Kuna vipengele sio maisha ni magumu mno mtaani halafu watu wananeemeka kipuuzi tu sawa amani imeyumba Kenya lakini je maamuzi aliyoyachukua Ruto huoni kuwa yanaenda kupunguza kutafunwa hovyo kwa Pesa ya walipa kodi wa Kenya?tetea vitu kwa hoja zinazoeleweka acha kuwatisha watu unategemea kundi hili dogo litajineemesha mpaka lini?tumechokaUsije ukadhani kwamba siku kikinuka ndo utaendelea kupata nafasi ya kukaa kwako kwa amani na kuandika maoni yako kwa uhuru kama unavyofanya sasa. Vurugu zitakuachia usumbufu na shida ambazo haujawahi kuziona. Hii Amani tuliyonayo, tuilinde sana ndugu zangu.
Exactly!..watendaji wametoka Dodoma mpaka Zanzibar kwa ajili ya shughuli ya malisho tu?
..kuna awamu ambazo wateule wote waliapishwa Ikulu Dsalaam, na kulikuwa hakuna hotuba za mipasho.
Ameshatuzowea! Hatusikilizi tena! Wala haogopi kutumia matumizi makubwa yasiyo na tija!Exactly!
Hizi gharama ni ufujaji wa pesa. Rais SSH angeweza kuwa apisha kabla hajaondoka
Lakini pia umuhimu wa kuapishwa kila mara mtu akibadilishiwa majukumu uko wapi?
USA wanaoteuliwa na kuthibitishwa na Senate wakibadilishwa nafasi hawarudi tena kuhojiwa na Senate
Nchi masikini tunapata wapi pesa za kuchezea za kubeba watu kutoka Dodoma kwenda Zanzibar n.k.
Rais SSH analalamika kuhusu mapato, katika hali hii matumizi ya serikali ni makubwa sana na ya anasa.
Muda wa kufanya sherehe katika nchi masikini kama yetu upo wapi?
Nyerere , Mwinyi, Mkapa waliapishwa watu kimya kimya tena ni Ikulu Dar siyo Butiama au Lupaso
Haya yalianza na JPM na sasa yamekuwa utamaduni unaotugharimu fedha nyingi.
Tuna matatizo mengi, okoeni muda acheni matumizi ya pesa za umma bila sababu
Rekebisheni sheria ya kuapishwa ( na hata sijui ina maana gani) hatuhitaji kila siku na wala hatuhitaji kusikia mnapeana hadithi za majukumu! tunataka matokeo ya kuondoa umasikini
Nchi yetu ina viongozi wanaopenda anasa sana, serikali ni kubwa na matumizi ni makubwa ya anasa
Amka uandamane basi kama ni rahisi kiasi hicho.Kuna vipengele sio maisha ni magumu mno mtaani halafu watu wananeemeka kipuuzi tu sawa amani imeyumba Kenya lakini je maamuzi aliyoyachukua Ruto huoni kuwa yanaenda kupunguza kutafunwa hovyo kwa Pesa ya walipa kodi wa Kenya?tetea vitu kwa hoja zinazoeleweka acha kuwatisha watu unategemea kundi hili dogo litajineemesha mpaka lini?tumechoka
Katiba inataka Rais awaapishe..haisemi awaapishie wapi..labda hata kwa zoomHivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?
Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?
Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.
Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?
Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.
Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.
Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.
Inaumiza sana.
Hapo unaweza kuta imetumika bilioni 10 kukamilisha tukio hilo tu. Pesa nyingi zinatumika kwenye matumizi yasiyo muhimu wala ya lazima.Exactly!
Hizi gharama ni ufujaji wa pesa. Rais SSH angeweza kuwa apisha kabla hajaondoka
Lakini pia umuhimu wa kuapishwa kila mara mtu akibadilishiwa majukumu uko wapi?
USA wanaoteuliwa na kuthibitishwa na Senate wakibadilishwa nafasi hawarudi tena kuhojiwa na Senate
Nchi masikini tunapata wapi pesa za kuchezea za kubeba watu kutoka Dodoma kwenda Zanzibar n.k.
Rais SSH analalamika kuhusu mapato, katika hali hii matumizi ya serikali ni makubwa sana na ya anasa.
Muda wa kufanya sherehe katika nchi masikini kama yetu upo wapi?
