Ni Maneno yanayo gonga kwenye moyo hasa kwa mtu yeyote ambaye bado utu wa binaadam mwingine unayo thamani zaidi ya mali yoyote ipatikanayo kwa kuukanyaga ubinaadam huo.Nashukuru sina Baba lakini nina utu, kumjali Faith Foxy ingawa simjui, lakini utu wake unathamani kubwa , kuliko urithi anaokimbilia Faiza Foxy
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Naona akili zimevurugika, maana sasa lugha nazo zimebadilika na uelewa nao umepotea!Wameishiwa.
Huyu Mungu acha aitwe Mungu tuu.Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Una uhuru wa mawazo yako. Huna uhuru wa ya wenzako.Naona akili zimevurugika, maana sasa lugha nazo zimebadilika na uelewa nao umepotea!
Sina utamaduni wa kutoka nje ya mstari ambao nina amini ndio taswira ya imani yangu ya kuthamini utu wa mtuNi Maneno yanayo gonga kwenye moyo hasa kwa mtu yeyote ambaye bado utu wa binaadam mwingine unayo thamani zaidi ya mali yoyote ipatikanayo kwa kuukanyaga ubinaadam huo.
Sasa lakini unaendelea kunichanganya akili mkuu August; maana hii ni zaidi ya kuganda pale kwenye 'fensi' niliyo wahi kukudokezea hapo awali.
Kwa kweli katutoa gizani, JNHEP bila yeye tungekuwa gizani, na SGR isingekamilikaRais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Wataanguka WaoNa ndiyo maana nikasema huenda wanaoua wanalengo la kumwangusha
Unamauninga mengi sana,utakuwa mke wa pdidy huko USASasa hivi Tanzania katika viwango vya kimataifa inang’ara?
Kasema hivyo na wamempigia makofi!
Kama inang’ara hivyo mbona hakwenda Marekani kwenye UNGA?
Kama kweli inang’ara basi afanye mahojiano na Stephen Sackur kwenye HARDtalk halafu tuone 🤣.
HERODE hakuua, bali aliagiza askari "WAKE" enzi za utawala "WAKE" kuua wazaliwa wa kwanza.Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Katika hadithi ya Herode, mfalme wa Yuda, alitenda vitendo vya ukatili ili kuokoa mamlaka yake.HERODE hakuua, bali aliagiza askari "WAKE" enzi za utawala "WAKE" kuua wazaliwa wa kwanza.
Hata wakijenga hospitali ni Rais kajenga hata kama hajabeba tofali...Samia anapovaa nguo za majeshi anafikiri ni fashion show?
..Vyombo vya dola vikiua maana yake Amiri Jeshi Mkuu na Raisi wameua.
..Vyombo vya dola na majeshi wakishinda vita maana yake Amiri Jeshi Mkuu ameshinda vita.
..Samia Suluhu Hassan kama hataki lawama na pongezi kwa utendaji wa vyombo vya dola anapaswa kujiuzulu.
Hata SISIMIZI ana haki ya kuishi, SISIMIZI ana watoto,wajukuu, mume na mke, ukiwa haujali vitu vidogo hata vitu vikubwa utapuuza,ukiwa unajali vitu vidogo utajali vitu vikubwa.Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
kufanya mahojiano na stephen ni kumfanya samia aaibikeSasa hivi Tanzania katika viwango vya kimataifa inang’ara?
Kasema hivyo na wamempigia makofi!
Kama inang’ara hivyo mbona hakwenda Marekani kwenye UNGA?
Kama kweli inang’ara basi afanye mahojiano na Stephen Sackur kwenye HARDtalk halafu tuone 🤣.