagizo si lazima iwepo sherehe
Tunahitaji kuokoa muda na rasilimali kwa mambo yasiyo na umuhimu

JokaKuu Pascal Mayalla Mzee Mwanakijiji
Mbona wanaapa na wanaiba,wanavunja katiba n.k? Mambo kama opereshen tokomeza ilivunjwa katiba wamevuliwa nyadhifa baadae wanaitana tena. Kuchezeana akili
 
Kweli kabisa, sijui mfumo wa barua ya uteuzi hautoshi hadi kila mteule afike mbele ya anayeteua kwa kusafiri na kulala hoteli huku amefuatana na kadamnasi ya wasindikizaji wapiga makofi wa kushangilia kibao toka Dodoma.

Tunaiga utaratibu wa anasa kubwa kuwa kila mteuliwa apige goti au kubusu pete ya bosi kiaina huku hazina ya taifa ikitumika kugharamia zoezi hilo ambalo lingetosha kukamilika kwa barua rasmi , fax na email kutoka Ikulu

1720205961124.png
 
Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?

Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?

Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.

Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?

Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.

Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.

Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.

Inaumiza sana.
Mwafrika na Sherekhe ni noma baba yake akiumwa atasema hana hela lkn kuchangia harusi ya kunywa pombe dau laki tatu cash
 
Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?

Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?

Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.

Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?

Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.

Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.

Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.

Inaumiza sana.
Gen Z wa Tanganyika wameamua kuwa bodaboda, huko kuna hela nyingi isiyolipiwa kodi.
 
Usije ukadhani kwamba siku kikinuka ndo utaendelea kupata nafasi ya kukaa kwako kwa amani na kuandika maoni yako kwa uhuru kama unavyofanya sasa. Vurugu zitakuachia usumbufu na shida ambazo haujawahi kuziona. Hii Amani tuliyonayo, tuilinde sana ndugu zangu.
Sio mbaya kikazi kijacho kisiishi maisha tunayoishi sisi.
 
Nakubaliana kabisa na hoja. Sheria ibadilishwe kwamba aliyeapishwa na Rais akibadili eneo haapishwi tena bali kiapo cha kwanza kinaendelea. Mfano ni mawaziri wanaobadilishana wizara, au uhamisho wa makatibu wakuu n.k.

Mh Rais anaweza kuwaita pembeni na kuwapa maagizo si lazima iwepo sherehe
Tunahitaji kuokoa muda na rasilimali kwa mambo yasiyo na umuhimu

JokaKuu Pascal Mayalla Mzee Mwanakijiji

..watendaji wametoka Dodoma mpaka Zanzibar kwa ajili ya shughuli ya malisho tu?

..kuna awamu ambazo wateule wote waliapishwa Ikulu Dsalaam, na kulikuwa hakuna hotuba za mipasho.
 
Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?

Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?

Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.

Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?

Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.

Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.

Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.

Inaumiza sana.
kwamba ati nawe unaweza kuandamana?🐒
 
Wao wanasema "MLIIPENDA WENYEWE" na anaupiga mwingi. Mnajua nini nyie.

Mi nilidhani ingekuwa sawa na busara woote wanaohitaji kuapishwa wamsubirie Dodoma, kwa sababu ile ndiyo Ikulu na shughuli zake huzifanyie ikulu ofisini kwake, ni kwamba anatakiwa kuwa hulko Ikulu mara kwa mara, hivyo wangemsubiria huko huko Dodoma kisha wangeapishwa kuliko, hili la kumtafuta aliko nao wanapanda ndege kwenda kuapa.

Kwani kuna haraka gani, sio kwamba wakiapishwa haraka kuna kitu wanaenda kukifanya cha maana, na yale yale tu madudu tuliyoyazoea, sasa kwanini wakimbizane na ndege zetu kwenda kumfuata aliko kutafuta uapisho?

Wana bahati nzuri Wadanganyika wote tumekubali ujinga huo na tunaona nisawa tu, na tumewaachia wafanye watakavyo bila kujali mlipaji wa gharama anaumia kiasi gani.

Ni rahisi kumswaga punda aliye beba mzigo atembee haraka mzigo ufike bila kujali mbebaji na uzito wa mzigo.
 
Back
Top Bottom