Nyerere , Mwinyi, Mkapa waliapishwa watu kimya kimya tena ni Ikulu Dar siyo Butiama au Lupaso
Haya yalianza na JPM na sasa yamekuwa utamaduni unaotugharimu fedha nyingi.
Tuna matatizo mengi, okoeni muda acheni matumizi ya pesa za umma bila sababu
Rekebisheni sheria ya kuapishwa ( na hata sijui ina maana gani) hatuhitaji kila siku na wala hatuhitaji kusikia mnapeana hadithi za majukumu! tunataka matokeo ya kuondoa umasikini
Nchi yetu ina viongozi wanaopenda anasa sana, serikali ni kubwa na matumizi ni makubwa ya anasa
Uapisho umeanza lini?Tuna viongozi wabinafsi sana katika hii nchi.
Kuna wazazi wanalala katika vitanda kwa zamu katika Hospitali zetu. Ukiuliza bei ya kitanda kimoja halafu ukalinganisha na ghara za 'kuapisha' watu tena si kwa dharura utasikitika sana.Hapo unaweza kuta imetumika bilioni 10 kukamilisha tukio hilo tu. Pesa nyingi zinatumika kwenye matumizi yasiyo muhimu wala ya lazima.
Kinachokwamisha maendeleo ya Tanzania ni matumizi mabaya ya pesa za umma tu. Wanapohimiza watu walipe kodi na wao wanaongeza matumizi ya anasa. Wasichokijua wananchi wengi ni kwamba hao walioko kwenye serikali hawajali kabisa maisha yao.Kuna wazazi wanalala katika vitanda kwa zamu katika Hospitali zetu. Ukiuliza bei ya kitanda kimoja halafu ukalinganisha na ghara za 'kuapisha' watu tena si kwa dharura utasikitika sana.
Wazazi wanalala na kujifungulia sakafuni halafu wanalipa kodi za watu kusafiri kutoka Dodoma kwenda Zanzibar kuapishwa na gharama zinazoambatana nazo. Kwanini wasimsubiri Rais arudi au kwanini hawakwenda kabla hajaondoka. Hizi sherehe za kuapishwa ni anasa tu! watu wetu ni masikini hawahitaji hizi anasa
Sheria ibadilishwe, kiongozi akipaishwa na kuhamishwa hakuna kuapishwa tena.
Hatuhitaji kusikia Rais anawapa majukumu gani, tunahitaji kuona changamoto zinatatuliwa.
Waongee huko ofisini sisi tunataka matokeo.
Mshahara wake haukatwi kodi ndiyo maana hana uchungu na mali za nchi hajui maumivu ya walipa kodi, huwezi kuwa na Rais anahimiza watu walipe kodi huku yeye hataki mshahara wake ukatwe kodi, shame on us.Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?
Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?
Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.
Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?
Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.
Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.
Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.
Inaumiza sana.
Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?
Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?
Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.
Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?
Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.
Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.
Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.
Inaumiza sana.
acha uhuni🤣Pesa ndio zinavyo ingia kwenye mzunguko hivyo jamani
Wataalamu wa uchumi wanasema zinaleta Multiplier Effect
Zinasaidiaacha uhuni🤣
Kinachochochea uchumi ni uzalishaji na balance of trade. government expenditure hazisaidii uchumi.
Ni muhimu sana ili Watanzania waelewe sababu za watu kunyofolewa na kuapishwa wengine.Hivi nyie watawala wa hii nchi ni mpaka watanzani nao siku moja wafanye maamuzi magumu kama vijana wa Kenya?
Like kundi lote kwenye uapisho lina ulazima gani na ni kwa gharama ya nani?
Watu wanapanda ndege kutoka Dodoma mpaka Zanzibar na kurudi bila sababu yoyote ya msingi eti kwenda kushiriki uapisho tu wa viongozi wawili au watatu.
Kwanini mnapenda ufahari katikati ya umaskini?
Wakati mwingine matendo yenu ni ndio chanzo cha watu kuwaandika vibaya mitandaoni.
Hii nchi inatafunwa sana na kundii dogo la watu.
Anyway, labda ni mpango wa Mungu kuwafanya watawala kuwa na mioyo migumu kama Farao ili siku moja makusudio ya. Mungu yatimie juu ya watu wake.
Inaumiza sana.